kisokolokwinyo20
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 472
- 424
Natanguliza SAMAHANI!
Hii siku ya Babaz inaeleweka nakuthaminiwa sana na wale waliolelewa na baba zao tu ila nyie wengine mliolelewa na Mama zenu pekee hamtapenda hata kuisikia kwakuwa mara nyingi mama zenu walishawajengea chuki dhidi ya baba zenu tokea utotoni mwenu.
Mama anamwaga sumu kwa mtoto,na toto lenyewe jinga mpaka linakuwa kubwa bado halitafakari kuwa hata utayari wa baba kushiriki ile something ilikuwa ni jambo kubwa na lapekee lakumshukuru baba,kwani end result ikawa kuzaliwa kwangu.
So nyie watoto wa mama acheni kupotoshwa potoshwa na mama zenu,kuweni positive kwa Babaz.
Nimeona hakuna mbwembwe kama ilivyo kwa Mamaz Day.
Happy Father's Day To All Fathers' Out There.
Hii siku ya Babaz inaeleweka nakuthaminiwa sana na wale waliolelewa na baba zao tu ila nyie wengine mliolelewa na Mama zenu pekee hamtapenda hata kuisikia kwakuwa mara nyingi mama zenu walishawajengea chuki dhidi ya baba zenu tokea utotoni mwenu.
Mama anamwaga sumu kwa mtoto,na toto lenyewe jinga mpaka linakuwa kubwa bado halitafakari kuwa hata utayari wa baba kushiriki ile something ilikuwa ni jambo kubwa na lapekee lakumshukuru baba,kwani end result ikawa kuzaliwa kwangu.
So nyie watoto wa mama acheni kupotoshwa potoshwa na mama zenu,kuweni positive kwa Babaz.
Nimeona hakuna mbwembwe kama ilivyo kwa Mamaz Day.
Happy Father's Day To All Fathers' Out There.



