Acha ufala,nyi ndo mnafuga majambazMwanaume unapata wapi muda wa kutaka kujua mali za mwanaume mwenzako?
Kweli wanaume wameisha....vijana tafuteni hela ndio muingie kwenye siasa siasa ukiwa na njaa utaishia kutumika tu.
Wanasiasa wengi wana mali ambazo hawawezi zitolea hesabu zake. Hata hawa kina Zitto, Faru John na magenge yao wakikwapuliwa mataulo yao ni aibu tupu. Siku hizi mpaka watendaji wa vijiji mafisadi ndo itakuwa hawa wenye nyazifa. Corrupted system, huzaa corrupted people's.17, Oktoba ,2019 niliandika Barua Sekretariati ya Maadili chini ya Kamishna wa maadili ya viongozi wa umma Marehemu Jaji Mstaafu Harold R. Nsekela nikiomba kukagua Daftari la Maslahi , Rasilimali na madeni pamoja na matamko ya zawadi ya Makonda kama ambavyo kanuni za maadili ya viongozi wa umma za 1996 Na. 168 kifungu cha 6 na 7 kinavyoniruhusu mimi kama Raia kuomba kukagua Daftari hilo.
Barua yangu ilijibiwa tar 15 ,Novemba 2019 ,wakikataa kunipa ushirikiano kukagua Daftari la Makonda nilijua tuu ni kwasababu ya hofu iliyokuwepo na namna Makonda alivyokuwa anaogopwa . Ila suala la kukagua Daftari la mtumishi wa umma katika ofisi ya Sekretariati ya maadili haipaswi kuwa suala la kuomba au la siri, kiongozi akishakuwa mtumishi wa umma tuu kila kitu kuhusu utumishi wake kinapaswa kiwe wazi na umma ujue.
Sheria ya Takukuru Namba 11 ya mwaka 2007 ,kifungu cha 27 kinasema " Ni kosa mtumishi wa umma kuwa na mali ambazo mwenye nazo hana maelezo ya kuridhisha kuhusu alivyozipata au kuwa na mali au pesa nyingi kuliko kipato chake halali " .
Kwangu mimi binafsi nilikuwa na wasiwasi na fedha na mali za Makonda, alikuwa na nafasi ya Mkuu wa mkoa tuu.Ila hakuna aliyewahi jua wapi kwingine alikuwa anapata fedha kwa namna alivyokuwa anagawa na kutumia.
Msukuma tar 7/Feb 2019 alitoa tuhuma Bungeni kwamba Makonda ana miliki mali nyingi tofauti na kipato chake akataja Gari Lexus ya Mil.400,magorofa Mwanza, ana miliki magari Toyota V 8 ,alikarabati ofisi yake kwa milion 400 bila kufuata utaratibu wa manunuzi (Chanzo Gazeti la mwananchi tar 8 Feb 2017,J.tano.).
Mh.Joseph Selasini Bungeni tar 11 , Feb 2017 kwamba Makonda ana miliki Apartment Viva Towers lenye thamani ya milion 600 (Chanzo Gazeti la Mwananchi February 11,2017).
Blog ya Sauti Kubwa,tar 30 Agosti 2018 aliandika na kuambatanisha na nyaraka mbalimbali za umiliki wa viwanja kwamba Makonda ana miliki Ardhi Dodoma eneo la Iyumbu new Town Center viwanja sita jumla mita za mraba 92,341 .
Pia Kugawa gawa fedha.
Tarehe 3/Juni/2019 alitoa fedha kwa wachezaji wa Simba mil.10 kwa Golikipa Manula,milion moja moja kwa kila mchezaji,mil. 2 kwa mchezaji wa kike,milion 3 kwa msemaji wa simba @hajismanara na septemba 9,2019 akatoa milion 10 kwa Juma Kaseja ,tar 5 Oktoba 2019 uwanja wa uhuru Dar alitoa Shiling Mil.100 kwa wajumbe wa shina wa CCM Mkoa wa Dar.(Chanzo Millard Ayo na EATV).
