SIM Card Ya Smart Haisomi Kwenye TECNO!!!!

Samahani kidogo mkuu...hivi hizo frequency unazitambuaje na inatofautisha vipi kimtandao katika spidi ya internet...

unagoogle tu kaka kila mtandao wa simu umeelezewa site mbalimbali, kuhusu speed ni wao wenyewe mitandao wanaoamua sio isp. ila mitandao walitakiwa waweke waz kuhusu hz frequency zao ili mtu ajue aina ya simu ya kununua
 
kiukweli smart wameanzisha huduma hii huku hawajajipanga, huku mwanza wengi wanalia na laini zao. wengine wamenunua hazisimamishi network na baada ya kutaka majibu kutoka kwa vijanawao waozunguka na gari wakisema kuwa wasubiri ndani ya mwezi kama tatizo litaedelea waliport
 
Techno s3

Mkuu wewe unatumia hizi CM? hebu nisaidie uBORA wake...! mm natamani kununua ile MINIPAD yao km kuna mtu unamjua aneitumia plz Nishawishi niinunue! Ila nashangaa kitu 1 TECHNO PHANTOM inauzwa hadi laki 5 lkn hz MINIPAD zinauzwa laki 3 Kwanini? msaada plz....!
 
Wakuu,
Nimenunua sim card ya smart (mtandao mpya) ili nifaidi bundles zao ila cha kushangaza inasoma kwenye simu zote kasoro TECNO.
Nimmejaribu kuwacheck ila hawana majibu yanayoeleweka kila mtu ana jibu tofauti.
Niko mwanza, mwenye ujuzi anisaidie!!!

Bradha sio simu za tecno tu hata baadhi ya modem haswa zile za HSDPA!

Heeee hata mimi nina modem ya hsdpa ni shida yaani.
Aiseee atakaye pata solution atujurishe jamani....

bado imenigomea mkuu sijui wapi iko shida!!!!

Cha kuzingatia katika Modem au simu hakikisha hauja Set "3G only" au "WCDMA only" waweza ku set "AUTO" au "WCDMA prefered"

Iwapo umeset 3G only na hawa SMART BRO hawana 3G maeneo yote basi ujue line haitosoma kamwe iwe kwa simu au modem...kwa modem utaambiwa no service...

cha kuzingatia katika simu nenda Setttings>>>>>Mobile networks >>>>>afu set AUTO/WCDMA prefered katika NETWORK MODE
Angalia picha kwa simu

Na iwapo unatumia Modem nenda TOOLS>>>>>OPTIONS>>>>>NETWORK>>>>>NETWORK TYPE afu set WCDMA preferred
 

Attachments

  • 1400187063507.jpg
    1400187063507.jpg
    32.4 KB · Views: 81
Cha kuzingatia katika Modem au simu hakikisha hauja Set "3G only" au "WCDMA only" waweza ku set "AUTO" au "WCDMA prefered"

Iwapo umeset 3G only na hawa SMART BRO hawana 3G maeneo yote basi ujue line haitosoma kamwe iwe kwa simu au modem...kwa modem utaambiwa no service...

cha kuzingatia katika simu nenda Setttings>>>>>Mobile networks >>>>>afu set AUTO/WCDMA prefered katika NETWORK MODE
Angalia picha kwa simu

Na iwapo unatumia Modem nenda TOOLS>>>>>OPTIONS>>>>>NETWORK>>>>>NETWORK TYPE afu set WCDMA preferred

mkuu yote nimefanya lakini hola...mi nafikiri kuna shida si bure hapa!!!
 
Back
Top Bottom