Simba hapo vipi??

enzo1988

JF-Expert Member
May 26, 2018
729
2,848
Unaweza kuona ni makosa madogo lakini ni makubwa kwa ukubwa wa Simba na hadhi ya mkutano wenyewe!


Inked“Tunataka kuwa mabingwa wa ndani na nje ya uwanja. Tulianzisha WhatsApp channel wakawa wa...jpg
 
Simba hawajielewi, mkutano mkuu unakuwa Kama mko kanisani au msikitini, sijaona mtu yoyote akihoji Ila baada ya siku mbili utasikia watu kwenye redio, magazeti wanaanza kuhoji Mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yahojiwe kwenye mkutano mkuu.
Mwaka Jana Simba walitangaza bajeti ya bilioni 13 lakini bada ya yanga kufanya mkutano wao na bajeti kuwa kubwa kuliko ya Simba CEO wake akaibuka na bajeti tofauti kuonyesha Simba Wana bajeti kubwa kuliko yanga kitu ambacho sio cha ukweli.
Simba ilianzisha mchango kwa ajili ya kujenga uwanja, Leo wanasema pesa zimejenga uzio na watu wanapiga makofi lakini wameshindwa kuhoji naninaliyebadilisha matumizi ya hizo pesa na pia Simba Wana mpango gani wa kujenga viwanja.
Mapato ya jengo la Msimbazi Kila mwaka ni milioni 500 hakuna mkakati wowote wa kuyaongeza Wala kujenga jengo la kisasa.
Simba inajisifu kukusanya bilioni 15 lakini umeshindwa kupata udhamini wa benki hata moja pamoja na kuwa na kiasi kikubwa cha pesa.
Mapato ya wadhamini hayajatolewa ufafanuzi hata mkataba wa kuweka logo kifuani kwa mashindano ya Afrika haujawekwa wazi.
Mauzo ya wachezaji mfano Sackho hayajawekwa wazi.
Kikao Kama like kisingechukua muda mfupi yaani hata mafanikio wanayotangaziwa hayaendani na ukubwa wa Simba .
 
Simba hawajielewi, mkutano mkuu unakuwa Kama mko kanisani au msikitini, sijaona mtu yoyote akihoji Ila baada ya siku mbili utasikia watu kwenye redio, magazeti wanaanza kuhoji Mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yahojiwe kwenye mkutano mkuu.
Mwaka Jana Simba walitangaza bajeti ya bilioni 13 lakini bada ya yanga kufanya mkutano wao na bajeti kuwa kubwa kuliko ya Simba CEO wake akaibuka na bajeti tofauti kuonyesha Simba Wana bajeti kubwa kuliko yanga kitu ambacho sio cha ukweli.
Simba ilianzisha mchango kwa ajili ya kujenga uwanja, Leo wanasema pesa zimejenga uzio na watu wanapiga makofi lakini wameshindwa kuhoji naninaliyebadilisha matumizi ya hizo pesa na pia Simba Wana mpango gani wa kujenga viwanja.
Mapato ya jengo la Msimbazi Kila mwaka ni milioni 500 hakuna mkakati wowote wa kuyaongeza Wala kujenga jengo la kisasa.
Simba inajisifu kukusanya bilioni 15 lakini umeshindwa kupata udhamini wa benki hata moja pamoja na kuwa na kiasi kikubwa cha pesa.
Mapato ya wadhamini hayajatolewa ufafanuzi hata mkataba wa kuweka logo kifuani kwa mashindano ya Afrika haujawekwa wazi.
Mauzo ya wachezaji mfano Sackho hayajawekwa wazi.
Kikao Kama like kisingechukua muda mfupi yaani hata mafanikio wanayotangaziwa hayaendani na ukubwa wa Simba .
Umeongea vitu vya maana sana
 
