Sikudhani JF ina wanawake 'wakali' hivi

Sikudhani JF ina wanawake 'wakali' hivi

Siyo kisu, ni panga nina mtoto mmoja na wewe unatafuta mke?
jf kama mtu hujapata mtoto mkali basi lazima uambulie single mother! ila nawaheshimu ma single mothers ni watulivu sana
 
Watu wa mikoani wanapenda sana kujiita mabaharia..hua wanajiona wajanja sana kumbe hawaelewi tafsiri yake ni ipi kujiita baharia wakati haujasomea ubaharia..
 
Umenichekesha mkuu, ww utakua ni Muhaya sio kwa kujifagilia huko, eti sikataliki kirahis au nilitoka na kasport car, gar kubwa nilikua inaoshwa nyumban inawezekana kweli kwenu mboga saba, ila punguza mbwembwe rafik angu
 
Back
Top Bottom