Sikudhani JF ina wanawake 'wakali' hivi

Sikudhani JF ina wanawake 'wakali' hivi

ulikua unataka nisubiri unisifie!? hii ndo JF unajiachia utakavyo katika uzi wako! kwan shi ngap bana! mbongo usipojisifia hakusifii ng'oo! nani asiyependa sifa!?
Wewe na billionea wa jamii forum tayQun "Kiduku Lilo" ni ndugu mkuu
 
Siwezi. Mi ni bodaboda siyo mkulima
sawa bodaboda kuna siku nikija mtembelea bi dada mkuu wa wilaya yenu unicheki niweze hata kukukutanisha nae umshike mkono maana nadhani unamuonaga kwenye magazeti tu...
 
Mamaye huko kaskazini hamna watu design yako, hatuna pigo hizo arifu
 
we lofa nini unadhani kaskazini ni ya wavaa jinsi zilizobana na buti kubwa na wavuta msuba kama ninyi pekee!? sasa mimi ndo mkaskazi pu kwa taarifa yako *****!
Mamaye huko kaskazini hamna watu design yako, hatuna pigo hizo arifu
 
1569361090386.png
 
Hahaha anaza kiduku Lilo, ila mzee kama umekutana na visu ni wewe lakini kuna specie mbovu humu halafu zinajipa majina ya instagram,ukiona cute..... ujue hamna kitu hapo.
Mimi ebidi niangalie ID mara mbili mbili
 
Hahaha sikuwahi kutamani kupata bi dada kutoka kwa net that's why naingia kama kuondoa mambo mingi kwa akili sababu nikitoka kipindi kichwa kizito haswaa but kama nikwel hongera sana 🤔🤔
 
Njoo umuone mdogo ake kiduku lilo Inna

Afu nasikia eti watoto wa humu mpo visu;
wema_sepetu akasome
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]namjua huyu kuna uzi wake mwingine anajipa maujiko balaa watakua na undugu na kiduku lilo au ni id ingine
 
bangi zinakusumbua wewe sio bure! vipi hujaenda hata veta!? maana kukaa home nako ni shida hasa ukiwa unajaribia kumaliza form four!
we lofa nini unadhani kaskazini ni ya wavaa jinsi zilizobana na buti kubwa na wavuta msuba kama ninyi pekee!? sasa mimi ndo mkaskazi pu kwa taarifa yako *****!
 
Hahaha sikuwahi kutamani kupata bi dada kutoka kwa net that's why naingia kama kuondoa mambo mingi kwa akili sababu nikitoka kipindi kichwa kizito haswaa but kama nikwel hongera sana [emoji848][emoji848]
jaribu kaka samaki wapo kweli
 
Back
Top Bottom