HahahahaUnaweza kuona ni makosa madogo lakini ni makubwa kwa ukubwa wa Simba na hadhi ya mkutano wenyewe!
View attachment 2879269
Umeongea vitu vya maana sanaSimba hawajielewi, mkutano mkuu unakuwa Kama mko kanisani au msikitini, sijaona mtu yoyote akihoji Ila baada ya siku mbili utasikia watu kwenye redio, magazeti wanaanza kuhoji Mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yahojiwe kwenye mkutano mkuu.
Mwaka Jana Simba walitangaza bajeti ya bilioni 13 lakini bada ya yanga kufanya mkutano wao na bajeti kuwa kubwa kuliko ya Simba CEO wake akaibuka na bajeti tofauti kuonyesha Simba Wana bajeti kubwa kuliko yanga kitu ambacho sio cha ukweli.
Simba ilianzisha mchango kwa ajili ya kujenga uwanja, Leo wanasema pesa zimejenga uzio na watu wanapiga makofi lakini wameshindwa kuhoji naninaliyebadilisha matumizi ya hizo pesa na pia Simba Wana mpango gani wa kujenga viwanja.
Mapato ya jengo la Msimbazi Kila mwaka ni milioni 500 hakuna mkakati wowote wa kuyaongeza Wala kujenga jengo la kisasa.
Simba inajisifu kukusanya bilioni 15 lakini umeshindwa kupata udhamini wa benki hata moja pamoja na kuwa na kiasi kikubwa cha pesa.
Mapato ya wadhamini hayajatolewa ufafanuzi hata mkataba wa kuweka logo kifuani kwa mashindano ya Afrika haujawekwa wazi.
Mauzo ya wachezaji mfano Sackho hayajawekwa wazi.
Kikao Kama like kisingechukua muda mfupi yaani hata mafanikio wanayotangaziwa hayaendani na ukubwa wa Simba .
Hebu angalia hii clip fupiSimba hawajielewi, mkutano mkuu unakuwa Kama mko kanisani au msikitini, sijaona mtu yoyote akihoji Ila baada ya siku mbili utasikia watu kwenye redio, magazeti wanaanza kuhoji Mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yahojiwe kwenye mkutano mkuu.
Mwaka Jana Simba walitangaza bajeti ya bilioni 13 lakini bada ya yanga kufanya mkutano wao na bajeti kuwa kubwa kuliko ya Simba CEO wake akaibuka na bajeti tofauti kuonyesha Simba Wana bajeti kubwa kuliko yanga kitu ambacho sio cha ukweli.
Simba ilianzisha mchango kwa ajili ya kujenga uwanja, Leo wanasema pesa zimejenga uzio na watu wanapiga makofi lakini wameshindwa kuhoji naninaliyebadilisha matumizi ya hizo pesa na pia Simba Wana mpango gani wa kujenga viwanja.
Mapato ya jengo la Msimbazi Kila mwaka ni milioni 500 hakuna mkakati wowote wa kuyaongeza Wala kujenga jengo la kisasa.
Simba inajisifu kukusanya bilioni 15 lakini umeshindwa kupata udhamini wa benki hata moja pamoja na kuwa na kiasi kikubwa cha pesa.
Mapato ya wadhamini hayajatolewa ufafanuzi hata mkataba wa kuweka logo kifuani kwa mashindano ya Afrika haujawekwa wazi.
Mauzo ya wachezaji mfano Sackho hayajawekwa wazi.
Kikao Kama like kisingechukua muda mfupi yaani hata mafanikio wanayotangaziwa hayaendani na ukubwa wa Simba .
Watu kama wewe ndio mnasababisha idadi ya wenye akili isiongezeke pale Utopoloni,yaani miaka yote ni JK na baba yake Haji tu!Ukisiakia makolo ni mbumbumbu usibishe ni kama hivi sasa.
Kwa Simba hayo makosa yanafanyikaga sana. Tunaposema Simba hakuna weledi katika ngazi ya uongozi muwe mnatuelewa. Baadae nikipata muda nitatuma screenshots mbili tatu kuonyesha haya makosa wanafanyaga sana tena hii utaona afadhali.Unaweza kuona ni makosa madogo lakini ni makubwa kwa ukubwa wa Simba na hadhi ya mkutano wenyewe!
