Sikutarajia Ole Sabaya aendelee kuwepo, Jipe Moyo Wazalendo tuko na wewe

Jul 19, 2020
39
128
MAONI KUHUSU DC LENGAI OLE SABAYA KUSIMAMISHWA U-DC WILAYA YA HAI

Cde, Daniel Limbu
0752114510

DC LENGAI OLE SABAYA ni kijana mzalendo wa kweli kwa Taifa letu.

Tumezisikia shutuma nyingi sana kumhusu Lengai Ole Sabaya tangu akiwa M/kiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha na bahati nzuri nimeishi naye kama kiongozi wangu kwenye Chama,nimesali naye mara nyingi sana pale Kanisa la Arusha Kati kwa muda mrefu kabla hajateuliwa kuwa hata DC.

Siku chache zilizopita nilipata fursa ya kujadiliana naye kuhusu mstakabali wa maisha yake kisiasa kabla hata hajapata kuhojiwa na Cloud TV na miongoni mwa mengi niliyomwambia ilikuwa ni kumtia moyo maana hatabaki salama kwenye nafasi yake kulingana na nadharia tunduishi ambazo zimeonekana wazi kwamba hatakiwi tena Serikalini.

Lengai Ole Sabaya ametuhumiwa kwa mengi lakini lililo kubwa zaidi ni msuli wake wa kisiasa ambao umetikisa wengi kanda ya Kaskazini Arusha na Kilimanjaro.

Huyu Sabaya alikuwa mwiba mkubwa kwa Chadema ya Mbowe wilaya ya Hai na Chadema ya Godbless Lema Arusha mjini na miongoni mwa Vijana ambao binafsi na CCM inatakiwa kujivunia kwao ni huyu Lengai Ole Sabaya.

Miongoni mwa watu waliofanikiwa kuisaidia CCM kurejesha heshima yake na kusambaratisha ngome ya Chadema Arusha na Kilimanjaro yamechangiwa na huyu jemedari wa siasa za jukwaani na kimkakati.

Lengai Ole Sabaya amesimashwa kazi si kwa sababu aliiba au kumdhulumu mtu yeyote,
Amesimamishwa kazi kwa tuhuma za kisiasa kwa sababu alivuruga maslahi ya wachache waliojitoa kuwaibia wengi wilaya ya Hai.

Binafsi sikutarajia Lengai Ole Sabaya aendelee kuwemo kwenye nafasi yake ya Ukuu wa wilaya ya Hai kwa sasa hii inatokana na aina ya serikali iliyopo kwani vijana ambao walisimamia misingi ya kuitetea nchi yetu kwa Uzalendo wao mfumo hauwahitaji tena.

Vijana aina ya Lenagai Ole Sabaya Sasa watabaki kwenye kundi la kuadhibiwa na kudharirishwa hata kama hicho wanachopitia hakikuwasitahili kwa umuhimu wao ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake.

Lengai Ole Sabaya amesimamia anachomiamini mpaka mwisho na ametimiza wajibu wake kwa watu wa Wilaya ya Hai na nchi yake na tuzo itatoka kwa Mungu.

Huu ni mkakati wa kufumua vijana wazalendo tishio la serikali dharimu inayoanza kujijenga nchini.

Lengai Ole Sabaya amesimamia alichokuwa anakiamini Kama ambavyo baba yake mzee Sabaya alivyotimiza wajibu wake alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara na wakati huohuo akikaimu Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda katika kipindi Cha Awamu ya tatu na Nne.

Asili ya Ujasili wa Lenagi Ole Sabaya inatokana na malezi na makuzi yake ya kizalendo ambayo alijengewa na misimamo thabiti ya familia yake.Hulka ya huyu kijana inazaa vijana wengi ambao tumeamua kuisimamia haki katika kipindi cha giza nene baada ya kifo Cha Hayati Dkt John Pombe Magufuli.

Ombi langu kwa Lengai Ole Sabaya kamwe usijione mnyonge japo maumivu ya lililokutokea ni makubwa kuliko taji na heshima uliyotakiwa kupewa kama shujaa na mzalendo kwa nchi na Taifa lako jipe moyo mapambano yaendelee.

Najua wapo wengi watabeza na kufurahia kusimamishwa kwako maana kwao ni ushindi mkubwa kwani unahalarisha udharimu wao kwa watu wanyonge wa Wilaya ya Hai na Tanzania.

Maadui zako wanafurahia anguko lako lakini vijana wazalendo wa nchi hii wanasikitika pamoja na wewe,Wazalendo wa nchi hii tunakuamini sana na tunakuunga mkono.

Naamini kuondolewa kwako sio mwisho wa Safari ya mapambano katika kuidai haki ya mnyonge wa nchi hii.

Lengai Ole Sabaya umepita kwenye tanuru la Moto wa Mtakasaji ili kukuandaa kuwa dhababu Safi kwa ajili ya utumishi wa Taifa hili siku za usoni.

Pambania ndoto kubwa but In God's time your crown will be placed on the right place.

Cde Daniel Limbu
0752114510
 
Kapokee vocha ya ID. Ila kwa hakika maovu ya sababu kama kuteka watu, kuvamia biashara hata nje ya wilaya yake kiutawala, kuua na hata kejeli kwa viongozi wake wa juu (waziri mkuu na mkuu wake wa mkoa) havikotosha kumuondoa. Hatutakaa tupate mtu jasiri kama huyu. Hata hivyo tumpongeze kama kwa kuendelea kuwa mpenda haki na kukataa dharau za majambazi kama haya.
MAONI KUHUSU DC LENGAI OLE SABAYA KUSIMAMISHWA U-DC WILAYA YA HAI

Cde, Daniel Limbu
0752114510

DC LENGAI OLE SABAYA ni kijana mzalendo wa kweli kwa Taifa letu.

Tumezisikia shutuma nyingi sana kumhusu Lengai Ole Sabaya tangu akiwa M/kiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha na bahati nzuri nimeishi naye kama kiongozi wangu kwenye Chama,nimesali naye mara nyingi sana pale Kanisa la Arusha Kati kwa muda mrefu kabla hajateuliwa kuwa hata DC.

Siku chache zilizopita nilipata fursa ya kujadiliana naye kuhusu mstakabali wa maisha yake kisiasa kabla hata hajapata kuhojiwa na Cloud TV na miongoni mwa mengi niliyomwambia ilikuwa ni kumtia moyo maana hatabaki salama kwenye nafasi yake kulingana na nadharia tunduishi ambazo zimeonekana wazi kwamba hatakiwi tena Serikalini.

Lengai Ole Sabaya ametuhumiwa kwa mengi lakini lililo kubwa zaidi ni msuli wake wa kisiasa ambao umetikisa wengi kanda ya Kaskazini Arusha na Kilimanjaro.

Huyu Sabaya alikuwa mwiba mkubwa kwa Chadema ya Mbowe wilaya ya Hai na Chadema ya Godbless Lema Arusha mjini na miongoni mwa Vijana ambao binafsi na CCM inatakiwa kujivunia kwao ni huyu Lengai Ole Sabaya.

Miongoni mwa watu waliofanikiwa kuisaidia CCM kurejesha heshima yake na kusambaratisha ngome ya Chadema Arusha na Kilimanjaro yamechangiwa na huyu jemedari wa siasa za jukwaani na kimkakati.

