Siku Ya Wababa Duniani (Father's Day)

Siku Ya Wababa Duniani (Father's Day)

Ingawa ujumbe wako una ukweli ndani yake, mi naona ni ujinga kwetu sisi waAfrica kuchaguliwa siku ya kumsherehekea Dingi na hawa wakoloni. Unafikiri hii siku ingekuwa imenzishwa na mtu mweusi wazungu wangei advitise? Baba yako mwenyewe inakuwa unachaguliwa siku ya kumsherehekea?
 
Back
Top Bottom