Simba hawajielewi, mkutano mkuu unakuwa Kama mko kanisani au msikitini, sijaona mtu yoyote akihoji Ila baada ya siku mbili utasikia watu kwenye redio, magazeti wanaanza kuhoji Mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yahojiwe kwenye mkutano mkuu.
Mwaka Jana Simba walitangaza bajeti ya bilioni 13 lakini bada ya yanga kufanya mkutano wao na bajeti kuwa kubwa kuliko ya Simba CEO wake akaibuka na bajeti tofauti kuonyesha Simba Wana bajeti kubwa kuliko yanga kitu ambacho sio cha ukweli.
Simba ilianzisha mchango kwa ajili ya kujenga uwanja, Leo wanasema pesa zimejenga uzio na watu wanapiga makofi lakini wameshindwa kuhoji naninaliyebadilisha matumizi ya hizo pesa na pia Simba Wana mpango gani wa kujenga viwanja.
Mapato ya jengo la Msimbazi Kila mwaka ni milioni 500 hakuna mkakati wowote wa kuyaongeza Wala kujenga jengo la kisasa.
Simba inajisifu kukusanya bilioni 15 lakini umeshindwa kupata udhamini wa benki hata moja pamoja na kuwa na kiasi kikubwa cha pesa.
Mapato ya wadhamini hayajatolewa ufafanuzi hata mkataba wa kuweka logo kifuani kwa mashindano ya Afrika haujawekwa wazi.
Mauzo ya wachezaji mfano Sackho hayajawekwa wazi.
Kikao Kama like kisingechukua muda mfupi yaani hata mafanikio wanayotangaziwa hayaendani na ukubwa wa Simba .
Hebu angalia hii clip fupi
Kwa kifupi simba kuanzia muwekezaji Mudi na viongozi wote matapeli
 

Attachments

  • Gery_Gerrald_20240121__1749036613156425994_1_17490365017137438720.mp4
    2.2 MB
Simba hawajielewi, mkutano mkuu unakuwa Kama mko kanisani au msikitini, sijaona mtu yoyote akihoji Ila baada ya siku mbili utasikia watu kwenye redio, magazeti wanaanza kuhoji Mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yahojiwe kwenye mkutano mkuu.
Mwaka Jana Simba walitangaza bajeti ya bilioni 13 lakini bada ya yanga kufanya mkutano wao na bajeti kuwa kubwa kuliko ya Simba CEO wake akaibuka na bajeti tofauti kuonyesha Simba Wana bajeti kubwa kuliko yanga kitu ambacho sio cha ukweli.
Simba ilianzisha mchango kwa ajili ya kujenga uwanja, Leo wanasema pesa zimejenga uzio na watu wanapiga makofi lakini wameshindwa kuhoji naninaliyebadilisha matumizi ya hizo pesa na pia Simba Wana mpango gani wa kujenga viwanja.
Mapato ya jengo la Msimbazi Kila mwaka ni milioni 500 hakuna mkakati wowote wa kuyaongeza Wala kujenga jengo la kisasa.
Simba inajisifu kukusanya bilioni 15 lakini umeshindwa kupata udhamini wa benki hata moja pamoja na kuwa na kiasi kikubwa cha pesa.
Mapato ya wadhamini hayajatolewa ufafanuzi hata mkataba wa kuweka logo kifuani kwa mashindano ya Afrika haujawekwa wazi.
Mauzo ya wachezaji mfano Sackho hayajawekwa wazi.
Kikao Kama like kisingechukua muda mfupi yaani hata mafanikio wanayotangaziwa hayaendani na ukubwa wa Simba .
Nilisikiliza hotuba ya mhasibu nikabaki tu kusikitika.
 
Simba hawajielewi, mkutano mkuu unakuwa Kama mko kanisani au msikitini, sijaona mtu yoyote akihoji Ila baada ya siku mbili utasikia watu kwenye redio, magazeti wanaanza kuhoji Mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yahojiwe kwenye mkutano mkuu.
Mwaka Jana Simba walitangaza bajeti ya bilioni 13 lakini bada ya yanga kufanya mkutano wao na bajeti kuwa kubwa kuliko ya Simba CEO wake akaibuka na bajeti tofauti kuonyesha Simba Wana bajeti kubwa kuliko yanga kitu ambacho sio cha ukweli.
Simba ilianzisha mchango kwa ajili ya kujenga uwanja, Leo wanasema pesa zimejenga uzio na watu wanapiga makofi lakini wameshindwa kuhoji naninaliyebadilisha matumizi ya hizo pesa na pia Simba Wana mpango gani wa kujenga viwanja.
Mapato ya jengo la Msimbazi Kila mwaka ni milioni 500 hakuna mkakati wowote wa kuyaongeza Wala kujenga jengo la kisasa.
Simba inajisifu kukusanya bilioni 15 lakini umeshindwa kupata udhamini wa benki hata moja pamoja na kuwa na kiasi kikubwa cha pesa.
Mapato ya wadhamini hayajatolewa ufafanuzi hata mkataba wa kuweka logo kifuani kwa mashindano ya Afrika haujawekwa wazi.
Mauzo ya wachezaji mfano Sackho hayajawekwa wazi.
Kikao Kama like kisingechukua muda mfupi yaani hata mafanikio wanayotangaziwa hayaendani na ukubwa wa Simba .
Hayo mafanikio sasa yalivyoungwa ungwa mpaka yanastaajabisha. Visit Zanzibar nayo ni mafanikio? Kuna pesa Simba imeingiza au ni vipi iwe ni mafanikio?
 
