Kufanya siku hizi kuwa za kupiga kura inaleta inconvenience kwa waumini wanaosali siku husika.
Napendekeza kuwa iwe siku ya kawaida ya katikati ya juma ambayo itafanywa siku ya mapumziko ili watu wote wawe huru kwa ajili ya shughuli maalumu ya kuamua kuhusu hatima ya nchi yao. Iwe ni kura za maoni, uchaguzi mkuu au serikali za mitaa.
Nawasilisha.
Tunaanza kuyaona MAKUCHA YENU WAKRISTO.
Kumbe Nyie Nia yenu na MIPANGO YENU NI Kuwapigia Kura watu Kwa sababu WAO NI WAKRISTO TU!! Bila kujali Utendaji wao au Elimu zao Sio?
Tunaendelea Kuwasoma Pole pole.
Naionea Huruma Nchi yangu maskini.
Nyie ndio mtakayo igeuza nchi hii kuwa kama RWANDA.
Waislamu Mnaona WAKRISTO wanavyosema?
Sasa Akili kichwani mwenu Ifikapo 2015.
Kufanya siku hizi kuwa za kupiga kura inaleta inconvenience kwa waumini wanaosali siku husika.
Napendekeza kuwa iwe siku ya kawaida ya katikati ya juma ambayo itafanywa siku ya mapumziko ili watu wote wawe huru kwa ajili ya shughuli maalumu ya kuamua kuhusu hatima ya nchi yao. Iwe ni kura za maoni, uchaguzi mkuu au serikali za mitaa.
Nawasilisha.
Mkuu hamta tutowa nje ya reli mwendo mdondo kura tutapinga mda wowote nyiye endeleyeni kugawana kwenye rumbesa sisi tuna gawana mitaa tutakutana mbele kwa mbele 2015 ccm hamta tuambia kitu kuhusu udini tena hatuta wapa nafasi ya kutudanganya mara mbili