Kwanza wana jf niwape pole kwa mihangaiko yenu ya kila siku.
Mimi Nina simu ya Tecno w5 lakini sijui ni ya kwangu tu au na wengine.Simu yangu inamatatizo yafuatayo;
(1)Haiwaki button zake tatu za chini na
(2)Ina hard touch,yaani ukibonyeza ijaweza isi respond ,watalaam naomba msaada jamani.
WIDAJAMU
Mimi Nina simu ya Tecno w5 lakini sijui ni ya kwangu tu au na wengine.Simu yangu inamatatizo yafuatayo;
(1)Haiwaki button zake tatu za chini na
(2)Ina hard touch,yaani ukibonyeza ijaweza isi respond ,watalaam naomba msaada jamani.
WIDAJAMU