Simba hawajielewi, mkutano mkuu unakuwa Kama mko kanisani au msikitini, sijaona mtu yoyote akihoji Ila baada ya siku mbili utasikia watu kwenye redio, magazeti wanaanza kuhoji Mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yahojiwe kwenye mkutano mkuu.
Mwaka Jana Simba walitangaza bajeti ya bilioni 13 lakini bada ya yanga kufanya mkutano wao na bajeti kuwa kubwa kuliko ya Simba CEO wake akaibuka na bajeti tofauti kuonyesha Simba Wana bajeti kubwa kuliko yanga kitu ambacho sio cha ukweli.
Simba ilianzisha mchango kwa ajili ya kujenga uwanja, Leo wanasema pesa zimejenga uzio na watu wanapiga makofi lakini wameshindwa kuhoji naninaliyebadilisha matumizi ya hizo pesa na pia Simba Wana mpango gani wa kujenga viwanja.
Mapato ya jengo la Msimbazi Kila mwaka ni milioni 500 hakuna mkakati wowote wa kuyaongeza Wala kujenga jengo la kisasa.
Simba inajisifu kukusanya bilioni 15 lakini umeshindwa kupata udhamini wa benki hata moja pamoja na kuwa na kiasi kikubwa cha pesa.
Mapato ya wadhamini hayajatolewa ufafanuzi hata mkataba wa kuweka logo kifuani kwa mashindano ya Afrika haujawekwa wazi.
Mauzo ya wachezaji mfano Sackho hayajawekwa wazi.
Kikao Kama like kisingechukua muda mfupi yaani hata mafanikio wanayotangaziwa hayaendani na ukubwa wa Simba .
Umewapa vyura topic ya wiki nzima...
 
Simba hawajielewi, mkutano mkuu unakuwa Kama mko kanisani au msikitini, sijaona mtu yoyote akihoji Ila baada ya siku mbili utasikia watu kwenye redio, magazeti wanaanza kuhoji Mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yahojiwe kwenye mkutano mkuu.
Mwaka Jana Simba walitangaza bajeti ya bilioni 13 lakini bada ya yanga kufanya mkutano wao na bajeti kuwa kubwa kuliko ya Simba CEO wake akaibuka na bajeti tofauti kuonyesha Simba Wana bajeti kubwa kuliko yanga kitu ambacho sio cha ukweli.
Simba ilianzisha mchango kwa ajili ya kujenga uwanja, Leo wanasema pesa zimejenga uzio na watu wanapiga makofi lakini wameshindwa kuhoji naninaliyebadilisha matumizi ya hizo pesa na pia Simba Wana mpango gani wa kujenga viwanja.
Mapato ya jengo la Msimbazi Kila mwaka ni milioni 500 hakuna mkakati wowote wa kuyaongeza Wala kujenga jengo la kisasa.
Simba inajisifu kukusanya bilioni 15 lakini umeshindwa kupata udhamini wa benki hata moja pamoja na kuwa na kiasi kikubwa cha pesa.
Mapato ya wadhamini hayajatolewa ufafanuzi hata mkataba wa kuweka logo kifuani kwa mashindano ya Afrika haujawekwa wazi.
Mauzo ya wachezaji mfano Sackho hayajawekwa wazi.
Kikao Kama like kisingechukua muda mfupi yaani hata mafanikio wanayotangaziwa hayaendani na ukubwa wa Simba .
Kwanini umetoa mfano wa msikitini na kanisani?
 
Back
Top Bottom