Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,570
Na huyohuyo Makonda aliwahi kumweka lockup Haji Manara. Nikionacho sasa ni "mbwa kala mbwa!!"Kumbe manara alishawahi kula shavu kupitia Makonda na hasemi!!
Ila kwasababu GSM ni tajri yake kajikuta kasahau yote hayo na kumvaa mazima makonda
A time will come atakuja kumgeuka hata huyo GSM endapo atakuwa chini ya boss mwingine
Yuko wapi MO?