Ingawa ujumbe wako una ukweli ndani yake, mi naona ni ujinga kwetu sisi waAfrica kuchaguliwa siku ya kumsherehekea Dingi na hawa wakoloni. Unafikiri hii siku ingekuwa imenzishwa na mtu mweusi wazungu wangei advitise? Baba yako mwenyewe inakuwa unachaguliwa siku ya kumsherehekea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.