Umekuaje hajafanya research? Binafsi sijui mwalimu alifariki lini ila najua kifo chake kilitangazwa tarehe 14 October. Kama angekuwa amefariki tarehe 14 iweje nyimbo za kina Komba zianze kupigwa radioni immediately dakika chache baada ya Mkapa kutangaza kifo chake?
Mwenye akili ameelewa