Yanga na Simba, ndiyo wenye Nchi hii! Sina shaka, hayo matengenezo hayatazuia hilo jambo la Simba!Wameshaanza kutuchawia sasa.. why wasitengeneze siku zooote hizo?
Wanatukumbusha tuwe na viwanja vyetuTuteneze uwanja,watafanyia uwanja wa Kaund
Nakazia!!Yanga na Simba, ndiyo wenye Nchi hii! Sina shaka, hayo matengenezo hayatazuia hilo jambo la Simba!
Hua inakera sanaUle uwanja bado sana, Yaani sijui waliufunga kufanya shughuli gani.