View attachment 2879269
Nilisikiliza hotuba ya mhasibu nikabaki tu kusikitika.Simba hawajielewi, mkutano mkuu unakuwa Kama mko kanisani au msikitini, sijaona mtu yoyote akihoji Ila baada ya siku mbili utasikia watu kwenye redio, magazeti wanaanza kuhoji Mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yahojiwe kwenye mkutano mkuu.
Mwaka Jana Simba walitangaza bajeti ya bilioni 13 lakini bada ya yanga kufanya mkutano wao na bajeti kuwa kubwa kuliko ya Simba CEO wake akaibuka na bajeti tofauti kuonyesha Simba Wana bajeti kubwa kuliko yanga kitu ambacho sio cha ukweli.
Simba ilianzisha mchango kwa ajili ya kujenga uwanja, Leo wanasema pesa zimejenga uzio na watu wanapiga makofi lakini wameshindwa kuhoji naninaliyebadilisha matumizi ya hizo pesa na pia Simba Wana mpango gani wa kujenga viwanja.
Mapato ya jengo la Msimbazi Kila mwaka ni milioni 500 hakuna mkakati wowote wa kuyaongeza Wala kujenga jengo la kisasa.
Simba inajisifu kukusanya bilioni 15 lakini umeshindwa kupata udhamini wa benki hata moja pamoja na kuwa na kiasi kikubwa cha pesa.
Mapato ya wadhamini hayajatolewa ufafanuzi hata mkataba wa kuweka logo kifuani kwa mashindano ya Afrika haujawekwa wazi.
Mauzo ya wachezaji mfano Sackho hayajawekwa wazi.
Kikao Kama like kisingechukua muda mfupi yaani hata mafanikio wanayotangaziwa hayaendani na ukubwa wa Simba .
Hayo mafanikio sasa yalivyoungwa ungwa mpaka yanastaajabisha. Visit Zanzibar nayo ni mafanikio? Kuna pesa Simba imeingiza au ni vipi iwe ni mafanikio?Simba hawajielewi, mkutano mkuu unakuwa Kama mko kanisani au msikitini, sijaona mtu yoyote akihoji Ila baada ya siku mbili utasikia watu kwenye redio, magazeti wanaanza kuhoji Mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yahojiwe kwenye mkutano mkuu.
Mwaka Jana Simba walitangaza bajeti ya bilioni 13 lakini bada ya yanga kufanya mkutano wao na bajeti kuwa kubwa kuliko ya Simba CEO wake akaibuka na bajeti tofauti kuonyesha Simba Wana bajeti kubwa kuliko yanga kitu ambacho sio cha ukweli.
Simba ilianzisha mchango kwa ajili ya kujenga uwanja, Leo wanasema pesa zimejenga uzio na watu wanapiga makofi lakini wameshindwa kuhoji naninaliyebadilisha matumizi ya hizo pesa na pia Simba Wana mpango gani wa kujenga viwanja.
Mapato ya jengo la Msimbazi Kila mwaka ni milioni 500 hakuna mkakati wowote wa kuyaongeza Wala kujenga jengo la kisasa.
Simba inajisifu kukusanya bilioni 15 lakini umeshindwa kupata udhamini wa benki hata moja pamoja na kuwa na kiasi kikubwa cha pesa.
Mapato ya wadhamini hayajatolewa ufafanuzi hata mkataba wa kuweka logo kifuani kwa mashindano ya Afrika haujawekwa wazi.
Mauzo ya wachezaji mfano Sackho hayajawekwa wazi.
Kikao Kama like kisingechukua muda mfupi yaani hata mafanikio wanayotangaziwa hayaendani na ukubwa wa Simba .
Umewapa vyura topic ya wiki nzima...Simba hawajielewi, mkutano mkuu unakuwa Kama mko kanisani au msikitini, sijaona mtu yoyote akihoji Ila baada ya siku mbili utasikia watu kwenye redio, magazeti wanaanza kuhoji Mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yahojiwe kwenye mkutano mkuu.