Lengai Ole Sabaya amesimashwa kazi si kwa sababu aliiba au kumdhulumu mtu yeyote,
Amesimamishwa kazi kwa tuhuma za kisiasa kwa sababu alivuruga maslahi ya wachache waliojitoa kuwaibia wengi wilaya ya Hai.

Binafsi sikutarajia Lengai Ole Sabaya aendelee kuwemo kwenye nafasi yake ya Ukuu wa wilaya ya Hai kwa sasa hii inatokana na aina ya serikali iliyopo kwani vijana ambao walisimamia misingi ya kuitetea nchi yetu kwa Uzalendo wao mfumo hauwahitaji tena.

Vijana aina ya Lenagai Ole Sabaya Sasa watabaki kwenye kundi la kuadhibiwa na kudharirishwa hata kama hicho wanachopitia hakikuwasitahili kwa umuhimu wao ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake.

Lengai Ole Sabaya amesimamia anachomiamini mpaka mwisho na ametimiza wajibu wake kwa watu wa Wilaya ya Hai na nchi yake na tuzo itatoka kwa Mungu.

Huu ni mkakati wa kufumua vijana wazalendo tishio la serikali dharimu inayoanza kujijenga nchini.

Lengai Ole Sabaya amesimamia alichokuwa anakiamini Kama ambavyo baba yake mzee Sabaya alivyotimiza wajibu wake alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara na wakati huohuo akikaimu Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda katika kipindi Cha Awamu ya tatu na Nne.

Asili ya Ujasili wa Lenagi Ole Sabaya inatokana na malezi na makuzi yake ya kizalendo ambayo alijengewa na misimamo thabiti ya familia yake.Hulka ya huyu kijana inazaa vijana wengi ambao tumeamua kuisimamia haki katika kipindi cha giza nene baada ya kifo Cha Hayati Dkt John Pombe Magufuli.

Ombi langu kwa Lengai Ole Sabaya kamwe usijione mnyonge japo maumivu ya lililokutokea ni makubwa kuliko taji na heshima uliyotakiwa kupewa kama shujaa na mzalendo kwa nchi na Taifa lako jipe moyo mapambano yaendelee.

Najua wapo wengi watabeza na kufurahia kusimamishwa kwako maana kwao ni ushindi mkubwa kwani unahalarisha udharimu wao kwa watu wanyonge wa Wilaya ya Hai na Tanzania.

Maadui zako wanafurahia anguko lako lakini vijana wazalendo wa nchi hii wanasikitika pamoja na wewe,Wazalendo wa nchi hii tunakuamini sana na tunakuunga mkono.

Naamini kuondolewa kwako sio mwisho wa Safari ya mapambano katika kuidai haki ya mnyonge wa nchi hii.

Lengai Ole Sabaya umepita kwenye tanuru la Moto wa Mtakasaji ili kukuandaa kuwa dhababu Safi kwa ajili ya utumishi wa Taifa hili siku za usoni.

Pambania ndoto kubwa but In God's time your crown will be placed on the right place.

Cde Daniel Limbu
0752114510
 
MAONI KUHUSU DC LENGAI OLE SABAYA KUSIMAMISHWA U-DC WILAYA YA HAI

Cde, Daniel Limbu
0752114510

DC LENGAI OLE SABAYA ni kijana mzalendo wa kweli kwa Taifa letu.

Tumezisikia shutuma nyingi sana kumhusu Lengai Ole Sabaya tangu akiwa M/kiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha na bahati nzuri nimeishi naye kama kiongozi wangu kwenye Chama,nimesali naye mara nyingi sana pale Kanisa la Arusha Kati kwa muda mrefu kabla hajateuliwa kuwa hata DC.

Siku chache zilizopita nilipata fursa ya kujadiliana naye kuhusu mstakabali wa maisha yake kisiasa kabla hata hajapata kuhojiwa na Cloud TV na miongoni mwa mengi niliyomwambia ilikuwa ni kumtia moyo maana hatabaki salama kwenye nafasi yake kulingana na nadharia tunduishi ambazo zimeonekana wazi kwamba hatakiwi tena Serikalini.

Lengai Ole Sabaya ametuhumiwa kwa mengi lakini lililo kubwa zaidi ni msuli wake wa kisiasa ambao umetikisa wengi kanda ya Kaskazini Arusha na Kilimanjaro.

Huyu Sabaya alikuwa mwiba mkubwa kwa Chadema ya Mbowe wilaya ya Hai na Chadema ya Godbless Lema Arusha mjini na miongoni mwa Vijana ambao binafsi na CCM inatakiwa kujivunia kwao ni huyu Lengai Ole Sabaya.

Miongoni mwa watu waliofanikiwa kuisaidia CCM kurejesha heshima yake na kusambaratisha ngome ya Chadema Arusha na Kilimanjaro yamechangiwa na huyu jemedari wa siasa za jukwaani na kimkakati.

Lengai Ole Sabaya amesimashwa kazi si kwa sababu aliiba au kumdhulumu mtu yeyote,
Amesimamishwa kazi kwa tuhuma za kisiasa kwa sababu alivuruga maslahi ya wachache waliojitoa kuwaibia wengi wilaya ya Hai.

Binafsi sikutarajia Lengai Ole Sabaya aendelee kuwemo kwenye nafasi yake ya Ukuu wa wilaya ya Hai kwa sasa hii inatokana na aina ya serikali iliyopo kwani vijana ambao walisimamia misingi ya kuitetea nchi yetu kwa Uzalendo wao mfumo hauwahitaji tena.

Vijana aina ya Lenagai Ole Sabaya Sasa watabaki kwenye kundi la kuadhibiwa na kudharirishwa hata kama hicho wanachopitia hakikuwasitahili kwa umuhimu wao ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake.

Lengai Ole Sabaya amesimamia anachomiamini mpaka mwisho na ametimiza wajibu wake kwa watu wa Wilaya ya Hai na nchi yake na tuzo itatoka kwa Mungu.

Huu ni mkakati wa kufumua vijana wazalendo tishio la serikali dharimu inayoanza kujijenga nchini.

Lengai Ole Sabaya amesimamia alichokuwa anakiamini Kama ambavyo baba yake mzee Sabaya alivyotimiza wajibu wake alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara na wakati huohuo akikaimu Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda katika kipindi Cha Awamu ya tatu na Nne.

Asili ya Ujasili wa Lenagi Ole Sabaya inatokana na malezi na makuzi yake ya kizalendo ambayo alijengewa na misimamo thabiti ya familia yake.Hulka ya huyu kijana inazaa vijana wengi ambao tumeamua kuisimamia haki katika kipindi cha giza nene baada ya kifo Cha Hayati Dkt John Pombe Magufuli.

Ombi langu kwa Lengai Ole Sabaya kamwe usijione mnyonge japo maumivu ya lililokutokea ni makubwa kuliko taji na heshima uliyotakiwa kupewa kama shujaa na mzalendo kwa nchi na Taifa lako jipe moyo mapambano yaendelee.

Najua wapo wengi watabeza na kufurahia kusimamishwa kwako maana kwao ni ushindi mkubwa kwani unahalarisha udharimu wao kwa watu wanyonge wa Wilaya ya Hai na Tanzania.

