Sikukuu zinapoteza thamani

Lihakanga

JF-Expert Member
Dec 17, 2016
4,829
6,376
Nianze kwa kuaema sipingi imani za dini za watu wala chama cha siasa. Ninaandika kile ambacho nimekiona kwenye maisha toka nikiwa mdogo.

Nikiwa mdogo, miaka ya mwisho ya 70 hadi miaka ya 80, nilizoeakuona mikusanyiko ya watu kwa kigezo cha sikukuu au sherehe fulani za kisiasa au kidini.

Kwa mfano, sikukuu za kidini kama mwaka mpya, pasaka, watakatifu wote na krismas, na zile za kisiasa kama sabasaba, Muungano, Uhuru nk zilipewa uzito na msukumo mkubwa na viongozi husika.

Sijazungumzia sikukuu za kiislamu kwa kuwa ninaona kama bado wana utamaduni wa kukusanyika kwenye matukio yao.

Lakini kadri ninavyoishi ninaona upungufu mkubwa sana wa kukusanyika kwa watu katika matukio haya.

Siku hizi hata kuja kwa kiongozi wa chama au serikali mahali fulani, viongozi wenyeji wanatumia nguvu kubwa sana kuwalazimisha watu waende kwenye tukio ikiwemo kufunga milango ya biashara na kuahirisha matukio ya kijamii ili tu watu wote waelekee kumpokea kiongozi huyo.

Kilichonifanya niandike ni hali ya leo. Niko zangu kijijini huku. Kumedorora hatari. Hakuna amsha amsha kama ni xmas. Watu wengi wako mashambani kama siku tu ya kazi ya kawaida.

Yale mambo ya kuvaa nguo mpya hayaonekana sana. Na msukumo wa kuhudhuria ibada umepungua sana nikilinganisha na zamani.

Hii ni ishara ya nini? Watu wamebadili mtazamo? Hakuna umuhimu tena wa kuheshima sikukuu hizi kama zamani? Hakuna umuhimu wa kuwapokea na kuwasililiza viongozi kama zamani?

Inakuwaje siku hizi hata Rais akienda mahali fulani, viongozi wa sehemu husika hukodi hata magari kusomba watu wakusanyike kumsikiliza Rais?

Mbunge akipanga ziara kwenye jimbo lake, anaweza akutane na wazee wachache na viongozi wa chama na serikali amabao nao huenda kwa kuhofia kumulikwa.

Je kama hali itaendelea kuwa hivi, huko tuendako nini kitatokea?

Ninawatakia Xmas njema.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Hayo ndio maendeleo, watu wameelimika...hawana tena kumsujudia Kiongozi, lakini pia hali ya uchumi inachangia, watu wapo busy kupambana na maisha
Nchi hii bado vilaza ni wengi.


Sena njaaa ni kaliiiiiiiiii, maisha magumu na watu wanaabudu pesa.
 
Nianze kwa kuaema sipingi imani za dini za watu wala chama cha siasa. Ninaandika kile ambacho nimekiona kwenye maisha toka nikiwa mdogo.

Nikiwa mdogo, miaka ya mwisho ya 70 hadi miaka ya 80, nilizoeakuona mikusanyiko ya watu kwa kigezo cha sikukuu au sherehe fulani za kisiasa au kidini.

Kwa mfano, sikukuu za kidini kama mwaka mpya, pasaka, watakatifu wote na krismas, na zile za kisiasa kama sabasaba, Muungano, Uhuru nk zilipewa uzito na msukumo mkubwa na viongozi husika.

Sijazungumzia sikukuu za kiislamu kwa kuwa ninaona kama bado wana utamaduni wa kukusanyika kwenye matukio yao.

Lakini kadri ninavyoishi ninaona upungufu mkubwa sana wa kukusanyika kwa watu katika matukio haya.

Siku hizi hata kuja kwa kiongozi wa chama au serikali mahali fulani, viongozi wenyeji wanatumia nguvu kubwa sana kuwalazimisha watu waende kwenye tukio ikiwemo kufunga milango ya biashara na kuahirisha matukio ya kijamii ili tu watu wote waelekee kumpokea kiongozi huyo.