Mwaka Jana Simba walitangaza bajeti ya bilioni 13 lakini bada ya yanga kufanya mkutano wao na bajeti kuwa kubwa kuliko ya Simba CEO wake akaibuka na bajeti tofauti kuonyesha Simba Wana bajeti kubwa kuliko yanga kitu ambacho sio cha ukweli.
Simba ilianzisha mchango kwa ajili ya kujenga uwanja, Leo wanasema pesa zimejenga uzio na watu wanapiga makofi lakini wameshindwa kuhoji naninaliyebadilisha matumizi ya hizo pesa na pia Simba Wana mpango gani wa kujenga viwanja.
Mapato ya jengo la Msimbazi Kila mwaka ni milioni 500 hakuna mkakati wowote wa kuyaongeza Wala kujenga jengo la kisasa.
Simba inajisifu kukusanya bilioni 15 lakini umeshindwa kupata udhamini wa benki hata moja pamoja na kuwa na kiasi kikubwa cha pesa.
Mapato ya wadhamini hayajatolewa ufafanuzi hata mkataba wa kuweka logo kifuani kwa mashindano ya Afrika haujawekwa wazi.
Mauzo ya wachezaji mfano Sackho hayajawekwa wazi.
Kikao Kama like kisingechukua muda mfupi yaani hata mafanikio wanayotangaziwa hayaendani na ukubwa wa Simba .
Ndio nyie Rage alikuwa anawazungumzia. Kama hamtaki kukosoana basi msahau kuja kuinuka hivi karibuni. Endeleeni kuleanaVyura dimbwini.
krooo kreooow kruuuuw.
Makelele.
Anaweka hesabu za bilioni 4 halafu anarudia kitu hichohicho anasema bilioni 2Nilisikiliza hotuba ya mhasibu nikabaki tu kusikitika.
Kwanini umetoa mfano wa msikitini na kanisani?Simba hawajielewi, mkutano mkuu unakuwa Kama mko kanisani au msikitini, sijaona mtu yoyote akihoji Ila baada ya siku mbili utasikia watu kwenye redio, magazeti wanaanza kuhoji Mambo ambayo kimsingi yalitakiwa yahojiwe kwenye mkutano mkuu.
Mwaka Jana Simba walitangaza bajeti ya bilioni 13 lakini bada ya yanga kufanya mkutano wao na bajeti kuwa kubwa kuliko ya Simba CEO wake akaibuka na bajeti tofauti kuonyesha Simba Wana bajeti kubwa kuliko yanga kitu ambacho sio cha ukweli.
Simba ilianzisha mchango kwa ajili ya kujenga uwanja, Leo wanasema pesa zimejenga uzio na watu wanapiga makofi lakini wameshindwa kuhoji naninaliyebadilisha matumizi ya hizo pesa na pia Simba Wana mpango gani wa kujenga viwanja.
Mapato ya jengo la Msimbazi Kila mwaka ni milioni 500 hakuna mkakati wowote wa kuyaongeza Wala kujenga jengo la kisasa.
Simba inajisifu kukusanya bilioni 15 lakini umeshindwa kupata udhamini wa benki hata moja pamoja na kuwa na kiasi kikubwa cha pesa.
Mapato ya wadhamini hayajatolewa ufafanuzi hata mkataba wa kuweka logo kifuani kwa mashindano ya Afrika haujawekwa wazi.
Mauzo ya wachezaji mfano Sackho hayajawekwa wazi.
Kikao Kama like kisingechukua muda mfupi yaani hata mafanikio wanayotangaziwa hayaendani na ukubwa wa Simba .
Umeshaenda kanisani au msikitini mchungaji au shehe anahubiri ukaanza kumhoji, hivyo ndivyo mkutano wa Simba ulivyokuwa.Kwanini umetoa mfano wa msikitini na kanisani?
Kuinuka kwenda wapi? Krooo krooooNdio nyie Rage alikuwa anawazungumzia. Kama hamtaki kukosoana basi msahau kuja kuinuka hivi karibuni. Endeleeni kuleana