Power to the People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 1,198
- 900
I hate to tale on these people lakini THEIR GREATEST WEAPON IS WEAPON IS THE MIND! They play with your mind. Anakuprofile tu, what is your weakness. Kama unataka Romeo n Julliet story atakuwa Romeo, unataka ndoa atajifanya anatafta mke, unapenda company atajifanya mtu wa company. WHAT EVER YOU WANT THEY DELIVER BEYOND YOUR IMIGINATION.
Sasa it takes only the msrtest kuvuka hivi vigingi. TO THEM IT IS LIKE A GAME! To the women it is their life, emotions,heart at stake.
umeona mkuu? mi mwenyewe nimeshangaa sana yaani
Lara umejitahidi kujibu lakini bado sanaaaaaaaaaaa! Ukombozi wenu,mfano ili nijue info zako wewe nikimuuliza best yako nazipata zote why?
_kwa nini ni rahisi mwanamke kukutongozea mwanamke mwenzie na sio man kimshawishi man mwenzie achukue dem fulani?
Jirekebisheni hapo kwanza,
lara 1 na happy lady kuna jambo ambalo mmelisahau nalo ni
"maisha yalianza kumbagua mwanamke kwasababu ya maumbile" biologically nature iliamua hivyo ili kumrescue huyu mwanamke na maudhi yatokanyo na jinsia yake.
sasa kuna changamoto pale unapotaka ku-intergrate nature na technolojia. to me big up to tech advancement manake imemrahisihia mwanamek mambo mengi sana japokuwa yapo ambayo yamebaki kuwa ni ya nature tu hata tech ikuweje.
mfano: mwanamke kubeba mimba, ama kupata hedhi hii ni nature na technolojia inaweza kutusaidia lurahisiha process hizi lkn siyo kuzireplace.
wanwake hawahitaj replacement ya nature processes bali wanahitaji means to cope with them. na hata tunapojitahd ku cope basi ieleweke kwamba ni sehem ya maisha na siyo kwamba tunataka kuwa outsmart wanaume.
Fikiria swala kama hili, una mtoto mchanga wa wa miezi kama 9 hivi, uko ofcn inatokea safari wewe uko entitled kwenda kutokana na taratibu za kiofisi lkn unashindwa kwasabab una mtoto mchanga, na unaposema nina haki ya kwenda na nitaenda na mwanangu basi bosi anaona kama vile kukuongezea iyo half per diem kwako ni faida sana na kwamba anakutajirisha sanaa akasahau kwamba wewe unarisk kwanza kwa kwenda na mtoto na pili hata iyo kazi haina security kwa mtt wako incase of any damage.
ni shidaaaa!
We nawe unawalisha maneno watu, nani kasema anataka kuwa juu ya mwanaume?
Siku nyingine usome kwanza.
Dini gani inasema mwanamke awe chini?
Usiombe samahani, huu ni mjadala tu. Na ni kweli kwenye dini mwanamke yuko chini sekta mbali mbali
1. Hakuna nabii wa Kike hata mmoja
2. Vitabu vya wanawake biblia nzima sijui vi 3 au 4.
3. Wanawake hawakuwekwamo kwenye hesabu za watu kana kwamba si watu, katoto kadogo ka kiume kanahesabiwa mbibi anachwa.
4. Wanawake wachache sanaa walipata uongozi katika vitabu karibia vyooote.
Pamoja na kutokutamkw rasmi ila dini nyingi zilimuweka mwanamke chini.
Rudia bible knowledge mumy, Manabii wa kike walikuwepo.... Luka 2:36, Waamuzi 4:4.
Kinacho wacost wanawake ni laana namba mbili baada ya kuzaa kwa uchungu.
Hizi lugha za kujibembeleza zimefanya akili zetu zilegee, na tumekuwa wavivu hata tunakosa baraka.
Nionyeshe mwanamke mkristo anayeishi hata nusu ya sifa za mwanamke wa Mithali 31:10-31, kama analamika njaa, uonevu au kunyimwa cheo.
Tumepungua ndo maana tunaruhusu hayo. Hao wanaoenda kwenye mikutano ya dini, shule tungetumia uwezo wetu hata kidogo matokeo mazuri yangeonekana.
Mara zote nilizoshindwa kufanya vizuri ilikuwa ni kwa sababu za woga wangu na si uanamke.
Dare to the maximum.
Totally wrong.
Hiyo unayoongelea wewe ni "hongo".
Kutumia mwili kunakuja kama LEVERAGE ya impossibility mlizoziweka nyie wanaume. Inakuwa mnaacha NO WAY OUT! Either ukubali kustaafu bila cheo au ndo utoe mwili. Mwanamke hawezi kutoa mwili wak isipomlazimuuu. Ndo pale njaa imekubana, una shida ya kazi, boasi nataka mzigo. EITHER WAY YOU LOSE!!!!!!! Ukimpa kakutapeli, ukimnyima njaa itakumaliza sooner or later. That is a challange of being a woman.
I hate to tale on these people lakini THEIR GREATEST WEAPON IS WEAPON IS THE MIND! They play with your mind. Anakuprofile tu, what is your weakness. Kama unataka Romeo n Julliet story atakuwa Romeo, unataka ndoa atajifanya anatafta mke, unapenda company atajifanya mtu wa company. WHAT EVER YOU WANT THEY DELIVER BEYOND YOUR IMIGINATION.
Sasa it takes only the msrtest kuvuka hivi vigingi. TO THEM IT IS LIKE A GAME! To the women it is their life, emotions,heart at stake.
na wewe uliyoongelea ni hongo vile vile, unless ufafanue kama nilikuelewa vibaya
natamani hili lizungumzwe zaidi, wengine zaidi ya salamu na ushauri hakuna lingine.....kumbe kuna watu wengine pengine wakiona pop up ya message wanatetemeka kwa kuhofia kilichoandikwa.....this is serious!
Hapana sikuongelea hongo, kanisome vizuri halafu unieleze ni kipi ulidhani wewe kuwa ni hongo.
Hahhaaaa.... Kuna watu wana roho ndogo aisee, wakikutana na maswahibu wanachange ID zao....
matatizo ya mwanamke nionavyo mimi hayawez kutatuliwa na mwanamke mwenzie kama yalivyo matatizo ya mwalimu hayawez kutatuliwa na mwalimu mwenzie.
sabb kubwa ni
wanaume wameshajua haya mapungufu na ndio mana huyasimamia haya kunyanyasa wanawake. wanume waliokuwa vizuri kimaisha wana heshima sana kwa wanawake na hii hata kama mkewe atamkosema huona kwamba kakosea ktk hali ya kibinaadamu zaid lkn wale wanaume waganga njaa ndo wanyanyasaji zaid. yaani naweza kusema sijui ni kutokujiamini labda.
- ubinafsi
- woga
- chuki
- kutokujali na
- utayari
Nimekubaliana na 75%ya point zako,but lara1 kuna kitu najiuliza why hampendani ninyi wenyewe?mifano iko mingi niliwahi kufanya kaxi na mwanamke fulani akiwa GM wa kampuni moja kubwa sana but huwezi amini hakupenda kuajiri wanawake wenzake hata kama wana vigezo vya kufanya kazi hiyo,nawaomba kinadada mjitambue kwanza na mpendane wenyewe kwanza,hata katika mafanikio huwa mnaangushana wenyewe.