Maadui zako wanafurahia anguko lako lakini vijana wazalendo wa nchi hii wanasikitika pamoja na wewe,Wazalendo wa nchi hii tunakuamini sana na tunakuunga mkono.

Naamini kuondolewa kwako sio mwisho wa Safari ya mapambano katika kuidai haki ya mnyonge wa nchi hii.

Lengai Ole Sabaya umepita kwenye tanuru la Moto wa Mtakasaji ili kukuandaa kuwa dhababu Safi kwa ajili ya utumishi wa Taifa hili siku za usoni.

Pambania ndoto kubwa but In God's time your crown will be placed on the right place.

Cde Daniel Limbu
0752114510
Naunga mkono hoja.
Kwa mara nyingine tunaondoshewa kiongozi mwingine mzalendo..!
 
MAONI KUHUSU DC LENGAI OLE SABAYA KUSIMAMISHWA U-DC WILAYA YA HAI

Cde, Daniel Limbu
0752114510

DC LENGAI OLE SABAYA ni kijana mzalendo wa kweli kwa Taifa letu.

Tumezisikia shutuma nyingi sana kumhusu Lengai Ole Sabaya tangu akiwa M/kiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha na bahati nzuri nimeishi naye kama kiongozi wangu kwenye Chama,nimesali naye mara nyingi sana pale Kanisa la Arusha Kati kwa muda mrefu kabla hajateuliwa kuwa hata DC.

Siku chache zilizopita nilipata fursa ya kujadiliana naye kuhusu mstakabali wa maisha yake kisiasa kabla hata hajapata kuhojiwa na Cloud TV na miongoni mwa mengi niliyomwambia ilikuwa ni kumtia moyo maana hatabaki salama kwenye nafasi yake kulingana na nadharia tunduishi ambazo zimeonekana wazi kwamba hatakiwi tena Serikalini.

Lengai Ole Sabaya ametuhumiwa kwa mengi lakini lililo kubwa zaidi ni msuli wake wa kisiasa ambao umetikisa wengi kanda ya Kaskazini Arusha na Kilimanjaro.

Huyu Sabaya alikuwa mwiba mkubwa kwa Chadema ya Mbowe wilaya ya Hai na Chadema ya Godbless Lema Arusha mjini na miongoni mwa Vijana ambao binafsi na CCM inatakiwa kujivunia kwao ni huyu Lengai Ole Sabaya.

Miongoni mwa watu waliofanikiwa kuisaidia CCM kurejesha heshima yake na kusambaratisha ngome ya Chadema Arusha na Kilimanjaro yamechangiwa na huyu jemedari wa siasa za jukwaani na kimkakati.

Lengai Ole Sabaya amesimashwa kazi si kwa sababu aliiba au kumdhulumu mtu yeyote,
Amesimamishwa kazi kwa tuhuma za kisiasa kwa sababu alivuruga maslahi ya wachache waliojitoa kuwaibia wengi wilaya ya Hai.

Binafsi sikutarajia Lengai Ole Sabaya aendelee kuwemo kwenye nafasi yake ya Ukuu wa wilaya ya Hai kwa sasa hii inatokana na aina ya serikali iliyopo kwani vijana ambao walisimamia misingi ya kuitetea nchi yetu kwa Uzalendo wao mfumo hauwahitaji tena.

Vijana aina ya Lenagai Ole Sabaya Sasa watabaki kwenye kundi la kuadhibiwa na kudharirishwa hata kama hicho wanachopitia hakikuwasitahili kwa umuhimu wao ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake.

Lengai Ole Sabaya amesimamia anachomiamini mpaka mwisho na ametimiza wajibu wake kwa watu wa Wilaya ya Hai na nchi yake na tuzo itatoka kwa Mungu.

Huu ni mkakati wa kufumua vijana wazalendo tishio la serikali dharimu inayoanza kujijenga nchini.

Lengai Ole Sabaya amesimamia alichokuwa anakiamini Kama ambavyo baba yake mzee Sabaya alivyotimiza wajibu wake alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara na wakati huohuo akikaimu Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda katika kipindi Cha Awamu ya tatu na Nne.

Asili ya Ujasili wa Lenagi Ole Sabaya inatokana na malezi na makuzi yake ya kizalendo ambayo alijengewa na misimamo thabiti ya familia yake.Hulka ya huyu kijana inazaa vijana wengi ambao tumeamua kuisimamia haki katika kipindi cha giza nene baada ya kifo Cha Hayati Dkt John Pombe Magufuli.

Ombi langu kwa Lengai Ole Sabaya kamwe usijione mnyonge japo maumivu ya lililokutokea ni makubwa kuliko taji na heshima uliyotakiwa kupewa kama shujaa na mzalendo kwa nchi na Taifa lako jipe moyo mapambano yaendelee.

Najua wapo wengi watabeza na kufurahia kusimamishwa kwako maana kwao ni ushindi mkubwa kwani unahalarisha udharimu wao kwa watu wanyonge wa Wilaya ya Hai na Tanzania.

Maadui zako wanafurahia anguko lako lakini vijana wazalendo wa nchi hii wanasikitika pamoja na wewe,Wazalendo wa nchi hii tunakuamini sana na tunakuunga mkono.

Naamini kuondolewa kwako sio mwisho wa Safari ya mapambano katika kuidai haki ya mnyonge wa nchi hii.

Lengai Ole Sabaya umepita kwenye tanuru la Moto wa Mtakasaji ili kukuandaa kuwa dhababu Safi kwa ajili ya utumishi wa Taifa hili siku za usoni.

Pambania ndoto kubwa but In God's time your crown will be placed on the right place.

Cde Daniel Limbu
0752114510
Rais hamtaki sasa. Hata polepole nashauri akatafute kazi nyingine, awamu ya sita inaonekana vijana wa type yake hawatakiwi...
 
MAONI KUHUSU DC LENGAI OLE SABAYA KUSIMAMISHWA U-DC WILAYA YA HAI

Cde, Daniel Limbu
0752114510

DC LENGAI OLE SABAYA ni kijana mzalendo wa kweli kwa Taifa letu.

Tumezisikia shutuma nyingi sana kumhusu Lengai Ole Sabaya tangu akiwa M/kiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha na bahati nzuri nimeishi naye kama kiongozi wangu kwenye Chama,nimesali naye mara nyingi sana pale Kanisa la Arusha Kati kwa muda mrefu kabla hajateuliwa kuwa hata DC.

Siku chache zilizopita nilipata fursa ya kujadiliana naye kuhusu mstakabali wa maisha yake kisiasa kabla hata hajapata kuhojiwa na Cloud TV na miongoni mwa mengi niliyomwambia ilikuwa ni kumtia moyo maana hatabaki salama kwenye nafasi yake kulingana na nadharia tunduishi ambazo zimeonekana wazi kwamba hatakiwi tena Serikalini.

Lengai Ole Sabaya ametuhumiwa kwa mengi lakini lililo kubwa zaidi ni msuli wake wa kisiasa ambao umetikisa wengi kanda ya Kaskazini Arusha na Kilimanjaro.

Huyu Sabaya alikuwa mwiba mkubwa kwa Chadema ya Mbowe wilaya ya Hai na Chadema ya Godbless Lema Arusha mjini na miongoni mwa Vijana ambao binafsi na CCM inatakiwa kujivunia kwao ni huyu Lengai Ole Sabaya.

