Siku yetu ya Single awareness day(SAD)

Siku yetu ya Single awareness day(SAD)

Luckme

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
713
Reaction score
758
Baada ya jana wapenzi na wapendanao kusherekea siku yao ya Valentine day , basi na sisi ambao hatuna wapenzi maalumu hatujaachwa wapweke .

Leo tar 15 in siku yetu ya Single awareness day(SAD) na sisi tuna sherekea sasa sjui tunasherekea nini (umalaya) au (uzinifu) ata sielewi..

Anyway wale wenzangu na mimi ambao tupo single lakini huduma za kimwili tunapata kama kawaida tujumuike hapa kusherekea siku yetu .....

am better here
 
vipi jamaaalirudi tena kukugegeda au toka alivyovaa ile suruali hakurudi tena hadi jana
Hahaha hakuludi nkaenda kupata kwingine maana kikunio hana pekeake

am better here
 
You are so draft young lady.

Kukosa mpenzi mi automatically kuwa malaya ama mzinifu?
Hapana nimezungumzia wale ambao hatuna commitment na mtu .....cjazungumzia single ambao hawajihusishi na mapenzi noooo....

am better here
 
Samahani wakuu...
Kidogo nimechelewa kufika kwenye huu uzi.
Naomba kuwasilisha....[emoji30][emoji30][emoji30]
tapatalk_1547552950903.jpeg
 
wana wa CHAPUTA wote kesho tukutane kama ratiba isemavyo hapa:-

wa mikoani tukutane MWANZA hotel,

wa dar es salaam tukutane ALFA&OMEGA hotels

wale wa kaskazini tukutane golden valleys hotels

Wale wa mikoa mingine mutajuika na wenzenu maana mnaishi kusiko julikana!![emoji13][emoji13][emoji13]

kila mwanachama aje na sabuni ili kuimarisha chama na kuonyesha uzarendo wa dhati..

NB:haya ni maelezo ya mlevi mmoja aliekuwa na siku kadhaa hajara[emoji37][emoji37][emoji37]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom