Sikukuu hizi vipi?

Sikukuu hizi vipi?

jaffari yogo

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
685
Reaction score
148
Assalaam Alaykum. Natumai hamjambo humu ndani. Baada ya salaam, naomba kujua kuhusu hizi sikukuu za kidini kuwa ni nini ambacho huwa kinasherehekewa? Kuna EID EL HAJJ, EID EL FITRI, PASAKA na KRISMASI. Naomba nijuzwe maana sielewi maana kamili kwa kutofautisha. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nikitarajia majibu mema kutoka kwenu.
 
Kawaulize viongozi wa dini watakupa majibu.
 
Unataka kujua kwa nini tunasherehekea au kwa nini ni mapumziko?
 
Uliza kwa viongozi wako wa dini zinazohusiana na Dini yako.
 
salam yako ya kiarabu inatosha kujua maana ya sikuu za kiislamu uliza za kikiristo
 
Krisma ni kusherehekea kuzaliwa kwa Yesu Krsito wa Nazarethi mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana,mkombozi wa Ulimwengu wote.

Pasaka ni kusherehekea kufa kwa Yesu Kristo Msalabani kwa ajili ya wanadamu wote ukiwamo wewe uliyepost kwa ajili ya dhambi za ulimwengu na kufufuka baada ya siku tatu..........na hivyo ukiamini moyoni mwako kuwa kweli alikufa Msalabani na kufufuka na ukitubia uovu wako utaokoka na gadhabu ya Mungu juu ya watenda maovu......na kwa huyu kila goti litapigwa mbele zake siku ya hukumu maana atahukumu ulimwengu....na hakuna jina jingine chini ya Mbingu lipasalo wanadamu kuokolewa kwalo.

........na ndiyo mwanaume pekee aliyekwenda Mbinguni na atarudi tena kwa ajili ya kutoa hukumu,wengine wote watarudi kwa ajili ya kuhukumiwa.
 
Kwa hiyo hata sikukuu za dini yako huzijui?
 
Huu Mwezi mzima kila wiki ina siku nne tu za kufanya kazi.zilizobaki mapumziko.
 
Waalaykum salaam. EID EL FITRI husherehekewa baada ya kumaliza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Halafu EID EL HAJJ husherehekewa kipindi waisilamu wameenda HIJJA na sasa wanamalizia. Nadhani ni hivyo.
 
Back
Top Bottom