Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 5,151
- 14,490
Nimeona kuna hili limepenya kwenye hatua za awali za mchujo wa ubunge kwenye moja ya majimbo huko Arusha? Je mtu huyu ni nani na je ana undugu na aliyewahi kuwa PM Mizengo Pinda??
LengaiNimeona kuna hili limepenya kwenye hatua za awali za mchujo wa ubunge kwenye moja ya majimbo huko Arusha? Je mtu huyu ni nani na je ana undugu na aliyewahi kuwa PM Mizengo Pinda??
Jamii za wafugaji hasa wamasai au wasukuma wana desturi au utaratibu wa kutoa majina ya watoto waliozaliwa kutokana na watu maarufu kwa wakati huo kama viongozi wa serikali au hata wasanii.Nimeona kuna hili limepenya kwenye hatua za awali za mchujo wa ubunge kwenye moja ya majimbo huko Arusha? Je mtu huyu ni nani na je ana undugu na aliyewahi kuwa PM Mizengo Pinda??
Kwa hiyo kwa umri wa huyo jamaa kipindi anazaliwa Mizengo pinda alikuwa maarufu?Jamii za wafugaji hasa wamasai au wasukuma wana desturi au utaratibu wa kutoa majina ya watoto waliozaliwa kutokana na watu maarufu kwa wakati huo kama viongozi wa serikali au hata wasanii.
Kuna watoto wanaitwa Nyerere, Mkapa, Magufuli, Pinda, Kikwete na majina mengine.
Kuna watoto wengine wamepewa majina ya madaktari au manesi waliowasaidia kuwahudumia na kuwazalisha mama zao.
Mtoto wa mkulimaNimeona kuna hili limepenya kwenye hatua za awali za mchujo wa ubunge kwenye moja ya majimbo huko Arusha? Je mtu huyu ni nani na je ana undugu na aliyewahi kuwa PM Mizengo Pinda??
au wa nje ya ndoa😂😂Sylvanus Mizengo Ole PINDA