Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,836
- 38,724
Mikia nawashauri mchana mle ugali wakutosha sababu najua leo 12jioni mnapanda kitandani kulala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi niko jirani viunga vya taifa hapa Wailes, nasubiri muda gemuVyura fc hamtokiamini mtacho kiona mishale ya jioni, tukutane taifa tulijaze dimba
Halafu Swahiba hivi Nimekutag sehemu umeona kweli?Simba Leo anashinda 3 kwa 1
Makosa hayatajirudia Tena Leo kwa mchina
Shadeeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo tunatoa posa tu kwa binti mrembo wa kiarabu, ambaye harusi yake itafnyika apo apo tarehe 16 wkend hii, unakaribishwa sana mkuu, kufika kwako ndio kutafanikisha sherehe hizi mbili.Mikia nawashauri mchana mle ugali wakutosha sababu najua leo 12jioni mnapanda kitandani kulala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye busara aliona hatari na kurudi Nyuma, Mwenye kiburi alienda mbele na kuvimba KichwaLeo tunatoa posa tu kwa binti mrembo wa kiarabu, ambaye harusi yake itafnyika apo apo tarehe 16 wkend hii, unakaribishwa sana mkuu, kufika kwako ndio kutafanikisha sherehe hizi mbili.
Hamna kitu kama hicho Swahiba. Muandike tu maumivu mengine sababu kile kidonda kinatoneswa kwa mara nyingine leo.Simba Leo anashinda 3 kwa 1
Makosa hayatajirudia Tena Leo kwa mchina
Shadeeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa sawa ukweli unauma lakini, tukutane baada ya matokeo
Wanacheza na timu gani?, uwanja gani?, kuanzia saa ngapi?, tv gani inaonyesha?, haya yote yalitakiwa kujibiwa kwenye uzi wakoTunaitakia kila la kheri Timu ya Simba katika mechi ngumu ya leo. Watanzania wote tushikamane, tuwe wamoja kuhakikisha timu ya Simba inaibuka kidedea. Ushauri wangu ni kuwa leo wamuanzishe Kipa Dida kwenye goli badala ya Manula.
hahahaha mkuu umenifanya nicheke peke yangu" hawa mlio watuma watulegeze, sijui kama wa taiweza iyo kazi mliyowapatia.Mwenye busara aliona hatari na kurudi Nyuma, Mwenye kiburi alienda mbele na kuvimba Kichwa
Hajjat na wewe pia unakaribishwa kushudia utoaji posa wa kwa binti mrembo wa kiarabu jioni ya Leo, ndoa kamili ni wkend hii tarehe 16 apo apo taifa, kufika kwako kutafanikisha shughuli hizi mbili kikamilifu asante.Hamna kitu kama hicho Swahiba. Muandike maumivu tu.
Mbona mnateseka sana vyura fc, huyu bwana wako aliyekufanya ukashindwa kufuzu 16bora Leo atachofanywa hapo taifa hamtoamini, tukutane taifa tulijaze dimbaMwenye uwezo wa kumfunga Aly Ahly Taifa ni Yanga tuu,Mikia mnajiaumbua.
Sent using Jamii Forums mobile app