Miongoni mwa watu waliofanikiwa kuisaidia CCM kurejesha heshima yake na kusambaratisha ngome ya Chadema Arusha na Kilimanjaro yamechangiwa na huyu jemedari wa siasa za jukwaani na kimkakati.

Lengai Ole Sabaya amesimashwa kazi si kwa sababu aliiba au kumdhulumu mtu yeyote,
Amesimamishwa kazi kwa tuhuma za kisiasa kwa sababu alivuruga maslahi ya wachache waliojitoa kuwaibia wengi wilaya ya Hai.

Binafsi sikutarajia Lengai Ole Sabaya aendelee kuwemo kwenye nafasi yake ya Ukuu wa wilaya ya Hai kwa sasa hii inatokana na aina ya serikali iliyopo kwani vijana ambao walisimamia misingi ya kuitetea nchi yetu kwa Uzalendo wao mfumo hauwahitaji tena.

Vijana aina ya Lenagai Ole Sabaya Sasa watabaki kwenye kundi la kuadhibiwa na kudharirishwa hata kama hicho wanachopitia hakikuwasitahili kwa umuhimu wao ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake.

Lengai Ole Sabaya amesimamia anachomiamini mpaka mwisho na ametimiza wajibu wake kwa watu wa Wilaya ya Hai na nchi yake na tuzo itatoka kwa Mungu.

Huu ni mkakati wa kufumua vijana wazalendo tishio la serikali dharimu inayoanza kujijenga nchini.

Lengai Ole Sabaya amesimamia alichokuwa anakiamini Kama ambavyo baba yake mzee Sabaya alivyotimiza wajibu wake alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara na wakati huohuo akikaimu Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda katika kipindi Cha Awamu ya tatu na Nne.

Asili ya Ujasili wa Lenagi Ole Sabaya inatokana na malezi na makuzi yake ya kizalendo ambayo alijengewa na misimamo thabiti ya familia yake.Hulka ya huyu kijana inazaa vijana wengi ambao tumeamua kuisimamia haki katika kipindi cha giza nene baada ya kifo Cha Hayati Dkt John Pombe Magufuli.

Ombi langu kwa Lengai Ole Sabaya kamwe usijione mnyonge japo maumivu ya lililokutokea ni makubwa kuliko taji na heshima uliyotakiwa kupewa kama shujaa na mzalendo kwa nchi na Taifa lako jipe moyo mapambano yaendelee.

Najua wapo wengi watabeza na kufurahia kusimamishwa kwako maana kwao ni ushindi mkubwa kwani unahalarisha udharimu wao kwa watu wanyonge wa Wilaya ya Hai na Tanzania.

Maadui zako wanafurahia anguko lako lakini vijana wazalendo wa nchi hii wanasikitika pamoja na wewe,Wazalendo wa nchi hii tunakuamini sana na tunakuunga mkono.

Naamini kuondolewa kwako sio mwisho wa Safari ya mapambano katika kuidai haki ya mnyonge wa nchi hii.

Lengai Ole Sabaya umepita kwenye tanuru la Moto wa Mtakasaji ili kukuandaa kuwa dhababu Safi kwa ajili ya utumishi wa Taifa hili siku za usoni.

Pambania ndoto kubwa but In God's time your crown will be placed on the right place.

Cde Daniel Limbu
0752114510
Nyinyi ni vijana wapumbavu tu! Hamna uzalendo wowote ule. Mkafie mbali kabisa huko. mungu mtu wenu aliyewajaza ujinga vichwani mwenu, amesha twaliwa na Baba Muumba!

Ni wakati wenu sasa kuomba radhi kwa Watanzania kwa upuuzi wenu wote mlio wafanyia. Mlijawa na dharau, majivuno, kiburi na ulevi wa madaraka. Mlipewa nafasi ambazo hamkustahili kabisa kupewa kwa sababu hamkuwa na chembe hata moja ya sifa ya kushikilia hizo nafasi zaidi tu ya kumtukuza na kumuimbia mapambio mungu mtu wenu!
 
Sabaya hajafutwa kazi, bali amesimamishwa kwa muda ili kupisha uchunguzi kuhusu shutuma anazoshutumiwa. Ninachokiona hapa ni kama vile kumtafutia njia nzuri ya kumsafisha, kwani baada ya muda itakuja report inayoonesha kuwa haya yote anayoshutumiwa Sabaya sio ya kweli (kwa vile uchunguzi utakuwa ushafanyika Sabaya akiwa nje ya ofisi) basi itakuwa ngumu watu kuendelea kumshutumu kwan tayar kesi yake itakuwa imekwisha msafisha, na hapo sasa atateuliwa kuwa mkuu wa mkoa fulani (jina kapuni). Vijana tulieni muone siasa inavyochezwa. Huyu bwana hajatumbuliwa bali kasimamishwa kwa muda eti kupisha uchunguzi. Hapo wenye akili mtaanza kupata picha.
 
Naunga mkono hoja.
Kwa mara nyingine tunaondoshewa kiongozi mwingine mzalendo..!
define uzalendo? with vivie example differentiate patriotism and nationalism?
mwisho uzalendo una cover madudu ya kiongozi husika? aki misbehave aachwe kwasababu ni mzalendo?
 
MAONI KUHUSU DC LENGAI OLE SABAYA KUSIMAMISHWA U-DC WILAYA YA HAI

Cde, Daniel Limbu
0752114510

DC LENGAI OLE SABAYA ni kijana mzalendo wa kweli kwa Taifa letu.

Tumezisikia shutuma nyingi sana kumhusu Lengai Ole Sabaya tangu akiwa M/kiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha na bahati nzuri nimeishi naye kama kiongozi wangu kwenye Chama,nimesali naye mara nyingi sana pale Kanisa la Arusha Kati kwa muda mrefu kabla hajateuliwa kuwa hata DC.

Siku chache zilizopita nilipata fursa ya kujadiliana naye kuhusu mstakabali wa maisha yake kisiasa kabla hata hajapata kuhojiwa na Cloud TV na miongoni mwa mengi niliyomwambia ilikuwa ni kumtia moyo maana hatabaki salama kwenye nafasi yake kulingana na nadharia tunduishi ambazo zimeonekana wazi kwamba hatakiwi tena Serikalini.

Lengai Ole Sabaya ametuhumiwa kwa mengi lakini lililo kubwa zaidi ni msuli wake wa kisiasa ambao umetikisa wengi kanda ya Kaskazini Arusha na Kilimanjaro.

Huyu Sabaya alikuwa mwiba mkubwa kwa Chadema ya Mbowe wilaya ya Hai na Chadema ya Godbless Lema Arusha mjini na miongoni mwa Vijana ambao binafsi na CCM inatakiwa kujivunia kwao ni huyu Lengai Ole Sabaya.

Miongoni mwa watu waliofanikiwa kuisaidia CCM kurejesha heshima yake na kusambaratisha ngome ya Chadema Arusha na Kilimanjaro yamechangiwa na huyu jemedari wa siasa za jukwaani na kimkakati.

Lengai Ole Sabaya amesimashwa kazi si kwa sababu aliiba au kumdhulumu mtu yeyote,
Amesimamishwa kazi kwa tuhuma za kisiasa kwa sababu alivuruga maslahi ya wachache waliojitoa kuwaibia wengi wilaya ya Hai.

Binafsi sikutarajia Lengai Ole Sabaya aendelee kuwemo kwenye nafasi yake ya Ukuu wa wilaya ya Hai kwa sasa hii inatokana na aina ya serikali iliyopo kwani vijana ambao walisimamia misingi ya kuitetea nchi yetu kwa Uzalendo wao mfumo hauwahitaji tena.

Vijana aina ya Lenagai Ole Sabaya Sasa watabaki kwenye kundi la kuadhibiwa na kudharirishwa hata kama hicho wanachopitia hakikuwasitahili kwa umuhimu wao ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake.

Lengai Ole Sabaya amesimamia anachomiamini mpaka mwisho na ametimiza wajibu wake kwa watu wa Wilaya ya Hai na nchi yake na tuzo itatoka kwa Mungu.

Huu ni mkakati wa kufumua vijana wazalendo tishio la serikali dharimu inayoanza kujijenga nchini.

Lengai Ole Sabaya amesimamia alichokuwa anakiamini Kama ambavyo baba yake mzee Sabaya alivyotimiza wajibu wake alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara na wakati huohuo akikaimu Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda katika kipindi Cha Awamu ya tatu na Nne.

Asili ya Ujasili wa Lenagi Ole Sabaya inatokana na malezi na makuzi yake ya kizalendo ambayo alijengewa na misimamo thabiti ya familia yake.Hulka ya huyu kijana inazaa vijana wengi ambao tumeamua kuisimamia haki katika kipindi cha giza nene baada ya kifo Cha Hayati Dkt John Pombe Magufuli.

Ombi langu kwa Lengai Ole Sabaya kamwe usijione mnyonge japo maumivu ya lililokutokea ni makubwa kuliko taji na heshima uliyotakiwa kupewa kama shujaa na mzalendo kwa nchi na Taifa lako jipe moyo mapambano yaendelee.

Najua wapo wengi watabeza na kufurahia kusimamishwa kwako maana kwao ni ushindi mkubwa kwani unahalarisha udharimu wao kwa watu wanyonge wa Wilaya ya Hai na Tanzania.

Maadui zako wanafurahia anguko lako lakini vijana wazalendo wa nchi hii wanasikitika pamoja na wewe,Wazalendo wa nchi hii tunakuamini sana na tunakuunga mkono.

Naamini kuondolewa kwako sio mwisho wa Safari ya mapambano katika kuidai haki ya mnyonge wa nchi hii.

Lengai Ole Sabaya umepita kwenye tanuru la Moto wa Mtakasaji ili kukuandaa kuwa dhababu Safi kwa ajili ya utumishi wa Taifa hili siku za usoni.

Pambania ndoto kubwa but In God's time your crown will be placed on the right place.

Cde Daniel Limbu
0752114510
Naona dodoki linaendelea

Mama ametupa zawadi nzuri ya Eid. Huu ni ushahidi kuwa Sabaya ameumiza watu wengi ndio maana maamuzi ya kumfurusha yamepokelewa kwa furaha kubwa na nchi nzima.

Jambo la muhimu zaidi mama hajaishia kumfurusha tu bali ameagiza ufanyike uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili ili afikishwe mahakamani. Kwahiyo sasa hivi Sabaya ni mtuhumiwa. Muda wowote tutamuona nyuma ya karandinga.

Sabaya ana tuhuma mbalimbali (lukuki) kama taarifa ya Ikulu ilivyoeleza. Anatuhumiwa kupora, kunyanyasa na kutumia madaraka yake vibaya. Tuhuma hizi zimekuwepo tangu enzi za mwendazake lakini amekua akilindwa.

Yeye mwenyewe amewahi kujitapa kuwa hakuna anayeweza kumpa order isipokua mwendazake pekee. Alimdharau hadi RC wake. Ndio maana mama Mghwira alipomwambia aache kutumia mabavu alimcheka kwa dharau. Mwaka 2019 PM alifanya ziara K'njaro wafanyabiashara wakamueleza jinsi Sabaya anavyowanyanyasa, lakini hakuchukua hatua yoyote. Akasema atayafikisha kwa mamlaka yake ya uteuzi.

Lakini hakuna chochote Sabaya alichofanywa. Badala yake alizidi kuwa kiburi kuliko mwanzo. Wale wafanyabiashara "waliomchongea" kwa PM walipata joto ya jiwe. Na PM hakuwa na chochote cha kumfanya. Hatimaye leo mama amevunja kisiki kilichowashinda maksai.

Sabaya anatuhumiwa kutumia mabavu kupora fedha kwa wafanyabiashara mbalimbali. Mmoja wao ni Cuthbert Swai mmiliki wa Asante Tours na Hoteli ya kitalii ya Weruweru.

Cuthbert anadai mwaka 2018 Sabaya alitaka ampe 10M otherwise atampa kesi ya uhujumu uchumi. Kwa kuhofia jela akampa. Baadae akataka tena 10M, akamwambia hana. Baada ya vitisho vya mara kwa mara, wafanyabiashara wenzake wakamwambia mpe tu, usicheze na mjinga atakutoboa jicho. Akampa kishingo upande.

Baada ya miezi michache Sabaya akamwambia kuna "special mission" amepewa hivyo inatakiwa pesa nyingi kuitekeleza. Kwahiyo wafanyabiashara wanatakiwa wachangie. Akamtaka Cathbert atoe 15M. Cuthbert akamwambia biashara ya utalii imeyumba hivyo hawezi kupata fedha hizo.

Na hapo akatangaza uhasama na Cathbert. Akaenda kwenye mashamba yake huko Rundugai akasema alidhulumu wanakijiji. Akatengeneza wazee feki waliojifanya wamedhulumiwa, halafu akatangaza kuyataifisha.

Hakuishia hapo akavamia hoteli ya kitalii ya Weruweru inayomilikiwa na Cathbert. Siku hiyo Nandy alikua na show Arusha, akalala Weruweru. Usiku saa 9 Sabaya akavamia akiwa na kikosi cha watu 6 wenye silaha. Akalazimisha aoneshwe chumba cha Nandy, mhudumu aliyekua mapokezi akakataa. Sabaya akampiga sana. Walinzi walipotoka nao wakapigwa na mabaunsa wa Sabaya.

Matukio yote yalirekodiwa kwenye CCTV camera but who cares? Pamoja na video hiyo kusambaa lakini hakupewa hata onyo. Utamwambia nini mtoto pendwa wa mwendazake? Aliwahi kujitapa kuwa yeye ndiye DC pekee anayeweza kumpigia simu mwendazake usiku wa manane na akapokea.

Akaendelea kuvuruga biashara mbalimbali za Cathbert na kuagiza TRA wafreeze baadhi ya akaunti zake. Hali ikawa ngumu hadi mali za kampuni ya Asante Tours zikapigwa mnada. Akavuruga shamba la wanyama (zoo) la Cuthbert maeneo ya Maili sita. Akaharibu mizinga 200 ya nyuki kwenye shamba la Cathbert kwa madai hana kibali cha maliasili cha kufuga nyuki.

Baada ya hapo Cuthbert anadai Sabaya alitishia kumuua. Ikamlazimu kukimbilia ziwa Jipe mpakani mwa Kenya akaishi huko. Zaidi ya watu 300 waliokua wameajiriwa kwenye biashara zake mbalimbali wakapoteza ajira kwa sababu ya Sabaya. Just imagine.

