Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,056
- 8,532
- Thread starter
- #141
Hakika tumewapapasa vilivo Leo waarabu, sasa nidhamu ya ndala fc jumamosi kazi wanayoMnyamaaaaa
Hakika tumewapapasa vilivo Leo waarabu, sasa nidhamu ya ndala fc jumamosi kazi wanayoMnyamaaaaa
Hao tunawafunga 3Hakika tumewapapasa vilivo Leo waarabu, sasa nidhamu ya ndala fc jumamosi kazi wanayo
Inabidi siku iyo tuwaisidie kumrudisha kocha wao mwinyi zahera nyumbani kwao congo akaendelee na kazi yake ya kuimba boringoHao tunawafunga 3
Siku iyo ofa yako ya kwenda taifa juu yangu mama!!
Poaaaa.....!!!!Niko Tayariii!!!!nipo nipo !!!!!Siku iyo ofa yako ya kwenda taifa juu yangu mama!!
Shunie mzigua simuoni Leo!!!Inabidi siku iyo tuwaisidie kumrudisha kocha wao mwinyi zahera nyumbani kwao congo akaendelee na kazi yake ya kuimba boringo
Aya mama tuta kupitia na kigoma ya uruguay siku iyo!!andaa kibwebe
Mbona muongo Sana mwarabu koko wako hakufa 3 hapa goal difference ngapiGD ni - 9
Soura ashinde mkuu sare sio nzuri itambeba VitaWalitudharau sana ama kweli mpira ni dakika 90; kikubwa sasa tuwaombee as vital na j soura wapate draw apo baadae
J soura akishinda atafikisha point 5, nayeye matumaini ya kufuzu yanafukuka na game ijayo tunacheza nae hivyo unaweza kutubania ili yeye afikishe pointi 8, kwaiyo aki draw game yake na yetu inaweza ukawa nzuri maana matumaini ya wao kufuzu yatakuwa yameshuka
Mdau ombi lako limesikiwa
Hakika ombi langu limefanyiwa kazi sasa msimamo wa kundi unasomeka vizuri sanaMdau ombi lako limesikiwa
Kikubwa ni kuhakikisha game ya j soura tunapata point mmoja au zote tatu,tutakuwa tumejitengenezea mazingira mazuri
😂😂😂Hajjat nakuhitaji uku uje utoe ushuhuda
Hahaaa. Nimekuja aisee.