Simba atafungwa mechi zote final ya shirikisho CAFCC

Simba atafungwa mechi zote final ya shirikisho CAFCC

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Berkane ndo ilikuwa timu angalau yenye muscle 💪 kwenye mashindano ya shirikisho mwaka huu, maana timu zote zilikuwa dhaifu mno

Simba hajapata mechi ngumu. Mechi ngumu ndo hii ya final

Nina uhakika 💯 Simba hatapata goli wala on target hata 1. Atafungwa mechi zote na magoli mengi.

Kikosi cha Simba ni dhaifu mno, Simba hakuna mchezaji wa kupata nafasi ya kuanza tu pale Berkane. Simba haiwezi kupishana na RS Berkane.

Simba ni under dogs 🐶 Kwa RS Berkane

Kila la heri RS Berkane ma champion 🏆 wapya wa CAFCC
 
Berkane ndo ilikuwa timu angalau yenye muscle 💪 kwenye mashindano ya shirikisho mwaka huu, maana timu zote zilikuwa dhaifu mno

Simba hajapata mechi ngumu
Mechi ngumu ndo hii ya final

Nina uhakika 💯 Simba hatapata goli wala on target hata 1
Atafungwa mechi zote na magoli mengi

Kikosi cha Simba ni dhaifu mno,
Simba hakuna mchezaji wa kupata nafasi ya kuanza tu pale Berkane

Simba haiwezi kupishana na RS Berkane

Simba ni under dogs 🐶 Kwa RS Berkane

Kila la heri RS Berkane ma champion 🏆 wapya wa CAFCC
Mimi Mshabiki kindakindaki wa Simba SC, naomba nipigwe ban ya milele JF Simba SC isipobeba ubingwa CAFCCL 2024/2025.
Screenshot_2023-11-23-13-56-10-25_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Berkane ndo ilikuwa timu angalau yenye muscle 💪 kwenye mashindano ya shirikisho mwaka huu, maana timu zote zilikuwa dhaifu mno

Simba hajapata mechi ngumu
Mechi ngumu ndo hii ya final

Nina uhakika 💯 Simba hatapata goli wala on target hata 1
Atafungwa mechi zote na magoli mengi

Kikosi cha Simba ni dhaifu mno,
Simba hakuna mchezaji wa kupata nafasi ya kuanza tu pale Berkane

Simba haiwezi kupishana na RS Berkane

Simba ni under dogs 🐶 Kwa RS Berkane

Kila la heri RS Berkane ma champion 🏆 wapya wa CAFCC
Masononeko fc
 
Mpanzu hawezi kuja simba ni wa ulaya

Mpanzu kafeli ulaya anarudi zake timu yake

Mapanzu garasha ndio maana kaja simba

Hatuchezi ,hatuchezi ,hatuchezi hatuchezi.

Mpanzi kaja kwa mkopo simba , yanga wameshamalizana nae juu kwa juu


Hatuchezi hatuchezi hatuchezi hatuchezi
 
Berkane ndo ilikuwa timu angalau yenye muscle 💪 kwenye mashindano ya shirikisho mwaka huu, maana timu zote zilikuwa dhaifu mno

Simba hajapata mechi ngumu
Mechi ngumu ndo hii ya final

Nina uhakika 💯 Simba hatapata goli wala on target hata 1
Atafungwa mechi zote na magoli mengi

Kikosi cha Simba ni dhaifu mno,
Simba hakuna mchezaji wa kupata nafasi ya kuanza tu pale Berkane

Simba haiwezi kupishana na RS Berkane

Simba ni under dogs 🐶 Kwa RS Berkane

Kila la heri RS Berkane ma champion 🏆 wapya wa CAFCC
JF ina vitoto vingi sana nowdays. vinaharibu sana JF wewe ukiwa mmoja wao, hapana shaka member mashuhuri wenye upeo wamepunguza sana kutoa mawazo yao.
 
Hapana , Mechi na wale wa South ilikua ngumu kwa Simba ila tukiacha kuangalia mambo kwa mihemko na ushabiki huwezi kuona ugumu wake.

Wale wa South walitolewa na Marefa, walistahili kupata matokeo mechi zote mbili, walipambana uwanjani na walistahili kupata kitu ila dhulma ili waondoa mashindano ni.
Kwasasa Simba wapo vizuri nje ya uwanja ila uwanjani wanazidiwa mbali ata na Azam na Singida.
Tofauti iliyopo ni mipango nje ya uwanja, ata apa kwenye Ligi, Simba Kuna alama zisizo pungua 8/9 wamezipata kwa nguvu ya nje ya uwanja ila uwanjani ilisha shindikana.
 
JF ina vitoto vingi sana nowdays. vinaharibu sana JF wewe ukiwa mmoja wao, hapana shaka member mashuhuri wenye upeo wamepunguza sana kutoa mawazo yao.
Nina miaka 33
 
Hapana , Mechi na wale wa South ilikua ngumu kwa Simba ila tukiacha kuangalia mambo kwa mihemko na ushabiki huwezi kuona ugumu wake.

Wale wa South walitolewa na Marefa, walistahili kupata matokeo mechi zote mbili, walipambana uwanjani na walistahili kupata kitu ila dhulma ili waondoa mashindano ni.
Kwasasa Simba wapo vizuri nje ya uwanja ila uwanjani wanazidiwa mbali ata na Azam na Singida.
Tofauti iliyopo ni mipango nje ya uwanja, ata apa kwenye Ligi, Simba Kuna alama zisizo pungua 8/9 wamezipata kwa nguvu ya nje ya uwanja ila uwanjani ilisha shindikana.
Rais wa RS Berkane ndo makamu wa Rais wa CAF
Kwanza kuwapeleka Zanzibar kawatoa Kwa Mkapa
Ameleta waamuzi wake kutoka south

RS Berkane wapo strong nje na ndani ya uwanja
 
Berkane ndo ilikuwa timu angalau yenye muscle 💪 kwenye mashindano ya shirikisho mwaka huu, maana timu zote zilikuwa dhaifu mno

Simba hajapata mechi ngumu. Mechi ngumu ndo hii ya final

Nina uhakika 💯 Simba hatapata goli wala on target hata 1. Atafungwa mechi zote na magoli mengi.

Kikosi cha Simba ni dhaifu mno, Simba hakuna mchezaji wa kupata nafasi ya kuanza tu pale Berkane. Simba haiwezi kupishana na RS Berkane.

Simba ni under dogs 🐶 Kwa RS Berkane

Kila la heri RS Berkane ma champion 🏆 wapya wa CAFCC
Omba 'ban' sasa ikitokea Simba ameshinda.
 
Berkane ndo ilikuwa timu angalau yenye muscle 💪 kwenye mashindano ya shirikisho mwaka huu, maana timu zote zilikuwa dhaifu mno

Simba hajapata mechi ngumu. Mechi ngumu ndo hii ya final

Nina uhakika 💯 Simba hatapata goli wala on target hata 1. Atafungwa mechi zote na magoli mengi.

Kikosi cha Simba ni dhaifu mno, Simba hakuna mchezaji wa kupata nafasi ya kuanza tu pale Berkane. Simba haiwezi kupishana na RS Berkane.

Simba ni under dogs 🐶 Kwa RS Berkane

Kila la heri RS Berkane ma champion 🏆 wapya wa CAFCC
Huna kazi ya kufanya?
Kutwa kucha kuongea ujingaujinga,mambo ya kipuuzi na ushirikina TU.
Vijana hebu tafuteni kazi za kufanya za kuwaingizia vipato,mjini hapa,ohoo!
 
Back
Top Bottom