Simba FC kuwapapasa watoto wa Farao leo jioni pale kwa mchina

Aiseehhh mtani huwa unanikoshaga na vulumai naona kama ushindi ni wetu idadi ya magoli tu ndiyo sijui
 
Simba leo tunapindua, matokeo, hakika tutawashangaza hatoki mtu Leo. kwa mchina ni machinjioni kwa yeyote anaye karibishwa tulianza na Swaziland mbane, akafuata nkana akaja mwarabu js soura toka Algeria,

Eee yarabi tunakuomba siku ya Leo, tusamehe pale pote tulipokosoea utusaidie tuweze kurudisha magoli yote, kama ulivyoweza kulisafisha jina la MAN CITY dhidi ya CHELSITA, tusafishe pia sisi zidi ya hao watoto wa farao....Amen.

Uyo Al ahly ndio nani???? Mpapaso square lazima umuhusu Leo.
umeanza vzr umemaliza ovyo
 
Hakuna miujiza kwenye football

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa mechi zao za ugenini si wazuri kama wanavyocheza away unaweza angalia rekodi yao hapa chini wanapocheza nje ya misri
IMG_20190212_131436_068.JPG
 
Mimi ni shabiki wa Simba Sc. Lakini kila ninapo jaribu kupiga magoti kuiombea timu yangu ilipe kisasi kwa wale Waarabu , nasikia sauti inaniambia "Usimjaribu bwana mungu wako" basi , sasa nipo tayari kwa lolote kama Tundu Lisu alivyo sema!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mo juzi anajiliza timu inaendeshwa kwa hasara..huku anawadai 6 bilioni....mnaweza kumlipa za chini ya carpet anataka hati za majengo...ndio maana baadhi ya wazee walikuwa wanamtaka Bakhresa..Mo kibaka
Moo kwa sasa ni sehemu ya simba hisa zake ndani ya club ni 49% ni na 51% ni za kwetu wanchama,Na yeye ndio anayoihitaji simba zaidi kwa sababu zake za kibiashara kuliko sisi tunavyomwitaji yeye, brother simba ni brand kubwa Africa
 
Mkuu hii ni Africa tofauti yetu kwenye kandanda ni ndogo sana, ndomana js soura tulimpiga 3 kavu hapa taifa, lakini kwao kule akamsumbua al ahly huyu aliyetupiga 5 na almanisura amfunge sema referee aliwabeba, Why not asife hapa tanzania.
Mkuu dakika ya 45 simba sports club-0 Al ahly -1000000
 
Mwarabu kufungwa uwanja wa taifa anapocheza na simba sio kitu cha ajabu saaaana, labda kwa vijana walioanza kushabikia mpira hivi karibuni. Ni suala la Simba kujiamini na kuperform kwa zaidi ya 100% Mwarabu atakaa tu.
 
Mwarabu kufungwa uwanja wa taifa anapocheza na simba sio kitu cha ajabu saaaana, labda kwa vijana walioanza kushabikia mpira hivi karibuni. Ni suala la Simba kujiamini na kuperform kwa zaidi ya 100% Mwarabu atakaa tu.
Hakika umenena vizuri mkuu
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom