miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
Hakuna kutoposha,huo ndio ukweli,hakuna dhambi duniani. kama kuna dhambi yesu alikuja kufanya nini? Labda uniambie kwamba yesu alikuja kutalii.
Huko nikujidanganya...... maandiko yanasema baada ya kifo ni hukumu.Sasa kama hakuna dhambi hukumu ya nini?