Siku za Humphrey Polepole na wenzake ndani ya CCM zinahesabika

Wanadhani CCM ni kama saccos ya Mbowe, hata ukigombania naye mwanamke kesho yake anaitisha Kamati Kuu ya dharula wanakuvua uanachama
Yaonekana pamoja yote UKWELI ni kuwa, pamoja na matakataka yote mnamwogopa sana Sir Humphrey Polepole, hakuna wa kumgusa. Mengine ni porojo zenu za kitoto kama za Ndugai, Sirro na wale vijana wenu wanaohangaika kuokoteza cha kusema kule mahakamani.
 
Mimi binafsi huwa naishangaa sana chadema. Kwa huu mpasuko uliyopo CCM inatakiwa CDM watumie kila mbinu wamchukue komredi polepole. Wapiga kura wengi ambao walibatizwa Jima la Wanyonge kwa 100% bado wana imani sana na mfumo wa utawala wa JPM. Hivyo akipatikana mfuasi Mzuri wa JPM 2025 CDM ikulu ni yao.

Lakini utawashangaa CDM wanamchukua mwana CCM wa ajabu ajabu. Lakini pia Tundu amechafuliwa na amechafuka. Hivyo waachane nae. Goli lipo wazi CDM tafuteni striker mzuri mfunge goli
Hivi umeishajaaliwa kupangwa zamu ya kufanya usafi malaloni Burigi tangu wamuhamishie jengo jipya?
Wahi nenda haraka hata kama jina halimo, wahitaji 'upako' kutoka kwa malaika wa kuzimu.
 
Mama anadekeza sana,ila kwa kauli ya Jana anaanza kuchoka japo amechelewa ilitakiwa asiongee na MTU yeye kimya kimya piga chini wote.
Inatakiwa Japhary Haniu tu ndio asomeke kwenye press release za Ikulu basi,yaani kima wanisumbue ??
 
Mimi binafsi huwa naishangaa sana chadema. Kwa huu mpasuko uliyopo CCM inatakiwa CDM watumie kila mbinu wamchukue komredi polepole. Wapiga kura wengi ambao walibatizwa Jima la Wanyonge kwa 100% bado wana imani sana na mfumo wa utawala wa JPM. Hivyo akipatikana mfuasi Mzuri wa JPM 2025 CDM ikulu ni yao.

Lakini utawashangaa CDM wanamchukua mwana CCM wa ajabu ajabu. Lakini pia Tundu amechafuliwa na amechafuka. Hivyo waachane nae. Goli lipo wazi CDM tafuteni striker mzuri mfunge goli
Kwani Mh Lissu hakumgaragaza Jiwe??
 
Back
Top Bottom