jitu la kale
Member
- Dec 29, 2010
- 77
- 18
SIMBA tumelala tatu bila jaman!!
man acha tu.
Kaka sheria imechukua mkondo wake na sio wameharibiwa,simba ilikuwa na haki ya kufungwa kwanza wamekusanyana ndani ya wiki moja,pili key player wameuzwa,ligi ilipoisha na kambi ilivunjwa,nne wydad kule kwao ligi haijaisha so wapo pmj kwa muda mrefu kuliko simba,tano ligi yenye timu 12 sio bora sana kulinganisha na za wenzetu,all in all tanzania hatujanipanga kulingana na wenzetu kiwango cha soka tanzania 120 na morocco ni 32 ni mara nne zaidi yetuSimba Waliwaharibia sana TP Mazembe, hicho kipigo ni haki yao.
Mwisho wa ujanja ujanja wa Rage!
Kaka sheria imechukua mkondo wake na sio wameharibiwa,simba ilikuwa na haki ya kufungwa kwanza wamekusanyana ndani ya wiki moja,pili key player wameuzwa,ligi ilipoisha na kambi ilivunjwa,nne wydad kule kwao ligi haijaisha so wapo pmj kwa muda mrefu kuliko simba,tano ligi yenye timu 12 sio bora sana kulinganisha na za wenzetu,all in all tanzania hatujanipanga kulingana na wenzetu kiwango cha soka tanzania 120 na morocco ni 32 ni mara nne zaidi yetu
Kimbelembele chao kutumiwa na waalabu kuiharibia TP Mazembe wasiweke rekodi. Cha kushangaza kama wao walikuwa wanajua sana juuu ya usajili wa wachezaji, kwanini walienda kuuliza kama ni halali wao kumtunia samatta?