cleaner wrasse
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 9,055
- 10,047
Matakatifu Nani kasemaSoma maandiko matakatifu utapata uelewa
Mbona simple tu.
Matakatifu Nani kasemaSoma maandiko matakatifu utapata uelewa
Mbona simple tu.
Humjui????Matakatifu Nani kasema
Pumzi n'a pumua kwasababu ya ubongo, mapafu na moyo vina fanya hiyo kazi.. Nani Sasa amenipa pumziHumjui????
Anae kupa pumzi??
Aliyekufanya umeamka leo??
Enewei ni MUNGU tu kupitia watu wake.
I think nimeeleweka.
Mungu akusaidie uelewePumzi na pumua kwasababu ya ubongo, mapafu na moyo vina fanya hiyo kazi.. Nani Sasa amenipa pumzi
Kifo ni matokeo ya uasi wa mwanadamu
Rejea vitabu vitakatifu mfano mzuri ni Biblia
Soma Mwanzo sura ya pili yote then utapata majibu.
Kama kuna swali uliza.
Soma maandiko matakatifu utapata uelewa
Mbona simple tu.
Wanadamu mtahangaika sana na kifo, na kifo hakitachoka kupitia mmoja baada ya mwingine kwa zamu zamu.
Dawa ya kifo ni moja tu kuacha kuzaliana, kwa nini uzae kwa nini ulete kiumbe ambacho mbali na kuketa usumbufu kwa viumbe wengine kitaishia kufa siku moja.
Dawa ni kuacha kuzaliana haya maamuzi yapaswa kuchukuliwa kwa pamoja, sababu kwa mtu mmoja haina maana kwani kifo kitaendelea kuvuna watoto wa walioamua kuzaaa
Kwa mujibu wa BIBLIA TAKATIFUAsante Mkuu kwa Ufafanuzi.
Kwahiyo Uasi ndio matokeo ya sis kufa ?
Je ni Uasi gani huo Mkuu ?
Mwanzo 3:19Summarize hapa Kaka
None sense
Nikifa sitaki Kuzikwa kwenye makaburi ya Jumla nataka wanizikie nyumbani kwangu.
None sense?????
Unazidi kunifurahisha😛
Tuna 'nonsense' kwenye 'Kiinglish'.
Hakuna neno la hivinone sense.
Endelea kufanya maonyesho ya 'Udjingah' wako tu.
Kwa hiyo watanzania hawajui kingereza siyoComment kwa kingereza hapa, wacha blah blah Mamluki. Ni rahisi sana Wewe ku comment in English kufunga mjadala . Wewe unajua English kitu ambacho siamini na ninaamini kabisa huna exposure , so nimekuomba mawasiliano yangu na wewe hapa yawe kwa English . I am sure huna hiyo Confidence.
Andika hapa kwa kingereza tujue level yako. Kumbuka wewe ni mtanzania,
Tuanzie hapaSo hiyo dhambi ipo wap
Ok...turudi kwenye uzi wako.Hata Mimi ni Mtanzania!