Lakini hakuishia kwa Cuthbert, akaendelea kufanya ukatili kwa watu wengine. September 2020 alivamia hoteli ya Protea Aishi iliyopo Machame, inayomilikiwa na Freeman Mbowe. Hotelini hapo kulikua na wageni kutoka nje ya nchi wanaopanda mlima Kilimanjaro.

Sabaya akawakamata na kudai wamekuja kusaidia Chadema kwenye uchaguzi. Wakatolewa hotelini usiku wa manane na night dress kupelekwa kituo cha Polisi Bomang'ombe. Wakahojiwa na kuachiwa, lakini wamesababishiwa usumbufu, na wameweka doa kwenye sekta yetu ya utalii. Kumbuka tunatumia fedha nyingi kutangaza utalii, halafu mtu mmoja anawadhalilisha kwa mihemko tu.

Siku ya uchaguzi (October 25) alivamia tena Aishi hotel akiwa na magari yenye namba za UN. Wakawapiga walinzi na kukamata baadhi ya mawakala wa Chadema waliokua hapo. Wakawatia matambara mdomoni na kuwapiga sana kabla ya kwenda kuwatelekeza maeneo ya Sanya stesheni usiku huo.

Mmoja wa vijana hao Simon Mwacha alivunjwa mkono karibu na joint. Hadi sasa amefanyiwa upasuaji mara 3 lakini hajapona. Wiki iliyopita viongozi wa BAVICHA walimtembelea na kumkuta amewekewa POP jingine. Huu ni mwezi wa 7 tangu avunjwe na Sabaya na bado hajapona.

Kutumia number za UN kufanya uhalifu ni doa katika diplomasia ya nchi, lakini hakujali hilo. Yeye ni mtoto pendwa wa mwendazake, mtamfanya nini? Kama PM alishindwa kumfanya lolote, aliamini wengine hawamuwezi.

Aliwekeza nguvu na akili zake zote kwa mwendazake. Alimtumainia, alimuabudu na kumsujudu. Lema aliwahi kumwambia huyo unayemtegemea si Mungu. Ipo siku hatakuwepo na utakosa mtetezi. Sabaya akacheka kwa dharau. Leo yametimia yale aliyosema Lema miaka mitatu iliyopita.

Sabaya anatuhumiwa kumteka na kumpiga mtia nia wa udiwani huko Machame. Anatuhumiwa kunyanyasa wananchi mbalimbali kwa sababu za kisiasa. Anatuhumiwa kumpiga ngumi na kumpasua uso mfanyabiashara (Shoo) wa Bomang'ombe baada ya kumkuta akiuza vileo kwenye duka la bidhaa za rejareja.

Sabaya alitengeneza kikundi cha "mabaunsa" ambacho kilikua kinatembea nae popote. Hawakua walinzi rasmi wa serikali. Ni "wahuni" tu aliowaokota mtaani na kuwapa silaha, kama alivyofanya(ga) Bashite.

Kikundi hiki kilikua hakina tofauti na "Mungiki" maana kilitii kila order ya boss wao, hata ambazo ni unlawful. Kiliteka, kilijeruhi na kiliharibu mali kwa order ya Sabaya. Kikundi hiki kiliwahi kuteka moja ya magari ya Freeman Mbowe (likiwa imepaki Arusha) na kutia chumvi kwenye engine. Pamoja na Mbowe kuripoti polisi lakini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa.

Kitendo cha Sabaya kuokota vijana mtaani wasio na mafunzo yoyote ya kijeshi na kuwapa silaha wamlinde ni kosa kisheria. Lakini nani wa kuhoji kama mwendazake alibariki hilo?

Kikundi hiki kimewahi kumpiga mfanyabiashara mmoja (Molel) pub moja maeneo ya Kijenge. Vijana wa Sabaya walimzingira na kumtuhumu kumshika "makalio" mpenzi wa mmoja wao. Wakampiga na kumlazimishwa kutoa kiasi cha pesa ili wamwachie. Kitendo hicho kiliharibu biashara ya eneo hilo, hadi sasa pamepoa licha ya kwamba ni eneo zuri la starehe.

February 09, 2021 Sabaya na genge lake walienda Arusha kumvamia Ally Asaad Ajirin, anayemiliki duka la mapazia la Shaahidi Stores lililopo Barabara ya Nyamwezi jirani na Soko Kuu. Wakamwambia "tuna taarifa unafanya biashara ya kubadili pesa za kigeni kinyume cha sheria" Asaad akakataa.

Anadai Sabaya alimtaka atoe 100M ili asipewe kesi ya uhujumu uchumi. Lakini akamwambia wewe ni DC wa Hai unapata wapi mamlaka ya kuja kunihoji Arusha? Sabaya kusikia hivyo akaagiza milango ifungwe, wakampiga na kumtaka aoneshe pesa zilipo. Wananchi kusikia kilio wakampigia simu Diwani wa Sombetini Bakari Msangi. Alipofika na kuhoji akaunganishwa kwenye kipigo.

Kwa kifupi Sabaya alimiliki kikundi cha kigaidi. Na alikua anaenda nacho popote, iwe ofisini au night club. Hata juzi Dar alikua nacho, akizunguka nacho sehemu mbalimbali.

Mimi ni "survivor" wa kikundi hicho. November mwaka jana nilisema kitendo cha Sabaya kutumia plate number za UN kufanya uhalifu ni doa kubwa kidiplomasia. Akanipigia simu, sikupokea. Akaniandikia 'sms' ya vitisho. Akaniambia akinikamata nitajuta kuongelea vitu nisivyovijua. Sikumjibu lakini nikascreenshot na kumtumia rafiki yangu mmoja ambaye ni kiongozi serikalini just for reference likitokea lolote.

December 26 nikiwa na Don J Mbowe mahali flani Moshi, tukifurahia sikukuu za mwisho wa mwaka, tukaondoka saa 7 usiku. Kesho yake Meneja wa eneo hilo akanipigia simu akasema tulipoondoka tulimuachia balaa kubwa. Sabaya alifika na kikundi chake na kutuulizia. Alipoambiwa tumeondoka, hakuamini.

Akachomoa bastola na kufyatua hewani. Akaleta taharuki, watu wakatawanyika. Hakujali kuharibu biashara, alichojali ni kutimiza matakwa yake. Mabaunsa wakapekua counter hadi vyooni. Hatukuwepo.

Sijui wangetukuta ingekuaje. Pengine tungepigwa na kuwekewa dawa za kulevya mfukoni. Halafu kesho yake dunia ingetangaziwa kuwa tumekutwa na dawa za kulevya. Tungeshtakiwa na kunyimwa dhamana. Huenda hadi leo tungekua tunasota gerezani.

Lakini Mungu wa rehema akakumbuka watanzania tunaowarudishia(ga) tabasamu kwa njia mbalimbali, akaamua kutuokoa. Tuliondoka tukidhani tunaenda kupumzika, kumbe ilikua njia ya Mungu kutuepusha na mkono wa yule mwovu.

Huyu ndiye Lengai Ole Sabaya Jambazi aliyejificha kwenye kivuli cha ukuu wa wilaya na kulindwa na mamlaka za nchi. Mtu aliyewahi kughushi kitambulisho cha idara ya usalama wa taifa, na kushtakiwa mahakamani lakini bado akapewa ukuu wa wilaya. Unampaje uongozi mtu mwenye 'jinai' ya kughushi?

