Siku ya kweli aliyokufa Mwl J K Nyerere

Umekuaje hajafanya research? Binafsi sijui mwalimu alifariki lini ila najua kifo chake kilitangazwa tarehe 14 October. Kama angekuwa amefariki tarehe 14 iweje nyimbo za kina Komba zianze kupigwa radioni immediately dakika chache baada ya Mkapa kutangaza kifo chake?

Mwenye akili ameelewa
 
Hapa emotion zimetawala, lakini kutakuwa na ukweli ndani yake, walisema aliuawa nikasadiki, kumbe na kufa ni tar 7...nasadiki pia

Ha,unasadiki katika yote yanayosemwa?hata kama hakuna ushahidi wa moja kwa moja?
 
tare he 7 Oct.alifariki ni sababu gani zilipelekea tare he ikasogezwa mbele tar14.Oct. badala ya ya tar ya mwanzo.
 
Nikifikiri nyimbo za yule tumbo kubwa Komba naishiwa imani. Alitunga lini?

Umeona,Omary Juma,Yule makamu wa Rais alikufa ghafla,angalia hata nyimbo walizotunga zilikuwa za kizushi tu kwa vile ilikuwa ghafla.ila za Nyerere zilikuwa vizuri.
 
Hebu ushughulishe kidogo ubongo wako kufikiri!! Hebu tutafakari sasa>-

-Wiki mbili kabla ya kifo anapumulia mashine
-Madaktari walitambua ukimwondolea mashine, moyo unasimama na ndiyo mwisho wa uhai wake
-Familia ililidhia mashine zizimwe kwa mgonjwa wao maana hakukua na kuokoa maisha yake tena
-Kwa tamaduni zetu taarifa za msiba hazitolewi tu kiholela, mpaka uhakikishe unapozitoa kila kitu kipo kwenye order..
-Hata wewe ukifiwa na mtu wako wa karibu, watu hawawezi kukurupuka tu kukwambia, lazima wajirdhishe kama akili yako iko sawa na unaweza kuhimili taarifa hizo.

Nadhani kwa sasa si muhimu kujua Nyerere alikufa lini, labda ningekuelewa ungehoji chanzo na sababu za kifo chake ili tujue kama kweli it was a natural death!!.. So far tutumie muda huu kujitathmini kama Nyerere angekuwepo, CCM ingechakachua Katiba yetu, Mafisadi wangekiteka nyara chama chake, tembo wetu wangeuwawa hovyohovyo, vipi madini na gesi yetu ingetumikaje, Viwanda alivyoanzishwa vingekuaje?

Hayo ndo mambo ya msingi ya kuyatafakari

kama utakuwa makini hata mm kuja na hiyo hoja ni ktk kuushughulisha ubongo wangu! km critical thinker naomba uniambie ni kweli nyerere alikufa 14/10/1999
 
Hebu ushughulishe kidogo ubongo wako kufikiri!! Hebu tutafakari sasa>-

-Wiki mbili kabla ya kifo anapumulia mashine
-Madaktari walitambua ukimwondolea mashine, moyo unasimama na ndiyo mwisho wa uhai wake
-Familia ililidhia mashine zizimwe kwa mgonjwa wao maana hakukua na kuokoa maisha yake tena
-Kwa tamaduni zetu taarifa za msiba hazitolewi tu kiholela, mpaka uhakikishe unapozitoa kila kitu kipo kwenye order..
-Hata wewe ukifiwa na mtu wako wa karibu, watu hawawezi kukurupuka tu kukwambia, lazima wajirdhishe kama akili yako iko sawa na unaweza kuhimili taarifa hizo.

Nadhani kwa sasa si muhimu kujua Nyerere alikufa lini, labda ningekuelewa ungehoji chanzo na sababu za kifo chake ili tujue kama kweli it was a natural death!!.. So far tutumie muda huu kujitathmini kama Nyerere angekuwepo, CCM ingechakachua Katiba yetu, Mafisadi wangekiteka nyara chama chake, tembo wetu wangeuwawa hovyohovyo, vipi madini na gesi yetu ingetumikaje, Viwanda alivyoanzishwa vingekuaje?

Hayo ndo mambo ya msingi ya kuyatafakari

Wakati anatoka Tanzania hasa Butiama alikuwa katika hali ya kawaida sana. Yeye katika maelezo yake ni kwamba alikuwa anakwenda kuchekiwa afya yake. Lakini nasema hivi IKO SIKU UKWELI WOTE UTAANIKWA WAZI NA WALIORATIBU MPANGO WA KUKATISHA UHAI WA MWL KWA MASILAHI YA KISIASA AMA WAKIWA HAI AU WAMEKUFA WATAUMBULIWA TU.
 
Ukweli hauwezi funikwa siku zote. Ni kama kuuzuia moshi kwa kawa.

Kama vile kuvuja kwa taarifa za mipango na utekelezaji wa kumwua Nyerere kulivyokuwa, kisha kuibukia 2012 kwa uwazi zaidi. Ndivyo tarehe rasmi ya kufariki inapojulikana.

Nyerere alifariki tarehe 7 Oktoba 1999.

Tarehe nyingine ni danganya toto. Ukweli unasema, huwezi kuwadanganya watu wote kwa nyakati zote. Ndicho serikali iliyoongozwa na B W Mkapa ilichofanya.

Kila mwaka tunaadhimisha siku ya kuzaliwa yesu kristo ni 25 December, je ni kweli Yesu alizaliwa tarehe hiyo?.
 
Hapa kuna hoja ya msingi. Ila kwa mwenye kujua nadhani ni kweli Kuna mambo mawili ya msingi hapa. Kuna suala la siku Nyerere alipofariki dunia.Je Nyerere aliaga dunia tarehe ipi ya mwezi October? Hapa ndo nahisi kuna mkanganyiko kwa watu wengi. Ukweli hapa unajulikana na Mkapa pamoja na wanafamilia ya Mwl.Nyerere.

Jambo la pili ni tarehe ambayo msiba wa Mwl. Nyerere ulitangazwa kitaifa.Hili liko dhahiri kuwa ni tarehe 14 October. Hili la pili nahisi halina shida . Nadhani minong'ono mingi ni kutaka kujua tarehe hakika ya kifo cha Mwl.Nyerere....
 
Kama alifariki tar 7 sasa shida iko wapi au kuna madhara gani kwa taifa?? Infact jamaa ameshakufa ni vizuri tujadili mambo yenye maana
 
hahaaa...hiki kichekesho,yani watu wanatumia kigezo cha Komba kutunga nyimbo fasta baada ya kifo cha Mwalimu kuidhinisha eti alikufa kabla ya tarehe 14.Jamani njooni concrete arguements ndio tupime kama inawezekana kweli Mwl alikufa kabla ya tarehe 14 na pia kama alikufa natural death au kazi ya muumba.Tofauti na hapo hizo zote ni porojo tu.
 
Wazee wa kwao Nyerere huko Butiama walijua kuwa Nyerere kashafariki zamani ila wakawa wanashangaa kwa nini Mkapa hatangazi, ......walijuaje?....Maziwa yaliyokuwa kwenye chungu yaliganda mapema kabla ya tarehe 14, kwa mujibu wa mila na imani za kwao maziwa hayo ndo yalitoa matokeo ya kifo cha nyerere.
 
Ukweli hauwezi funikwa siku zote. Ni kama kuuzuia moshi kwa kawa.

Kama vile kuvuja kwa taarifa za mipango na utekelezaji wa kumwua Nyerere kulivyokuwa, kisha kuibukia 2012 kwa uwazi zaidi. Ndivyo tarehe rasmi ya kufariki inapojulikana.

Nyerere alifariki tarehe 7 Oktoba 1999.

Tarehe nyingine ni danganya toto. Ukweli unasema, huwezi kuwadanganya watu wote kwa nyakati zote. Ndicho serikali iliyoongozwa na B W Mkapa ilichofanya.
nani alimuua nyerere?
 
Back
Top Bottom