Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,240
Haswa.Naye atakuheshimu
Haswa.Naye atakuheshimu
Unapenda ukubwa eeh? Sijambo. Umefurahi?Dogo hujambo?
Umesahau kwenye ule uzi nilikuta mnatongozana!! Na valentine mkaenda kukoromeana[emoji134][emoji134][emoji134]wapi nimemtaka
mbona mi sijui kama namtaka
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Nenda tu ukawe mchepuko, si ndio nyota yako[emoji23][emoji23][emoji23]
Usijali, ipo siku utakua tu.Unapenda ukubwa eeh? Sijambo. Umefurahi?
Haya ndiyo utanikubalia eeh?Usijali, ipo siku utakua tu.
Usiweke uzi..Ngoja nikajaribu bahati
Au nije na Uzi kabisa wa kutafuta mchumba?
Kilalakheri.[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Kule napata wangu peke angu
Kukukubalia nini mdogo wangu?Haya ndiyo utanikubalia eeh?
Kwahiyo nikija na ID mpya utanielekeza pm?Usiweke uzi..
Kule kuna wale ambao hawajui hata pm... Unawafundisha
Kuwa nakuzidi umri.Kukukubalia nini mdogo wangu?
Asante saaaanaKilalakheri.
Hahaha hahaha hahahaKwahiyo nikija na ID mpya utanielekeza pm?
Nimeona nisicheze mbali!Huna adabu, unakula kuku na mayai yake[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Kweli bora safari iishie hapa tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuwa nakuzidi umri.
Kafie mbali.Nimeona nisicheze mbali!
Kwa familia yangu mie mkali kama mbogo aliyejeruhiwa. Pita mbali kabisa.Daah
Yamekua hayo?
Basi sawaKwa familia yangu mie mkali kama mbogo aliyejeruhiwa. Pita mbali kabisa.
Kila la kheri.Basi sawa
Ngoja nielekee jukwaa la utambulisho,halafu nitapitia kidogo na love connect naamini sitatoka kapa