BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,332
Nakubaliana nawe kabisa sweetlady, wengine wakishajua wanapendwa sana basi huanza kuleta za kuleta na ujeuri juu. Pamoja na kuwa amekabiliwa na mitihani lakini wanaweza kuzungumza dakika 5 tu hata 10 ili kuweka hali katika penzi lao shwari vinginevyo issue ndogo sana inaweza kuzaa tatizo kubwa sana na kutia doa kwenye penzi lao au hata kuliharibu kabisa.
Endelea kuuchuna ndio heshima itakuwepo mkuu.... Huyo msichana ameshagundua kuwa unampenda sana ndio maana anakufanyia kiburi... Hata kama umemkumbuka kaa kimya mpaka aanze kukutafuta yeye! Ukimpigia tu ujue atakufanya msukuke wake na atakuendesha kama gari bovu!
Last edited by a moderator: