siyo kwamba wanajirahisisha wenyewe kweli??
Tukija kwenye dini tunaona ya kuwa wanawake tunatakuwa tuwe chini ya lkn kwa sababu ni science na technology tunajikuta tunataka kwenda sawa kitu ambacho tukikiendekeza.saanammwisho wa cku hutuumiza wenyewe kuna wakati tunatakiwa tukubari hari arisi ya kuwa hatuwezi kuwa juu ya wanaume hta cku mja tutafurukuta kkn mwisho wa cku lazima tukae na ndoa nyingi cku hz hazidumu kwa sababu ya hii kitu inayoitwa haki sawa ila samahani km nitawakwaza wanawake wenzangu lira1 nakukubari saana
Tukija kwenye dini tunaona ya kuwa wanawake tunatakuwa tuwe chini ya lkn kwa sababu ni science na technology tunajikuta tunataka kwenda sawa kitu ambacho tukikiendekeza.saanammwisho wa cku hutuumiza wenyewe kuna wakati tunatakiwa tukubari hari arisi ya kuwa hatuwezi kuwa juu ya wanaume hta cku mja tutafurukuta kkn mwisho wa cku lazima tukae na ndoa nyingi cku hz hazidumu kwa sababu ya hii kitu inayoitwa haki sawa ila samahani km nitawakwaza wanawake wenzangu lira1 nakukubari saana
Tukija kwenye dini tunaona ya kuwa wanawake tunatakuwa tuwe chini ya lkn kwa sababu ni science na technology tunajikuta tunataka kwenda sawa kitu ambacho tukikiendekeza.saanammwisho wa cku hutuumiza wenyewe kuna wakati tunatakiwa tukubari hari arisi ya kuwa hatuwezi kuwa juu ya wanaume hta cku mja tutafurukuta kkn mwisho wa cku lazima tukae na ndoa nyingi cku hz hazidumu kwa sababu ya hii kitu inayoitwa haki sawa ila samahani km nitawakwaza wanawake wenzangu lira1 nakukubari saana
Nimekubaliana na 75%ya point zako,but lara1 kuna kitu najiuliza why hampendani ninyi wenyewe?mifano iko mingi niliwahi kufanya kaxi na mwanamke fulani akiwa GM wa kampuni moja kubwa sana but huwezi amini hakupenda kuajiri wanawake wenzake hata kama wana vigezo vya kufanya kazi hiyo,nawaomba kinadada mjitambue kwanza na mpendane wenyewe kwanza,hata katika mafanikio huwa mnaangushana wenyewe.
We siku moja unaiona ndogo, ila ILITUCHUKUA KARNE NA KARNE KUPAMBANA KUIPATA HIO SIKU MOJA. Lazima tuishereke kikamilifu.
We nawe unawalisha maneno watu, nani kasema anataka kuwa juu ya mwanaume?
Siku nyingine usome kwanza.
Dini gani inasema mwanamke awe chini?ndiyo maana niliomba radhi kwanza my
Mwanamke mwenzangu, sikubaliani na wewe.
Na tukisema tuendelee na mfumo huu, tutaishia kunyanyasika milele
Tukija kwenye dini tunaona ya kuwa wanawake tunatakuwa tuwe chini ya lkn kwa sababu ni science na technology tunajikuta tunataka kwenda sawa kitu ambacho tukikiendekeza.saanammwisho wa cku hutuumiza wenyewe kuna wakati tunatakiwa tukubari hari arisi ya kuwa hatuwezi kuwa juu ya wanaume hta cku mja tutafurukuta kkn mwisho wa cku lazima tukae na ndoa nyingi cku hz hazidumu kwa sababu ya hii kitu inayoitwa haki sawa ila samahani km nitawakwaza wanawake wenzangu lira1 nakukubari saana
We nawe unawalisha maneno watu, nani kasema anataka kuwa juu ya mwanaume?
Siku nyingine usome kwanza.
Dini gani inasema mwanamke awe chini?ndiyo maana niliomba radhi kwanza my
Usiombe samahani, huu ni mjadala tu. Na ni kweli kwenye dini mwanamke yuko chini sekta mbali mbali
1. Hakuna nabii wa Kike hata mmoja
2. Vitabu vya wanawake biblia nzima sijui vi 3 au 4.
3. Wanawake hawakuwekwamo kwenye hesabu za watu kana kwamba si watu, katoto kadogo ka kiume kanahesabiwa mbibi anachwa.
4. Wanawake wachache sanaa walipata uongozi katika vitabu karibia vyooote.
Pamoja na kutokutamkw rasmi ila dini nyingi zilimuweka mwanamke chini.
Na wanaume wanatu nyanyasa sababu hawawezi kunyanyasa wanaume wenzao. Ndo unakuta ile hasira ya kukaliwa kichwani wanaume wenzie anaimalizia kwa mwanamke! SO SAD! Ndo maana mara chache kukuta a successful man ni mnyanyasaji wa wanawake.
lara ili mpate ukombozi fanyeni haya
1,kataeni kutolewa mahari
2.kataeni viti vya upendeleo bungeni
3.wacheza shoo wa kike kwenye miziki wasivae nusu uchi
4.msipewe maksi za upendeleo ili kuendelea na masomo.
Lara tupo pamoja patner?
Mnatakiwa mjiamini kwanza muache kujihusisha na kuwa fake...
Ndo mana yake.
Ila kwanini tatizo hili linapigiwa kelele lakini halipati ufumbuzi?
Je, wanawake wenzetu ndio chanzo au
We nawe unawalisha maneno watu, nani kasema anataka kuwa juu ya mwanaume?
Siku nyingine usome kwanza.tatizo hawa wanaume wanajua udhaifu wetu upo wapi hasa cc wa hari ya chini tunapata tabu saana kupambana na hawa viumbe twahitaji kuwa na akiri ya ziada saana lacvyo tutaishia kuongea tu mwisho wa cku patupu ukute mda huu wapo turi wanatusoma tu
Dini gani inasema mwanamke awe chini?
Usiombe samahani, huu ni mjadala tu. Na ni kweli kwenye dini mwanamke yuko chini sekta mbali mbali
1. Hakuna nabii wa Kike hata mmoja
2. Vitabu vya wanawake biblia nzima sijui vi 3 au 4.
3. Wanawake hawakuwekwamo kwenye hesabu za watu kana kwamba si watu, katoto kadogo ka kiume kanahesabiwa mbibi anachwa.
4. Wanawake wachache sanaa walipata uongozi katika vitabu karibia vyooote.
Pamoja na kutokutamkw rasmi ila dini nyingi zilimuweka mwanamke chini.
Happy women's day lara 1
Speaking as a proud woman and a mother....signature yako inasema kila kitu....Member wengi sana walivuma kwa kishindo wamedisappear kimyakimya....tunatakiwa kuwa makini aisee!!