Tarehe 18/Septemba/2019 siku ya Jumaano kupitia Gazeti la Mwananchi iliandika kichwa cha habari "Makonda aeleza anakotoa fedha". Makonda kwa kauli yake ya mdomoni baada ya watu kuhoji wapi anapata fedha hizo zote za kugawa gawa ikiwa yeye ni mkuu wa mkoa tuu.
Katika taarifa hii alisema yeye anatumia watu wenye kipato kikubwa kuwaelezea shida na wao hutoa msaada akitolea mfano milion 10 alizompa Juma Kaseja , Makonda alijibu pia nchi hii ni tajiri na watu wake ni matajiri .Kama fedha alikuwa anapewa na wahisani au marafiki je sheria ya inasemaje mtumishi wa umma anapopokea zawadi ? .
Sheria ya maadili ya viongozi wa umma Na. 13 ya 1995 kama ilivyofanyiwa marekebisho kuanzia kifungu cha 12(2 na 3) inaeleza utaratibu wa mtumishi wa umma kupokea zawadi ya zaidi ya thamani ya laki mbili, alipaswa kutoa taarifa kwa muajiri wake lakini pia taarifa ya matamko ya zawadi alizopewa yanapaswa kuwepo katika ofisi ya Kamishna Sekretariati ya Maadili.
Hivyo lengo langu nilitaka kujua idadi ya mali alizo nazo na nilitaka kujua kama hizo zawadi anazipokea kama huwa anaziwasilisha kwa Boss wake kwa mujibu wa sheria ya maadili na kanuni zake ,ili ndio nipate facts za kupeleka malalamiko yangu TAKUKURU kwa mujibu wa Sheria ya Takukuru Na.11 ya 2007 kifungu cha 39 kinachonipa mimi mamlaka kama mwananchi kutoa taarifa kwa TAKUKURU popote ninapoona kuna makisio ya uwepo wa Rushwa ,
Ili TAKUKURU ifanye kazi yake ya kuchunguza na kujiridhisha (Prove or disprove the allegations) ni kazi ya TAKUKURU kama ilivyoelezwa katika sheria ya TAKUKURU kifungu cha 7(e),(f),i,ii,iii, na cha 10 (1) a,b,c . Nadhani TAKUKURU bado wanasababu nyingi zaidi kufanya uchunguzi juu ya Allegations na nyingine nyingi dhidi ya Paul Makonda .
Abdul Nondo.
Mwenyekiti wa Ngome ya vijana Taifa-ACT Wazalendo.
13/Machi/2022.
Kigoma-Ujiji.View attachment 2148675
Naunga mkono hoja, tena kwa mwanamume mzima rijali, kufuatilia mali binafsi za mwanamume mwingine, ni umbea wa kike!.ACT wazalendo mnamfuatilia sana Makonda.
Ulianza wewe, sasa Kubenea.
Acheni uswahili bhana, kama vipi nenda Mtwara kakague mali za Zitto!
Mkuu mdogo wangu Abdul Nondo, kwanza habari za siku?.17, Oktoba ,2019 niliandika Barua Sekretariati ya Maadili chini ya Kamishna wa maadili ya viongozi wa umma Marehemu Jaji Mstaafu Harold R. Nsekela nikiomba kukagua Daftari la Maslahi , Rasilimali na madeni pamoja na matamko ya zawadi ya Makonda
Abdul Nondo.
Mwenyekiti wa Ngome ya vijana Taifa-ACT Wazalendo.
13/Machi/2022.
Kigoma-Ujiji.View attachment 2148675
Yupo wapi Bashiru baada ya kufuatilia mali za ccm walianza kummaliza Jiwe sasa BashiruKwani kiongozi gani mwingine wa juu ungeamua kumfuatilia mali zake CCM ungepewa ushirikiano?
Hao wote hulindana siku zote.
Huyo dogo aliwahi kutekwa na bashite, mwigulu akiwa minister of internal affairs- rejea sakata la hostel za udsm na expansion joints.ACT wazalendo mnamfuatilia sana Makonda.
Ulianza wewe, sasa Kubenea.
