Siku ya Kifo Changu


Endelea kuwa 'sure' lakini,
Mr. 'none sense'😛 bado hujanishawishi mimi.

Hiyo nafasi ya unachodai ni 'exposure' hujaitendea haki kwa mtaji wa kiwango unachokionyesha hapa..
Dalili ya mbabaishaji ni kuzalisha mada ndani ya mada badala ya kujibu hoja za msingi uliyoulizwa.

Kingine unanionea na sijui niseme mara ngapi unielewe,
Hakuna mahali mimi nimetamba kuwa najua 'Kiinglish' uwe unaelewa mimi nimevutiwa na 'Matango' pori yako😛
 

Mamluki Comment kwa kwa English; Acha kudhihirisha ushamba wako
 
Ok...turudi kwenye uzi wako.
Ukishakufa umekufa usifikiri kama yale uliyosema watu watayatekeleza
Mfano mzazi kafa anawambia watoto wasiuze nyumba,watu wanauza tu

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app

Maana yake hukuwajengea Watoto wako uwezo wa kujitegemea ndio maana wanauza
 

Sawa Mkuu , all the best
 
Fadhakir Inna faa aat dhikra, many yakhshaa.

Hakika ukumbusho utamfaa mwenye kuuzingatia.

_____

Kuna kitabu kimoja niliwahi kusoma kinaitwa "the art of dying" kitabu hicho kilitambaa kwenye almost Kila ambacho umekiandika.

Hakika hatutakiwi kukiogopa kifo bali kuukubali ukweli kwamba "nothing is permanent"
 
😀 😀 😀 😀
 
Ilidanganya kuhusu nini???
Mambo yapo wazi!
Hakuna uhusiano kati ya uasi na kifo. Binadamu hajawahi kuasi kwa sababu hakuna dhambi wala shetani. Kifo kipo kuweka mlinganyo kati ya raslmali zilizopo na watumiaji wa raslimali hizo.
 
Hakuna uhusiano kati ya uasi na kifo. Binadamu hajawahi kuasi kwa sababu hakuna dhambi wala shetani. Kifo kipo kuweka mlinganyo kati ya raslmali zilizopo na watumiaji wa raslimali hizo.
Kuna muda utafika ukweli utajitenga na uongo.
Take care!
 
Naomba kuuliza Mtumishi, Wewe ume verify vipi imani yako ni ya kweli ?
Kwa mujibu wa imani yangu BIBLIA ndio inayotoa majibu.
Mungu akusaidie umjue, Hautaangaika na dini bali na sheria zake.
 
Kwa mujibu wa imani yangu BIBLIA ndio inayotoa majibu.
Mungu akusaidie umjue, Hautaangaika na dini bali na sheria zake.

Wewe ni dini gani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…