Kilichonifanya niandike ni hali ya leo. Niko zangu kijijini huku. Kumedorora hatari. Hakuna amsha amsha kama ni xmas. Watu wengi wako mashambani kama siku tu ya kazi ya kawaida.

Yale mambo ya kuvaa nguo mpya hayaonekana sana. Na msukumo wa kuhudhuria ibada umepungua sana nikilinganisha na zamani.

Hii ni ishara ya nini? Watu wamebadili mtazamo? Hakuna umuhimu tena wa kuheshima sikukuu hizi kama zamani? Hakuna umuhimu wa kuwapokea na kuwasililiza viongozi kama zamani?

Inakuwaje siku hizi hata Rais akienda mahali fulani, viongozi wa sehemu husika hukodi hata magari kusomba watu wakusanyike kumsikiliza Rais?

Mbunge akipanga ziara kwenye jimbo lake, anaweza akutane na wazee wachache na viongozi wa chama na serikali amabao nao huenda kwa kuhofia kumulikwa.

Je kama hali itaendelea kuwa hivi, huko tuendako nini kitatokea?

Ninawatakia Xmas njema.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Siku yoyote ukiwa na sabuni ya roho ni sikukuu, ila nyuma ya pazia hiki ndicho kipindi cha wajanja kuvuna pesa za Ke kibiashara na Watoto kwa nguo, pochi, zawadi za Watoto, vyakula n.k.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Labda vyuma vimekaza huku dini na siasa zikipoteza ushawashi kwa wanyonge.
 
Nianze kwa kuaema sipingi imani za dini za watu wala chama cha siasa. Ninaandika kile ambacho nimekiona kwenye maisha toka nikiwa mdogo.

Nikiwa mdogo, miaka ya mwisho ya 70 hadi miaka ya 80, nilizoeakuona mikusanyiko ya watu kwa kigezo cha sikukuu au sherehe fulani za kisiasa au kidini.

Kwa mfano, sikukuu za kidini kama mwaka mpya, pasaka, watakatifu wote na krismas, na zile za kisiasa kama sabasaba, Muungano, Uhuru nk zilipewa uzito na msukumo mkubwa na viongozi husika.

Sijazungumzia sikukuu za kiislamu kwa kuwa ninaona kama bado wana utamaduni wa kukusanyika kwenye matukio yao.

Lakini kadri ninavyoishi ninaona upungufu mkubwa sana wa kukusanyika kwa watu katika matukio haya.

Siku hizi hata kuja kwa kiongozi wa chama au serikali mahali fulani, viongozi wenyeji wanatumia nguvu kubwa sana kuwalazimisha watu waende kwenye tukio ikiwemo kufunga milango ya biashara na kuahirisha matukio ya kijamii ili tu watu wote waelekee kumpokea kiongozi huyo.

Kilichonifanya niandike ni hali ya leo. Niko zangu kijijini huku. Kumedorora hatari. Hakuna amsha amsha kama ni xmas. Watu wengi wako mashambani kama siku tu ya kazi ya kawaida.

Yale mambo ya kuvaa nguo mpya hayaonekana sana. Na msukumo wa kuhudhuria ibada umepungua sana nikilinganisha na zamani.

Hii ni ishara ya nini? Watu wamebadili mtazamo? Hakuna umuhimu tena wa kuheshima sikukuu hizi kama zamani? Hakuna umuhimu wa kuwapokea na kuwasililiza viongozi kama zamani?

Inakuwaje siku hizi hata Rais akienda mahali fulani, viongozi wa sehemu husika hukodi hata magari kusomba watu wakusanyike kumsikiliza Rais?

Mbunge akipanga ziara kwenye jimbo lake, anaweza akutane na wazee wachache na viongozi wa chama na serikali amabao nao huenda kwa kuhofia kumulikwa.

Je kama hali itaendelea kuwa hivi, huko tuendako nini kitatokea?

Ninawatakia Xmas njema.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Wewe hutumii akili kufikiri

Kuna maendeleo makubwa ya teknolojia hasa simu na computer

Kila kitu utakacho unakipata online

Sasa miaka hiyo watu wangapi Tanzania walikuwa na Television au Computer

Wewe umezaliwa wakati wa ujima enzi za maisha ya giza

Unataka watu watembee tembee hovyo barabarani kisa x mass

Wewe uliishi maisha ya disko vumbi tena sio disko bali ngoma za kienyeji

Jaribu kufikiri nje ya box mkuu

Unataka turudi miaka ya 80 watu shule hawavai viatu na anayevaa watu wanamshangaa
 
Mambo yashakuwa mengi kikubwa zaidi watu wengi bado kipindi wanachukua likizo kuona ndugu zao na familia zao, tatizo linakuwa kubwa Januari mambo huwa magumu mno ukiyawazia
 
bila shaka hata pilau na soda bado mnakula sikukuu tu.

siku hizo pilau na soda zilikuaa ni kwa ajiri ya sikukuu tu,lakini siku hizi watu wanakula wakijisikia tu.

nguo mpya muda wowote wananunua,jambo la muhimu labda kutoka out,ndio maana leo utakutana na utitiri wa watu coco.
 
Hapana naamini maisha pia yamechangia sasa hivi hali ya maisha ni ngumu kwasababu zamani ilikuwa mwisho wa mwaka wanafunzi wanaenda likizo wa mikoani wanaenda dar na wa dar wanaenda mikoani ila kutokana na ugumu wa maisha kila mtu anabaki kwao maisha yamebadilika sana.
 
Nianze kwa kuaema sipingi imani za dini za watu wala chama cha siasa. Ninaandika kile ambacho nimekiona kwenye maisha toka nikiwa mdogo.

Nikiwa mdogo, miaka ya mwisho ya 70 hadi miaka ya 80, nilizoeakuona mikusanyiko ya watu kwa kigezo cha sikukuu au sherehe fulani za kisiasa au kidini.

Kwa mfano, sikukuu za kidini kama mwaka mpya, pasaka, watakatifu wote na krismas, na zile za kisiasa kama sabasaba, Muungano, Uhuru nk zilipewa uzito na msukumo mkubwa na viongozi husika.

Sijazungumzia sikukuu za kiislamu kwa kuwa ninaona kama bado wana utamaduni wa kukusanyika kwenye matukio yao.

Lakini kadri ninavyoishi ninaona upungufu mkubwa sana wa kukusanyika kwa watu katika matukio haya.

Siku hizi hata kuja kwa kiongozi wa chama au serikali mahali fulani, viongozi wenyeji wanatumia nguvu kubwa sana kuwalazimisha watu waende kwenye tukio ikiwemo kufunga milango ya biashara na kuahirisha matukio ya kijamii ili tu watu wote waelekee kumpokea kiongozi huyo.

Kilichonifanya niandike ni hali ya leo. Niko zangu kijijini huku. Kumedorora hatari. Hakuna amsha amsha kama ni xmas. Watu wengi wako mashambani kama siku tu ya kazi ya kawaida.

Yale mambo ya kuvaa nguo mpya hayaonekana sana. Na msukumo wa kuhudhuria ibada umepungua sana nikilinganisha na zamani.

Hii ni ishara ya nini? Watu wamebadili mtazamo? Hakuna umuhimu tena wa kuheshima sikukuu hizi kama zamani? Hakuna umuhimu wa kuwapokea na kuwasililiza viongozi kama zamani?

Inakuwaje siku hizi hata Rais akienda mahali fulani, viongozi wa sehemu husika hukodi hata magari kusomba watu wakusanyike kumsikiliza Rais?

Mbunge akipanga ziara kwenye jimbo lake, anaweza akutane na wazee wachache na viongozi wa chama na serikali amabao nao huenda kwa kuhofia kumulikwa.

Je kama hali itaendelea kuwa hivi, huko tuendako nini kitatokea?

Ninawatakia Xmas njema.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Itakuwa imekosa mvuto kwako na famimia yako. Wengine hatuangalii viongozi furaha na shamrashamra zinaendelea. Karibu sana.
 
.
20231225_164656.jpg
 
Back
Top Bottom