Tupo pamoja mzee tunhama na kijiji mzee babaAisee hii mizuka niliopandisha leo dhidi ya hawa waarabu kazi kweli kweli, asante mkuu kwa kunikumbusha ngoja niweke sawa nimeanza shangalia chama hili enzi hizo fund king kibadeni ana watia goli tatu yeye peke yake hawa wa mchangani pale shamba la bibi
Khaaaa. Kwani kuna sehemu pamesema Yanga tusifuatilie.
Pole sana Swahiba ndio mpira huo.
Hahahaaa. Walaaaaaa. Hizo ni zenu Nguvu moja yaani huwa mnapoteaga kabisa yaani.Sema usinikimbie Wala kumblock PM maana hauchelewi kujifanya network inasumbua.
Sent using Jamii Forums mobile app
mwali wetu tutamchukua tarehe 16 taifa na kurudi nae ghetoTupo pamoja mzee tunhama na kijiji mzee baba
Bado masaa machache Leo Ni siku ya Simba kulipa kisasiHahahaaa. Walaaaaaa. Hizo ni zenu Nguvu moja yaani huwa mnapoteaga kabisa yaani.
HAHAHA AISEE
umeanza vzr umemaliza ovyoSimba leo tunapindua, matokeo, hakika tutawashangaza hatoki mtu Leo. kwa mchina ni machinjioni kwa yeyote anaye karibishwa tulianza na Swaziland mbane, akafuata nkana akaja mwarabu js soura toka Algeria,
Eee yarabi tunakuomba siku ya Leo, tusamehe pale pote tulipokosoea utusaidie tuweze kurudisha magoli yote, kama ulivyoweza kulisafisha jina la MAN CITY dhidi ya CHELSITA, tusafishe pia sisi zidi ya hao watoto wa farao....Amen.
Uyo Al ahly ndio nani???? Mpapaso square lazima umuhusu Leo.
Chelsita nisamehe mkuu, kwakugusa maslahi yakoumeanza vzr umemaliza ovyo
Hawa jamaa mechi zao za ugenini si wazuri kama wanavyocheza away unaweza angalia rekodi yao hapa chini wanapocheza nje ya misri
Njoo tuujaze wanja, tutakuwa na viburudisho mbali mbali, This iz simba brotherView attachment 1020494ππππzimbwe Jr atatoa assist
Mo juzi anajiliza timu inaendeshwa kwa hasara..huku anawadai 6 bilioni....mnaweza kumlipa za chini ya carpet anataka hati za majengo...ndio maana baadhi ya wazee walikuwa wanamtaka Bakhresa..Mo kibakaMsije mkapitisha tu lile bakuli lenu tu, mtatutia aibu mbele ya wageni na hivi supersport wako live
Sent using Jamii Forums mobile app
Moo kwa sasa ni sehemu ya simba hisa zake ndani ya club ni 49% ni na 51% ni za kwetu wanchama,Na yeye ndio anayoihitaji simba zaidi kwa sababu zake za kibiashara kuliko sisi tunavyomwitaji yeye, brother simba ni brand kubwa AfricaMo juzi anajiliza timu inaendeshwa kwa hasara..huku anawadai 6 bilioni....mnaweza kumlipa za chini ya carpet anataka hati za majengo...ndio maana baadhi ya wazee walikuwa wanamtaka Bakhresa..Mo kibaka
Mkuu dakika ya 45 simba sports club-0 Al ahly -1000000Mkuu hii ni Africa tofauti yetu kwenye kandanda ni ndogo sana, ndomana js soura tulimpiga 3 kavu hapa taifa, lakini kwao kule akamsumbua al ahly huyu aliyetupiga 5 na almanisura amfunge sema referee aliwabeba, Why not asife hapa tanzania.
Nitakuita tena hapa mida ya baadae, usije ukakataa kuja tu mkuu.Mkuu dakika ya 45 simba sports club-0 Al ahly -1000000
Hakika umenena vizuri mkuuMwarabu kufungwa uwanja wa taifa anapocheza na simba sio kitu cha ajabu saaaana, labda kwa vijana walioanza kushabikia mpira hivi karibuni. Ni suala la Simba kujiamini na kuperform kwa zaidi ya 100% Mwarabu atakaa tu.