Dkt. Gwajima D
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 543
- 3,575
TAARIFA KWA UMMA (Rejea Kiambatisho).
Wasaalam Wana Jukwaa.
Nimeambatisha taarifa kwa umma kuhusu siku ya Wazee kitaifa mkoani Geita, tarehe 6 Oktoba, 2023. Viwanja isomeke KALANGALALA na siyo Kahangalala, my apologies, naomba radhi🙏🏽🤝
Fuatana nasi tafadhali kwenye tamko hili na kwenye siku ya tukio. Kaulimbiu ni "Uthabiti wa Wazee kwenye Dunia yenye Mabadiliko"
Tukumbuke, uzee na kuzeeka hakukwepeki, uzee ni tunu adimu, tuwaheshimu, tuwapende, tuwalinde na tuwatunze.
Karibuni kwa maoni, michango. JamiiYetuFahariYetu#🇹🇿
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Wasaalam Wana Jukwaa.
Nimeambatisha taarifa kwa umma kuhusu siku ya Wazee kitaifa mkoani Geita, tarehe 6 Oktoba, 2023. Viwanja isomeke KALANGALALA na siyo Kahangalala, my apologies, naomba radhi🙏🏽🤝
Fuatana nasi tafadhali kwenye tamko hili na kwenye siku ya tukio. Kaulimbiu ni "Uthabiti wa Wazee kwenye Dunia yenye Mabadiliko"
Tukumbuke, uzee na kuzeeka hakukwepeki, uzee ni tunu adimu, tuwaheshimu, tuwapende, tuwalinde na tuwatunze.
Karibuni kwa maoni, michango. JamiiYetuFahariYetu#🇹🇿
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app