Siku yaja Ibrahim Traore wa Tanzania atakua madarakani

Siku yaja Ibrahim Traore wa Tanzania atakua madarakani

Chibike

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
4,896
Reaction score
7,522
Mambo ni moto . ..nilisema Kuna siku isiyo na Jina TRAORE wa Tanzania ataingia madarakani . ..

Na siku hio itakapokuja, hakika kuna watu watafungwa... Wengine watakimbia nchi, wengine watanyongwa, wengine watafilisiwa, Tanzania mpya itazaliwa yenye kusimikwa ufalme na Mungu na sio shetani.

Wana wa Mungu tuendelee kusali na kuomba ....Tuendelee kukusanya ushahidi tu, ..well documented..ushahidi wa picha, documents, audio and video..siku yaja vitahitajika

Ibrahim Traore wa Tanzania tazama asema "naja upesi" ...
 
Back
Top Bottom