Simba aliondoka Deo Njohole, Method Mogella ‘fundi’, Hamis Gaga nini Mohamed Hussein Tshabalala, msikuze mambo

Simba aliondoka Deo Njohole, Method Mogella ‘fundi’, Hamis Gaga nini Mohamed Hussein Tshabalala, msikuze mambo

Soka Ndio Maisha Yangu

Senior Member
Joined
Nov 27, 2024
Posts
110
Reaction score
377
Kama kuna wachezaji ambao ilituuma kuondoka Simba basi ni hawa wafuatao, Deo Njohole, marehemu Method Mogella ‘Fundi’, marehemu Hamis Gaga Gagarino, Zamoyoni Mogella let alone akina Chuji, Chama, Barnabas Sekelo, nashangaa sana media zinamkuuuza Zimbwe, kijana uwezo wake ni wa kawaida sana ss hv, kuna vijana wanazima sana upande wake ila wanaogopa kuja kwa sababu ya kuchezewa nje ya uwanja, lkn hakuna athari yoyote ile Simba ikitafuta mabeki wa pembeni wapya, cha msingi mashabiki wawapokee na wawape sapoti ili wazoee mazingira ya timu, unaweza kuwa mchezaji mzuri sana lkn jina la timu na presha ikakufanya uonekane ww sio kitu, mfano ni Omary Omary, kiungo aliyerudishwa kwa mkopo Mashujaa, Omary anajua sana mpira lakini mazingira yamemfanya ashindwe kucheza mpira, ana body nzuri sana, anajua kureceive mpira, ana nguvu shida mazingira tu.
 
Kama kuna wachezaji ambao ilituuma kuondoka Simba basi ni hawa wafuatao, Deo Njohole, marehemu Method Mogella ‘Fundi’, marehemu Hamis Gaga Gagarino, Zamoyoni Mogella let alone akina Chuji, Chama, Barnabas Sekelo, nashangaa sana media zinamkuuuza Zimbwe, kijana uwezo wake ni wa kawaida sana ss hv, kuna vijana wanazima sana upande wake ila wanaogopa kuja kwa sababu ya kuchezewa nje ya uwanja, lkn hakuna athari yoyote ile Simba ikitafuta mabeki wa pembeni wapya, cha msingi mashabiki wawapokee na wawape sapoti ili wazoee mazingira ya timu, unaweza kuwa mchezaji mzuri sana lkn jina la timu na presha ikakufanya uonekane ww sio kitu, mfano ni Omary Omary, kiungo aliyerudishwa kwa mkopo Mashujaa, Omary anajua sana mpira lakini mazingira yamemfanya ashindwe kucheza mpira, ana body nzuri sana, anajua kureceive mpira, ana nguvu shida mazingira tu.
Sindano imeingia vizuri ndio mnaweweseka sasa
 
Diamond: Nipeni barua yangu!
Wamama: Niisome!
Diamond: Nataka barua yangu !
Wamama: Niisome!
Diamond: Nasema barua yangu!
Wamama: Niisomeeeee!!!
Diamond: ayeeeeeeeeyee!!
Kinanda: tiririri riririri
 
miaka ya hivi karibuni simba ni timu masikini sana!!, kwanza wana umasikini wa kushinda mechi za dabi, pili wana umasikini wa makombe,
na kikubwa zaidi wana umasikini wa uongozi.
 
Sawa ndugu mwandishi..

Lakini Tshabalala akiondoka pengo lake halitazibika kiwepesi hivyo...
 
Kama kuna wachezaji ambao ilituuma kuondoka Simba basi ni hawa wafuatao, Deo Njohole, marehemu Method Mogella ‘Fundi’, marehemu Hamis Gaga Gagarino, Zamoyoni Mogella let alone akina Chuji, Chama, Barnabas Sekelo, nashangaa sana media zinamkuuuza Zimbwe, kijana uwezo wake ni wa kawaida sana ss hv, kuna vijana wanazima sana upande wake ila wanaogopa kuja kwa sababu ya kuchezewa nje ya uwanja, lkn hakuna athari yoyote ile Simba ikitafuta mabeki wa pembeni wapya, cha msingi mashabiki wawapokee na wawape sapoti ili wazoee mazingira ya timu, unaweza kuwa mchezaji mzuri sana lkn jina la timu na presha ikakufanya uonekane ww sio kitu, mfano ni Omary Omary, kiungo aliyerudishwa kwa mkopo Mashujaa, Omary anajua sana mpira lakini mazingira yamemfanya ashindwe kucheza mpira, ana body nzuri sana, anajua kureceive mpira, ana nguvu shida mazingira tu.
Hatutaki mje kutukana mangungu kisa usajili mbovu wa moo kashindwa kumbakisha zimbwe jr.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom