Siku yangu aina ya Tecno W5 ina wazimu?

Siku yangu aina ya Tecno W5 ina wazimu?

Tatizo la kuchelewa ku respond hutokana na kujaza application nyingi kwenye simu kuzidi uwezo

Tatizo la kuzima lenyewe na kuwaka pia hutokana na kutumia simu kwa kasi zaidi ya uwezo hadi simu kufanya automatic reboot cpu inapozidiwa

Kuchelewa kurespond inatokana na kuzidiwa speed au kubadilisha kioo na kipya kuto kaza vizuri hivyo kutotouch vizuri na kupelekea kukosea spelling wakati unaandika sms
 
Tatizo la kuchelewa ku respond hutokana na kujaza application nyingi kwenye simu kuzidi uwezo

Tatizo la kuzima lenyewe na kuwaka pia hutokana na kutumia simu kwa kasi zaidi ya uwezo hadi simu kufanya automatic reboot cpu inapozidiwa

Kuchelewa kurespond inatokana na kuzidiwa speed au kubadilisha kioo na kipya kuto kaza vizuri hivyo kutotouch vizuri na kupelekea kukosea spelling wakati unaandika sms
Thanks bro,nitarifanyia kazi
 
Back
Top Bottom