Ajabu ni kwamba kila alipoulizwa kuhusu tuhuma zake alikimbilia kumtaja Mbowe. Nikajiuliza je Mbowe ndiye alimtuma kuteka watu? Mbowe ndiye alimtuma kumvamia Nandy hotelini? Mbowe ndiye alimtuma aweke namba za UN kwenye magari yake ya kufanyia ujambazi? Mbowe ndiye alimtuma ampige diwani wa Sombetini? Kwanini kila anapoulizwa anamtaja Mbowe?

Nikagundua hii ndio njia aliyokua akiitumia kumhadaa mwendazake. Alikua akifanya ukatili anajificha kwenye kivuli cha Mbowe na upinzani. Na mwendazake alimuelewa maana upinzani ulikua adui yake mkubwa. Ukiteka, ukijeruhi, ukiharibu mali ya mtu we sema unafanya hivyo ili kuumaliza upinzani, mwendazake atakuelewa.

Kwahiyo Sabaya alisahau kwamba zama zimebadilika. Ndio maana juzi alipokua CMG alimtaja Mbowe mara nyingi zaidi kuliko tuhuma zinazomkabili. Alidhani kwa kusema amemng'oa Mbowe itamsaidia kujustify maovu yake, kumbe mama ana hofu ya Mungu na hapendezwi na huo uzandiki.

Suala hili la Sabaya lisaidie media kuzingatia profesionalism. Ni aibu media kubwa kama CMG kutumika kumsafisha "jambazi" Sabaya. Ile interview ya juzi ilikua "biased" na ilikosa impartiality and objectivity. Hata Sabaya alivyokua ana-behave sio kama interviewee, bali kama bepari aliyenunua kipindi, akajiandalia maswali na hivyo anajibu anavyojisikia.

Kaka mkubwa Edo Kumwembe aliwahi kusema "Heshimu watu, sponsor hufariki" nadhani hili ndio somo ambalo kila kiongozi anapaswa kujifunza kwa Sabaya. Ukipewa madaraka watendee haki watu wote. Usinyanyase watu kwa sababu una sponsor. Ipo siku sponsor hatakuwepo na utapata tabu sana.

Asante mama kwa kuirudisha nchi kwenye mstari wa haki. Hakika wewe ni zawadi tuliyopewa na Mungu. Tunakuombea ili Munghu mwenyewe awe taa ya njia zako na mwanga wa miguu yako, usiteleze wala kuanguka (Zab 119:105).!

Malisa GJ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
define uzalendo? with vivie example differentiate patriotism and nationalism?
mwisho uzalendo una cover madudu ya kiongozi husika? aki misbehave aachwe kwasababu ni mzalendo?
As long as ni Mwanadamu.
Hakuna asiekosea..!
 
MAONI KUHUSU DC LENGAI OLE SABAYA KUSIMAMISHWA U-DC WILAYA YA HAI

Cde, Daniel Limbu
0752114510

DC LENGAI OLE SABAYA ni kijana mzalendo wa kweli kwa Taifa letu.

Tumezisikia shutuma nyingi sana kumhusu Lengai Ole Sabaya tangu akiwa M/kiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha na bahati nzuri nimeishi naye kama kiongozi wangu kwenye Chama,nimesali naye mara nyingi sana pale Kanisa la Arusha Kati kwa muda mrefu kabla hajateuliwa kuwa hata DC.

Siku chache zilizopita nilipata fursa ya kujadiliana naye kuhusu mstakabali wa maisha yake kisiasa kabla hata hajapata kuhojiwa na Cloud TV na miongoni mwa mengi niliyomwambia ilikuwa ni kumtia moyo maana hatabaki salama kwenye nafasi yake kulingana na nadharia tunduishi ambazo zimeonekana wazi kwamba hatakiwi tena Serikalini.

Lengai Ole Sabaya ametuhumiwa kwa mengi lakini lililo kubwa zaidi ni msuli wake wa kisiasa ambao umetikisa wengi kanda ya Kaskazini Arusha na Kilimanjaro.

Huyu Sabaya alikuwa mwiba mkubwa kwa Chadema ya Mbowe wilaya ya Hai na Chadema ya Godbless Lema Arusha mjini na miongoni mwa Vijana ambao binafsi na CCM inatakiwa kujivunia kwao ni huyu Lengai Ole Sabaya.

Miongoni mwa watu waliofanikiwa kuisaidia CCM kurejesha heshima yake na kusambaratisha ngome ya Chadema Arusha na Kilimanjaro yamechangiwa na huyu jemedari wa siasa za jukwaani na kimkakati.

Lengai Ole Sabaya amesimashwa kazi si kwa sababu aliiba au kumdhulumu mtu yeyote,
Amesimamishwa kazi kwa tuhuma za kisiasa kwa sababu alivuruga maslahi ya wachache waliojitoa kuwaibia wengi wilaya ya Hai.

Binafsi sikutarajia Lengai Ole Sabaya aendelee kuwemo kwenye nafasi yake ya Ukuu wa wilaya ya Hai kwa sasa hii inatokana na aina ya serikali iliyopo kwani vijana ambao walisimamia misingi ya kuitetea nchi yetu kwa Uzalendo wao mfumo hauwahitaji tena.

Vijana aina ya Lenagai Ole Sabaya Sasa watabaki kwenye kundi la kuadhibiwa na kudharirishwa hata kama hicho wanachopitia hakikuwasitahili kwa umuhimu wao ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake.

Lengai Ole Sabaya amesimamia anachomiamini mpaka mwisho na ametimiza wajibu wake kwa watu wa Wilaya ya Hai na nchi yake na tuzo itatoka kwa Mungu.

Huu ni mkakati wa kufumua vijana wazalendo tishio la serikali dharimu inayoanza kujijenga nchini.

Lengai Ole Sabaya amesimamia alichokuwa anakiamini Kama ambavyo baba yake mzee Sabaya alivyotimiza wajibu wake alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara na wakati huohuo akikaimu Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda katika kipindi Cha Awamu ya tatu na Nne.

Asili ya Ujasili wa Lenagi Ole Sabaya inatokana na malezi na makuzi yake ya kizalendo ambayo alijengewa na misimamo thabiti ya familia yake.Hulka ya huyu kijana inazaa vijana wengi ambao tumeamua kuisimamia haki katika kipindi cha giza nene baada ya kifo Cha Hayati Dkt John Pombe Magufuli.

Ombi langu kwa Lengai Ole Sabaya kamwe usijione mnyonge japo maumivu ya lililokutokea ni makubwa kuliko taji na heshima uliyotakiwa kupewa kama shujaa na mzalendo kwa nchi na Taifa lako jipe moyo mapambano yaendelee.

Najua wapo wengi watabeza na kufurahia kusimamishwa kwako maana kwao ni ushindi mkubwa kwani unahalarisha udharimu wao kwa watu wanyonge wa Wilaya ya Hai na Tanzania.

Maadui zako wanafurahia anguko lako lakini vijana wazalendo wa nchi hii wanasikitika pamoja na wewe,Wazalendo wa nchi hii tunakuamini sana na tunakuunga mkono.