Acheni uswahili bhana, kama vipi nenda Mtwara kakague mali za Zitto!
Inategemea hivi, Je anayoyajua Unayajua? Je ataikayechunguza yuko tayari kufukua makaburi? Unajuaje walipoonyeshwa makaburi ya kufukua walikimbia?Kama kweli NCHI hii hakuna aliye juu ya SHERIA kwanini PAULO MAKONDA HACHUNGUZWI?
Hukumu ya kesi ina majibu ya hili swali lako.Wanasema ulipanda Newforce umejifunika shuka la kimasai ukaenda Kujiteka mafinga ni kweli?
Mkuu, umejua ana umri gani huyu kashimbe inawezekana wakati hili la Manara kuswekwa ndani kwa amri ya Makonda, huyu kashimbe alikua hajaanza kufuatilia haya mambo ya nchi na hakuweza kulijua hili. Ingawa hakupaswa kukanusha jambo asilolijua. Mtu huwezi kujua kila kitu.Mashabiki wa mpira mna akili za Ndezi, yaani hapa tayari Usimba na Uyanga umeanza. Nani hajui Manara aliwekwa ndani Kwa amri ya Makonda akiwa DC Kinondoni?
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Kijana, unao uwezo mzuri wa kuelezea jambo kwa mpangilio na kueleweka vizuri; kama alivyo Kiongozi Mkuu wa chama chako. Hili naliachia hapa.Ili TAKUKURU ifanye kazi yake ya kuchunguza na kujiridhisha (Prove or disprove the allegations) ni kazi ya TAKUKURU kama ilivyoelezwa katika sheria ya TAKUKURU kifungu cha 7(e),(f),i,ii,iii, na cha 10 (1) a,b,c . Nadhani TAKUKURU bado wanasababu nyingi zaidi kufanya uchunguzi juu ya Allegations na nyingine nyingi dhidi ya Paul Makonda .
Hakuna mti mgumu mbele ya mchwaUntouchable from kolomije
Mwanaume unapata wapi muda wa kutaka kujua mali za mwanaume mwenzako?
Kweli wanaume wameisha....vijana tafuteni hela ndio muingie kwenye siasa siasa ukiwa na njaa utaishia kutumika tu.
17, Oktoba ,2019 niliandika Barua Sekretariati ya Maadili chini ya Kamishna wa maadili ya viongozi wa umma Marehemu Jaji Mstaafu Harold R. Nsekela nikiomba kukagua Daftari la Maslahi , Rasilimali na madeni pamoja na matamko ya zawadi ya Makonda kama ambavyo kanuni za maadili ya viongozi wa umma za 1996 Na. 168 kifungu cha 6 na 7 kinavyoniruhusu mimi kama Raia kuomba kukagua Daftari hilo.
Barua yangu ilijibiwa tar 15 ,Novemba 2019 ,wakikataa kunipa ushirikiano kukagua Daftari la Makonda nilijua tuu ni kwasababu ya hofu iliyokuwepo na namna Makonda alivyokuwa anaogopwa . Ila suala la kukagua Daftari la mtumishi wa umma katika ofisi ya Sekretariati ya maadili haipaswi kuwa suala la kuomba au la siri, kiongozi akishakuwa mtumishi wa umma tuu kila kitu kuhusu utumishi wake kinapaswa kiwe wazi na umma ujue.
Sheria ya Takukuru Namba 11 ya mwaka 2007 ,kifungu cha 27 kinasema " Ni kosa mtumishi wa umma kuwa na mali ambazo mwenye nazo hana maelezo ya kuridhisha kuhusu alivyozipata au kuwa na mali au pesa nyingi kuliko kipato chake halali " .
Kwangu mimi binafsi nilikuwa na wasiwasi na fedha na mali za Makonda, alikuwa na nafasi ya Mkuu wa mkoa tuu.Ila hakuna aliyewahi jua wapi kwingine alikuwa anapata fedha kwa namna alivyokuwa anagawa na kutumia.
