Hana akili,mbunge unategemea kutafuta cha kuongea bungeni kwenye online forum?
Unatuaminisha kwamba yaliyomo kwenye forum ni hadithi za sungura na fisi? unashangaza wewe kumshangaa silinde, kwani forums si chombo cha habari kama ilivyo TBC, kwani kuna tofauti ya habari iliyotolewa kwenye luninga na iliyotolewa on line? Kwa nini wewe umeamini hapa ni mahali sahihi pa kumtetea huyo membe kama umeona its just forum?