Ghulaam
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 1,847
- 1,440
Nina tatizo nahitajia usaidizi Simu yangu haisomi line ya Airtel na imetokea kukata mawasiliano ghafla tuu kwani mwanzo ilikuwa unasoma vizuri kabisa
Card slot ya simu iko sawa maana line nyingine zote zinasoma Kasoro Airtel
Wakati huohuo line hiyo ya Airtel ukiiweka kwenye simu zingine inasoma pia
Nimetumia njia zote upande wa settings lakini Airtel haisomi
Mwenye ujuzi wa hili anisaidie aina ya Simu ni Redmi Note 11 Pro Plus
Card slot ya simu iko sawa maana line nyingine zote zinasoma Kasoro Airtel
Wakati huohuo line hiyo ya Airtel ukiiweka kwenye simu zingine inasoma pia
Nimetumia njia zote upande wa settings lakini Airtel haisomi
Mwenye ujuzi wa hili anisaidie aina ya Simu ni Redmi Note 11 Pro Plus