Msukuma tar 7/Feb 2019 alitoa tuhuma Bungeni kwamba Makonda ana miliki mali nyingi tofauti na kipato chake akataja Gari Lexus ya Mil.400,magorofa Mwanza, ana miliki magari Toyota V 8 ,alikarabati ofisi yake kwa milion 400 bila kufuata utaratibu wa manunuzi (Chanzo Gazeti la mwananchi tar 8 Feb 2017,J.tano.).
Mh.Joseph Selasini Bungeni tar 11 , Feb 2017 kwamba Makonda ana miliki Apartment Viva Towers lenye thamani ya milion 600 (Chanzo Gazeti la Mwananchi February 11,2017).
Blog ya Sauti Kubwa,tar 30 Agosti 2018 aliandika na kuambatanisha na nyaraka mbalimbali za umiliki wa viwanja kwamba Makonda ana miliki Ardhi Dodoma eneo la Iyumbu new Town Center viwanja sita jumla mita za mraba 92,341 .
Pia Kugawa gawa fedha.
Tarehe 3/Juni/2019 alitoa fedha kwa wachezaji wa Simba mil.10 kwa Golikipa Manula,milion moja moja kwa kila mchezaji,mil. 2 kwa mchezaji wa kike,milion 3 kwa msemaji wa simba @hajismanara na septemba 9,2019 akatoa milion 10 kwa Juma Kaseja ,tar 5 Oktoba 2019 uwanja wa uhuru Dar alitoa Shiling Mil.100 kwa wajumbe wa shina wa CCM Mkoa wa Dar.(Chanzo Millard Ayo na EATV).
Tarehe 18/Septemba/2019 siku ya Jumaano kupitia Gazeti la Mwananchi iliandika kichwa cha habari "Makonda aeleza anakotoa fedha". Makonda kwa kauli yake ya mdomoni baada ya watu kuhoji wapi anapata fedha hizo zote za kugawa gawa ikiwa yeye ni mkuu wa mkoa tuu.
Katika taarifa hii alisema yeye anatumia watu wenye kipato kikubwa kuwaelezea shida na wao hutoa msaada akitolea mfano milion 10 alizompa Juma Kaseja , Makonda alijibu pia nchi hii ni tajiri na watu wake ni matajiri .Kama fedha alikuwa anapewa na wahisani au marafiki je sheria ya inasemaje mtumishi wa umma anapopokea zawadi ? .
Sheria ya maadili ya viongozi wa umma Na. 13 ya 1995 kama ilivyofanyiwa marekebisho kuanzia kifungu cha 12(2 na 3) inaeleza utaratibu wa mtumishi wa umma kupokea zawadi ya zaidi ya thamani ya laki mbili, alipaswa kutoa taarifa kwa muajiri wake lakini pia taarifa ya matamko ya zawadi alizopewa yanapaswa kuwepo katika ofisi ya Kamishna Sekretariati ya Maadili.
Hivyo lengo langu nilitaka kujua idadi ya mali alizo nazo na nilitaka kujua kama hizo zawadi anazipokea kama huwa anaziwasilisha kwa Boss wake kwa mujibu wa sheria ya maadili na kanuni zake ,ili ndio nipate facts za kupeleka malalamiko yangu TAKUKURU kwa mujibu wa Sheria ya Takukuru Na.11 ya 2007 kifungu cha 39 kinachonipa mimi mamlaka kama mwananchi kutoa taarifa kwa TAKUKURU popote ninapoona kuna makisio ya uwepo wa Rushwa ,
Ili TAKUKURU ifanye kazi yake ya kuchunguza na kujiridhisha (Prove or disprove the allegations) ni kazi ya TAKUKURU kama ilivyoelezwa katika sheria ya TAKUKURU kifungu cha 7(e),(f),i,ii,iii, na cha 10 (1) a,b,c . Nadhani TAKUKURU bado wanasababu nyingi zaidi kufanya uchunguzi juu ya Allegations na nyingine nyingi dhidi ya Paul Makonda .
Abdul Nondo.
Mwenyekiti wa Ngome ya vijana Taifa-ACT Wazalendo.
13/Machi/2022.
Kigoma-Ujiji.View attachment 2148675