Mrs. Dago
Kutokana na mwezi kuandama na tarehe kuwa sambamba na siku ya Arafat (Hijja)...
EIDDI inabidi IWE SIKU YA JUMAMOSI 4th Oct. !!! Lakini Bakwata ina msimamo wake na Taasisi zingine inafuata maamrisho yake.
haijaalisha POKEA MKONO WA Eiddi !! hongera karibu tule nyama....!