comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,228
- 5,950
TANESCO wamekuwa waungwana wakati wote wakitoa taarifa kwa umma huku wakipingwa na KEY BOARD WARRIORS ila mwisho wa siku kama TANESCO walivyosema hali ingeweza kurudia kwenye uhakika wa kupata umeme mwishoni mwa Desemba 2022. Naona Mungu kasimama nao na wanafiki wanahamia kwa uhamisho wa Feitoto.