Serayamajimbo
Senior Member
- Apr 15, 2009
- 191
- 38
Wadau nimeinasa hii habari kwamba Silinde sasa ndiye katibu mpya wa wabunge wa CHADEMA, hii nimeipata kutoka: http://www.facebook.com/pages/John-Mnyika/113913842009362?ref=ts&sk=wall#!/groups/148790445137337/
John: Jj I have realised according to standing rules u guys are very powerful na mnaweza kufanya mengi! Hebu jipangeni! Someni kanuni vizuri na mzitumie ipasavyo hasa kupata mwanya wa kuwabana viongozi wa serikali ambao ni wavivu! Najua mmojammoj...a mmejipanga but bunge lina wanachadema zaidi ya 40. Organised voice ya wabunge 40 waliosoma na kujipanga ni sawa na sauti 300 ya wazee wa usingizi na posho kubwa! Tumia nafasi yako kama katibu wa wabunge kuweka hizi strategies!
Mnyika: Seka, nakubaliana nawe. nitaendelea kumshauri katibu mpya wa wabunge wa CHADEMA David Silinde na viongozi wakuu wa kambi ya upinzani. Nilishaanza, tutaendelea
John: Jj I have realised according to standing rules u guys are very powerful na mnaweza kufanya mengi! Hebu jipangeni! Someni kanuni vizuri na mzitumie ipasavyo hasa kupata mwanya wa kuwabana viongozi wa serikali ambao ni wavivu! Najua mmojammoj...a mmejipanga but bunge lina wanachadema zaidi ya 40. Organised voice ya wabunge 40 waliosoma na kujipanga ni sawa na sauti 300 ya wazee wa usingizi na posho kubwa! Tumia nafasi yako kama katibu wa wabunge kuweka hizi strategies!
Mnyika: Seka, nakubaliana nawe. nitaendelea kumshauri katibu mpya wa wabunge wa CHADEMA David Silinde na viongozi wakuu wa kambi ya upinzani. Nilishaanza, tutaendelea