King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,637
Miaka mi5 ulikuwa unajenga Ghorofa? Kama nyumba zetu hizi ramani kidole ni ndani ya miezi 6 tu ushamaliza!
Acha roho mbaya na wivu ndgu yangu si jenga yako na ww tuione naKujenga wanajenga Strabag na Estim...wewe umepanga matofali umepata hivyo vyumba vyako vi3 unakuja kutishia watu humu
Nimatunda ya kazi pale mtaa wa kijani sio, hongera ndugu etweege,elitweege.Watu wana husda sana mkuu
Hapana utalipua... kama huna dharura sana jenga taratibu nyumba yako ...finishing ya nyumba ni gharama ..nenda taratibu utakapoishia pumzika, vuta pumzi then endelea utapata nyumba nzuri sanaWakuu, ninakuja kwenu kijana ninayetaka kumiliki mjengo!
Nina mil 8! Kiwanja ninacho chanika! Kipo tambarare ardhi ni Mchanga...
Hongera.Habari ndugu,
Baada ya kukuru kakara za kupanga nyumba mbalimbali hapa jijini Dar es Salaam kwa miaka 5 hatimae nikafanikiwa kujenga nyumba yangu...
hahahahahahahHongera
Tunasubiri feefback siku ya kwanza kwenye nyumba yako ya Milele pia
sio rahis boma tu hapo given frat rate italambwa almost 6 m.kufunga ring juu beam hapo unaishia boma tu mzeeWakuu, ninakuja kwenu kijana ninayetaka kumiliki mjengo!
Nina mil 8! Kiwanja ninacho chanika! Kipo tambarare ardhi ni Mchanga...
Aisee 🤦🏾♂️😄Hongera
Tunasubiri feefback siku ya kwanza kwenye nyumba yako ya Milele pia
Dah pole sana hiyo stress yake sio ya kitoto bora ukaishi kwenye nyumba yako ambayo haija Isha kuliko fedheha kama hiyoNilikuwa na akili kama zako mpaka pale nyumba niliyopanga ilipouzwa bila mimi kupewa taarifa na nikiwa bado na mkataba!! aliyenunua akaja na vyombo vyake anataka kuingia ndani .. kesi zikaanza na amani ikatoweka ..muda wa kwenda kazini we unaenda kumsubiri mwenyekiti wa serikali za mtaa kusikiliza shauri lenu.. mwenyekiti naye keshapewa cha juu anakuambia bora utafute nyumba nyingine.. ukirudi home wife anakuuliza vipi mmefikia wapi.. ukitazama dogo anacheza na wenzake nje kwa furaha hajui kama pale sio kwao tena!!.. acha kabisa!..
Atakua ameisha OA lakini, elewa hivyoHongera sana OP.
Sikujui lakini nimefurahia sana mafanikio yako.
Usimtishesio rahis boma tu hapo given frat rate italambwa almost 6 m.kufunga ring juu beam hapo unaishia boma tu mzee
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea kwa hisia na nimekuelewa sana mkuu. Ukweli lazima usemwe, nyumba ya kupanga huwezi kuwa na amani, ni kheri gharama kubwa ya usafiri lkn nipo kwanguNilikuwa na akili kama zako mpaka pale nyumba niliyopanga ilipouzwa bila mimi kupewa taarifa na nikiwa bado na mkataba!! aliyenunua akaja na vyombo vyake anataka kuingia ndani .. kesi zikaanza na amani ikatoweka ..muda wa kwenda kazini we unaenda kumsubiri mwenyekiti wa serikali za mtaa kusikiliza shauri lenu.. mwenyekiti naye keshapewa cha juu anakuambia bora utafute nyumba nyingine.. ukirudi home wife anakuuliza vipi mmefikia wapi.. ukitazama dogo anacheza na wenzake nje kwa furaha hajui kama pale sio kwao tena!!.. acha kabisa!..
Fact kabisa hii. Unapoishi endana na mazingira ya mahali husika. Kipimo cha utu ni kazi, ikiwa mtu hataki kazi basi huyo hana utu, hafai kuishi nayeSikupingi ndg lakini tuna vitu pia sisi tunashindwa kwenda navyo tunapokuwa kwenye nyumba za watu,,watu kutaka kuishi kama waonavyo wao na si kama mwenye nyumba atakavyo au taratibu zake zilivyo,,wengi wetu tunataka tujiendeshe kama vile uko kwako! Hapana!
Wengi wetu hata vikazi vidogo tu vya nyumbani hatutaki kufanya,,na hatuwezi kuchukuliana na mazingira mapya.. Mim nililelewa na baba mdogo na mama mdogo (RIP Mama), niliwakuta wakiwa na bint wa Kazi tu na nikaendelea kuishi hapo tangu mdogo,,mama alikuwa very straight na nilijitaidi kushi vizuri.
Alikuja bro mmoja alishindwa kwa sababu ambazo mim naziona ni ujinga tu,,Kazi za walezi wetu waliokuwa wanalazimika kurudi jioni Sana,,sasa jamaa yeye hata akiwa yupo home hawezi fanya chochote jikoni anamsubiri mama maana Kuna kipindi mfanya Kazi aliondoka...hii mama mlezi hakuivumilia kbs..jamaa nae anapanda juu kwamba yeye mwanaume hawezi pika n.k mwisho aliondoka...
Majuzi Nina mdgo wangu kbs upande wa mke wangu,,Mungu wa rehema ametusaidia tuko kwetu,,sasa jamaa hataki kuchota maji na eneo niliko maji hayajafika,,yaani mtu ananuna Sana akipewa Kazi kusaidia,,
Hitimisho langu sisi tunakoaa kwa watu tujitaidi kwenda na mazingira ya nyumba husika,,wachache wenye kuonea...let's be smart.
Hiyo ni shida! Kufuliwa chupi graduate?Mkuu, nimekuelewa sana na umesema ukweli asilimia
Siwez kujisifia jns navoishi hapa kwa watu ila mm n mchapa kazi sana (kuna usemi unasema yatima hadeki) huo usemi kwangu ndio unaoniongoza tangu nlipoanza kuishi kwa watu ila kuna baadhi ya mambo inakubid uyafanye ht kama utanuna au hupendi n lazima ufanye tuu
Nikikuambia hapa nlipo watoto wa mwenye nyumba wanafuliwa ad chupi na wao wapo degree mwaka wa mwisho huu(mwanamke) na mwingine ndo anaanza degree mwaka huu (wakiume) utakubali.?
Nilidumbukiza 30M kwenye biashara, biashara imekufa within 3 years, na nyumba sina. Heri hiyo pesa ningeanza kujenga nyumba sasa hivi ningekuwa na mahala pangu pa kujisitiri ndio nianze kuhangaika na biashara.Umaskini ni pale kijana anapowaza kujenga nyumba badala ya biashara
Akili zetu zina shida kubwa sio kidogo
Umaskini ni pale kijana anapowaza kujenga nyumba badala ya biashara
Akili zetu zina shida kubwa sio kidogo