ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Yaonekana pamoja yote UKWELI ni kuwa, pamoja na matakataka yote mnamwogopa sana Sir Humphrey Polepole, hakuna wa kumgusa. Mengine ni porojo zenu za kitoto kama za Ndugai, Sirro na wale vijana wenu wanaohangaika kuokoteza cha kusema kule mahakamani.Wanadhani CCM ni kama saccos ya Mbowe, hata ukigombania naye mwanamke kesho yake anaitisha Kamati Kuu ya dharula wanakuvua uanachama