Kaunara
JF-Expert Member
- Feb 4, 2013
- 258
- 540
Habari
Usikubali kutoka mikono mitupu ukisikia mwizi yupo ndani ya nyumba. Hivi sasa wezi wengi wanadamu za watu mikononi hivyo kuua kwao ni sio shida.
Unaweza kuibiwa vile vile ukapata kichapo cha maana. Sijaandika kukuogopesha ila kuwa makini. Ukiamua kutoka kwenda kumkamata mwizi toka upo full jua kuna kufa na kupona ila naamini utashinda sababu mwizi hujawa sana na uoga pale akijulikana ni mwizi.
Usikubali kutoka mikono mitupu ukisikia mwizi yupo ndani ya nyumba. Hivi sasa wezi wengi wanadamu za watu mikononi hivyo kuua kwao ni sio shida.
Unaweza kuibiwa vile vile ukapata kichapo cha maana. Sijaandika kukuogopesha ila kuwa makini. Ukiamua kutoka kwenda kumkamata mwizi toka upo full jua kuna kufa na kupona ila naamini utashinda sababu mwizi hujawa sana na uoga pale akijulikana ni mwizi.