Naamini kuondolewa kwako sio mwisho wa Safari ya mapambano katika kuidai haki ya mnyonge wa nchi hii.

Lengai Ole Sabaya umepita kwenye tanuru la Moto wa Mtakasaji ili kukuandaa kuwa dhababu Safi kwa ajili ya utumishi wa Taifa hili siku za usoni.

Pambania ndoto kubwa but In God's time your crown will be placed on the right place.

Cde Daniel Limbu
0752114510
Hhomba na bholele nyanda...jambazi halitetewi
 
MAONI KUHUSU DC LENGAI OLE SABAYA KUSIMAMISHWA U-DC WILAYA YA HAI

Cde, Daniel Limbu
0752114510

DC LENGAI OLE SABAYA ni kijana mzalendo wa kweli kwa Taifa letu.

Tumezisikia shutuma nyingi sana kumhusu Lengai Ole Sabaya tangu akiwa M/kiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha na bahati nzuri nimeishi naye kama kiongozi wangu kwenye Chama,nimesali naye mara nyingi sana pale Kanisa la Arusha Kati kwa muda mrefu kabla hajateuliwa kuwa hata DC.

Siku chache zilizopita nilipata fursa ya kujadiliana naye kuhusu mstakabali wa maisha yake kisiasa kabla hata hajapata kuhojiwa na Cloud TV na miongoni mwa mengi niliyomwambia ilikuwa ni kumtia moyo maana hatabaki salama kwenye nafasi yake kulingana na nadharia tunduishi ambazo zimeonekana wazi kwamba hatakiwi tena Serikalini.

Lengai Ole Sabaya ametuhumiwa kwa mengi lakini lililo kubwa zaidi ni msuli wake wa kisiasa ambao umetikisa wengi kanda ya Kaskazini Arusha na Kilimanjaro.

Huyu Sabaya alikuwa mwiba mkubwa kwa Chadema ya Mbowe wilaya ya Hai na Chadema ya Godbless Lema Arusha mjini na miongoni mwa Vijana ambao binafsi na CCM inatakiwa kujivunia kwao ni huyu Lengai Ole Sabaya.

Miongoni mwa watu waliofanikiwa kuisaidia CCM kurejesha heshima yake na kusambaratisha ngome ya Chadema Arusha na Kilimanjaro yamechangiwa na huyu jemedari wa siasa za jukwaani na kimkakati.

Lengai Ole Sabaya amesimashwa kazi si kwa sababu aliiba au kumdhulumu mtu yeyote,
Amesimamishwa kazi kwa tuhuma za kisiasa kwa sababu alivuruga maslahi ya wachache waliojitoa kuwaibia wengi wilaya ya Hai.

Binafsi sikutarajia Lengai Ole Sabaya aendelee kuwemo kwenye nafasi yake ya Ukuu wa wilaya ya Hai kwa sasa hii inatokana na aina ya serikali iliyopo kwani vijana ambao walisimamia misingi ya kuitetea nchi yetu kwa Uzalendo wao mfumo hauwahitaji tena.

Vijana aina ya Lenagai Ole Sabaya Sasa watabaki kwenye kundi la kuadhibiwa na kudharirishwa hata kama hicho wanachopitia hakikuwasitahili kwa umuhimu wao ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake.

Lengai Ole Sabaya amesimamia anachomiamini mpaka mwisho na ametimiza wajibu wake kwa watu wa Wilaya ya Hai na nchi yake na tuzo itatoka kwa Mungu.

Huu ni mkakati wa kufumua vijana wazalendo tishio la serikali dharimu inayoanza kujijenga nchini.

Lengai Ole Sabaya amesimamia alichokuwa anakiamini Kama ambavyo baba yake mzee Sabaya alivyotimiza wajibu wake alipokuwa Mkuu wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara na wakati huohuo akikaimu Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda katika kipindi Cha Awamu ya tatu na Nne.

Asili ya Ujasili wa Lenagi Ole Sabaya inatokana na malezi na makuzi yake ya kizalendo ambayo alijengewa na misimamo thabiti ya familia yake.Hulka ya huyu kijana inazaa vijana wengi ambao tumeamua kuisimamia haki katika kipindi cha giza nene baada ya kifo Cha Hayati Dkt John Pombe Magufuli.

Ombi langu kwa Lengai Ole Sabaya kamwe usijione mnyonge japo maumivu ya lililokutokea ni makubwa kuliko taji na heshima uliyotakiwa kupewa kama shujaa na mzalendo kwa nchi na Taifa lako jipe moyo mapambano yaendelee.

Najua wapo wengi watabeza na kufurahia kusimamishwa kwako maana kwao ni ushindi mkubwa kwani unahalarisha udharimu wao kwa watu wanyonge wa Wilaya ya Hai na Tanzania.

Maadui zako wanafurahia anguko lako lakini vijana wazalendo wa nchi hii wanasikitika pamoja na wewe,Wazalendo wa nchi hii tunakuamini sana na tunakuunga mkono.

Naamini kuondolewa kwako sio mwisho wa Safari ya mapambano katika kuidai haki ya mnyonge wa nchi hii.

Lengai Ole Sabaya umepita kwenye tanuru la Moto wa Mtakasaji ili kukuandaa kuwa dhababu Safi kwa ajili ya utumishi wa Taifa hili siku za usoni.

Pambania ndoto kubwa but In God's time your crown will be placed on the right place.

Cde Daniel Limbu
0752114510
Ujambazi siyo sehemu ya ujasiri wala uzalendo. Sabaya anastahili zaidi kuitwa jambazi kuliko jina jingine lolote.

Na hayo unayosema kuwa alisamabaratisha upinzani, mwenye akili timamu, hastahili kujivunia. Maana njia aluzokuwa akizitumia, siyo mbinu za kisiasa bali ni uhuni na ujambazi.

Sabaya asiishie kutolewa ru uDC bali apelekwe mahakamani, akaishie panapoendana na matendo yake. Huo utakuwa ni ujumbe mzuri sana kwa wote, kuwa ukipewa dhamana, uiheshimu dhamana yako, fuata sheria, na usiinajisi kwa uchafu wako.

Vyombo vya dola vifanye kaxi sawasawa kumchunguza Sabaya ili ahukumiwe sawa na matendo yake. Wauaji, watekaji na watesaji wasiwe na nafasi katika jamii ya watu waliostaarabika.
 
Sabaya hajafutwa kazi, bali amesimamishwa kwa muda ili kupisha uchunguzi kuhusu shutuma anazoshutumiwa. Ninachokiona hapa ni kama vile kumtafutia njia nzuri ya kumsafisha, kwani baada ya muda itakuja report inayoonesha kuwa haya yote anayoshutumiwa Sabaya sio ya kweli (kwa vile uchunguzi utakuwa ushafanyika Sabaya akiwa nje ya ofisi) basi itakuwa ngumu watu kuendelea kumshutumu kwan tayar kesi yake itakuwa imekwisha msafisha, na hapo sasa atateuliwa kuwa mkuu wa mkoa fulani (jina kapuni). Vijana tulieni muone siasa inavyochezwa. Huyu bwana hajatumbuliwa bali kasimamishwa kwa muda eti kupisha uchunguzi. Hapo wenye akili mtaanza kupata picha.
Amka usingizini...kumeshakucha
 
Back
Top Bottom