Sikukuu ya Idd 2014 ni lini?

Sikukuu ya Idd 2014 ni lini?

Nicholas,

Ndugu yangu Umezungumza maneno mazito sana!..na kila kitu umekichambua kiutaalam na pia umeweza kuzama ndani ya mioyo ya watu wote - Waathirika na hao warithi wanaofaidika. Swala kubwa tu ambalo ningekuomba labda utufunulie ama kutupatia ufumbuzihapa...

Tuanzie wapi... wapi panatakiwa kweli serikali yetu iwekee mkazo zaidi kwa sababu mimi binafsi kinachonishinda kuelewa na hata kupata ufumbuzi ni kwamba haohao viongozi wetu - wanasiasa ndi haohao wasomi wetu wa uchumi na watoa maamuzi ya sehemu zote mbili. Siamini kabisa kwamba tuachie dunia iwe fundisho la utandawazi na dira ya maendeleo yetu. Lazima ipo njia ya kutupa hata mwanga wapi wananchi wanatakiwa waelekee! hata kwa jina kama waislaam wanavyoamini KIBLA ni MECCA.. kokote uliko maelekeo yako yatalenga malengo ya hilo neno Kibla.

Mwisho kuna kipengele umezungumzia kuwa wananchi bado hawapo tayari kuhimili mabadaliko ya kuleta usawa na haki. Ebu nipe dawa kidogo hapo maanake nimekwama.

Please Google
 

Attachments

  • 1406492722849.jpg
    1406492722849.jpg
    18.4 KB · Views: 179
Kwanza najipa pole kwa kuwa mi ni miongoni mwa watu ambao walikua wanatamani loooong weekend kwamba j3 iwe sikukuu lakini imekua ndivyo sivyo sababu mwezi haujaonekana na kesho kazini tena.. Sasa katika kusikitika kwangu nikajiuliza swali ambalo mtu anaweza ona la kijinga...ila nauliza kwa nia njema kwamba hivi haiwezitokea mabadiliko ya dunia na mwezi ukaingia mitini tusiuone kama inavyotarajiwa na badala yake ukaonekana mwakani kwa mfano? Nini kina control hii mambo mpaka inakua kama inavyotarajiwa? Na ikitokewa usionekane ndugu zetu mfungo utaendelea mpaka siku mwezi uonekane hata kama ni mwakani?

Tumeambiwa tufunge tunapouona mwezi au tukamilishe 30. Na si zaidi ya hapo mkuu

Halkadhalika kwenye kufungua pia
 
Problem sio upuuzi unaoandika ila ni kutoifahamu dini ya kiislam na dini yako mwenyewe. Na hiyo ndo tatizo kubwa la watanzania; wengi hatuna elimu ya dini wala ya dunia. Ikija debate ya mada yoyote inatawaliwa na pumba za ujinga. Amken Na mjue upuuzi wa kutukanana kidini haitoishia katika JF, kuna siku tutajikuta yanayowapata nchi kama CAR na Nigeria. Tumieni JF kwa manufaa ya kujifunza, kuleta umoja Na Amani kuliko kuigeuza mahala pa kuleta chuki zisizo na maana.
 
hivi hawa bakwata hizi link hawazijuw au? au wako kama bendera.......hii ni dini ya allah haiongozwi kwa mawazo ya watu ....
 
Hii sikukuu imekaa ki siasa sana! ki uhalisia leo ndiyo sikukuu maana kenya , uganda burundi wameswali leo....Bakwata walikuwa tayali wamepanga iwe jumanne kwa shinikizo tu.
 
Back
Top Bottom