Silinde katibu mpya wa wabunge wa CHADEMA

Silinde katibu mpya wa wabunge wa CHADEMA

Good move CDM. Lakini hapa Mnyika umeniangusha, kwa nini usingetoa hii taarifa rasmi (au hii haituhusu ?) Anyway, nimependa mmeliona hilo na kuamuua kugawana majukumu. Haikuwa na mantiki kuwanyooshea CCM vidole kuhusiana na kumrundikia mtu mmoja cheo zaidi ya kimoja wakati wengine wenye uwezo wakiwepo.

Sasa Silinde nawe onyesha uwezo

Angetoaje taarifa wakati yeye alishatoswa ukatibu na kuwekwa mwingine? Hawezi kutoa taarifa kwenye jambo ambalo linamhusu yeye mwenyewe kwamba aseme leo nimeondolewa kwenye nafasi ya katibu. Mbowe na Zitto ambao ndio viongozi wa upinzani ndio watoe taarifa kuwa wamemwondoa na kumweka Silinde.

....ndiyohiyo
 
Angetoaje taarifa wakati yeye alishatoswa ukatibu na kuwekwa mwingine? Hawezi kutoa taarifa kwenye jambo ambalo linamhusu yeye mwenyewe kwamba aseme leo nimeondolewa kwenye nafasi ya katibu. Mbowe na Zitto ambao ndio viongozi wa upinzani ndio watoe taarifa kuwa wamemwondoa na kumweka Silinde.

....ndiyohiyo

Duh! habari ndiyo hiyo! Yeye (Mh. Mnyika J.J)ameondolewa kwenye ukatibu wa Wabunge wa CDM tu, lakini bado ni Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Chama. Nadhani bado ni wajibu wake kwenye mambo yanayohusu utoaji wa habari (taarifa)
 
Silinde mbona inasemekana kuwa atarudi nyumbani uchaguzi wa 2015
 
Silinde funga buti sana kamanda soma sana kanuni za bunge lakini pia hakikisha uko wel equiped.
Nakutakia kila la heri.
 
Hayo yote yatafanikiwa kwa kuendesha siasa zenye tija kwa jamaa ya watanzania na si migomo wala kubishana kusiko na sababu.
si kila post unatakiwa uchangie nyingine uanaruhusiwa kuzipotezea,zaidi uwe unachangia zile za ******* wenzio,sawa we kenge...........
 
hongera kamanda David s,tunaiman nawe na tunataraji hutotuangusha. Mh JJ mnyika nawe umetuangusha kahabari haka mpaka wadau wakaotee fb nawe ni msemaji+member hapa kungekuwa nautambusho formal nadhan ingeongeze sifa kwa chama
niliwahi kulalamikia hili watu hawakunielewa ona sasa, Nadhani ilikuwa bora aidha angetoa kwenye media
 
Anafaa sana.Wako wapi wale waliosema Slaa anamrundikia vyeo Mnyika kwa upendeleo?

Nilidhani hii habari ni tetesi, kumbe kurugenzi ya habari na uenezi ilishatoa taarifa rasmi kwa vyombo vya habari,


"Kamati ya Wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imemuteua mbunge wa Mbozi Magharibi, David Silinde kuwa Kaimu Katibu wa Wabunge wa Chadema, kwenye mkutano wa sita wa Bunge uliomalizika hivi karibuni.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa umma jijini Dar es Salaam juzi na Ofisa Habari wa chama hicho Tumaini Makene na kupatikana kwa vyombo vya habari ilisema kwamba, uteuzi huo Silinde unaziba nafasi iliyoachwa wazi na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika ambaye amepangiwa majukumu mengine."

Hii nimeinasa hapa: Silinde abebeshwa mikoba ya Mnyika

Asha
 
Hayo yote yatafanikiwa kwa kuendesha siasa zenye tija kwa jamaa ya watanzania na si migomo wala kubishana kusiko na sababu.

migomo na maandamano ni sehemu muhimu za harakati za ukombozi wa mtanzania anateseka ndani ya nchi yake, kwa hiyo hatutarudi nyuma daima cdm mbeleeee! mpaka kieleweke
 
Hongera Silinde,naona Mnyika ameachia ngaz kutokana na majukumu mengi katika chama,je ataweza viatu vya J.Mnyika
ataweza jamaa yuko powa tangia akiwa chuo nadhani ujasiri wa kupambana na ma professor wa udsm waliosoma atauendeleza mpaka bungeni.
 
Big up to CDM kwa mgawanyo wa madaraka, itawezesha wengine kupata experience siyo kurundika madaraka kwa m2 mmoja.
 
ila usisahau kuwatumikia wana mbozi, hao ndo waajiri wako wakuu.
 
Back
Top Bottom