Sikukuu ya wajinga imewadia ni tarehe 1-april

Kivia

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
278
32
Sikukuu ya wajinga huwa tar 1/4. Siku za nyuma ilikuwa maarufu sana. Ila siku hizi imerudi kwa kasi tena watu kudanganywa. Sikukúu huanza alifajiri na kwisha saa nne.. Nachotaka kujua ni wapi asili ya hii sikukuu ? Je ina uhusiano na dini yoyote ? Je kwanini isipigwe marufuku ?
 
...mjomba wako amepata ajali yupo maututi Hospitalini....
Kwenye mahusiano ndio usiseme ''Uongo tu!''...
 
Mimi kuna mtu ninahasira naye lazima nimtembeze kutokea Arusha mjini mpaka Bomang'ombe kwa miguu!
 
...MLIMA KILIMANJARO KUHAMISHIWA DAR!
.kuwekwa eneo la wazi kati ya Kibaha na Chalinze.
.ni kwa ajili ya kupunguzia watalii tabu ya kusafiri hadi Moshi
.kazi kuanza mapema mwakani
.nafasi za kazi kibao!
.Ni utekelezaji wa Ilani ya CCM kuhusu utalii!
 
Ni upumbavu hata hicho mnachokiandika mnajidhihirishia wazi kuwa ujinga mnaanza kuwa nyinyi
...MLIMA KILIMANJARO KUHAMISHIWA DAR!
.kuwekwa eneo la wazi kati ya Kibaha na Chalinze.
.ni kwa ajili ya kupunguzia watalii tabu ya kusafiri hadi Moshi
.kazi kuanza mapema mwakani
.nafasi za kazi kibao!
.Ni utekelezaji wa Ilani ya CCM kuhusu utalii!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikukuu ya wajinga huwa tar 1/4. Siku za nyuma ilikuwa maarufu sana. Ila siku hizi imerudi kwa kasi tena watu kudanganywa. Sikukúu huanza alifajiri na kwisha saa nne.. Nachotaka kujua ni wapi asili ya hii sikukuu ? Je ina uhusiano na dini yoyote ? Je kwanini isipigwe marufuku ?
Haiitwi 'sikukuu' mkuu, inaitwa 'siku'.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom