Siku ya Kifo Changu

Siku ya Kifo Changu

Kifo kinaogopesha sana, ukitaka kuua hata mende anakimbia Kwa mbio zake zote. Binadamu anakiogopa sana kifo na hata hakizoeleki. Lakini kuna tumaini yuko aliekishinda kifo ingawa hata yeye alipitia kipindi cha hofu na kigumu mpaka jasho la damu lilimtoka. Mtafute soma habari zake , hakika atakuonyesha njia ya kupita. Kwani maisha yote ya binadamu ni maandalizi ya safari moja tu.

Kukishinda kifo ni Kutokufa. Tuoneshe hapa huyo aliyekishinda na je amewasaidiaje na wengine kukishinda?
 
I agree with you. Jinsi ambavo tunachinja wanyama na kuwapika, ni the same thing kwa mwili wa binaadamu.

Ukishakufa Una kuwa ni mzoga au mti mkavu. You don’t feel anything just a dead body. Ndio maana kuna sehemu Madagascar they eat dead body, they cook as meat and sauce for rice or ugali. They say kiti moto haingii ndani kwa utamu.



pia ignorance yetu kwenye Death , wahuni nao hawakuwa nyuma kututisha ili watutawale vyema.

Ooh ukifanya Hivi utachomwa moto , utaenda peponi au motoni. Huyo Mungu awachome watu kwa kosa gani , kwanza uhusiano wa muda wa kuishi Na kufa Na adhabu itakayokuja kutokewa haina USAWA.

Yaani small life,.... Big death. There is no such a GOD , it is our projection ambayo haina uhalisia . Imagine wewe unaingia peponi and your mom anaenda motoni , would you feel Happy , as for me I won’t be happy kuona mm nakula bata then wenzangu wanakula shubiri kwenye joto .

Kama kweli kwako utaona ni Okay kuona binadamu wenzio wanachomwa moto
Huku ww unakula bata , and that makes you feel okay , basi jua unamtumikia shetani ( kwa maana iliyozoeleka, maana hata shetani hatujui ni kitu gani) hapa duniani.

There is no such a God.

Kwanza historically hakuna mtu aliyeenda Na kurudi akatupa feedback, Jibu sahihi ni kwamba hakuna anayejua chochote kitu what will happen when we die. No pope, no saint , no any prophet.
We are all ignorants

Full stop
THINK TWICE.
Au nasema uongo ndugu zangu??
 
Kufa ni lazima yani kkamamaji usipo yaoga utayanywa tu,hofu ni kutangulia tu ila asilimia kubwa wazee hawaogopi kifo ssana
 
Kukishinda kifo ni Kutokufa. Tuoneshe hapa huyo aliyekishinda na je amewasaidiaje na wengine kukishinda?
Kifo ni hatua katika maisha ya kiumbe hai. Hata miti inakufa, Kwa hiyo hauwezi kukishinda kwa kutokufa ila ni kujua hatua gani ufanye uweze kujiandaa nacho. Sidhani kama wewe uko tayari kupokea majibu tutayokupa.
 
Kifo ni hatua katika maisha ya kiumbe hai. Hata miti inakufa, Kwa hiyo hauwezi kukishinda kwa kutokufa ila ni kujua hatua gani ufanye uweze kujiandaa nacho. Sidhani kama wewe uko tayari kupokea majibu tutayokupa.

Usidhani. Toa tu hayo majibu.

Suala la kupokea libaki kwa muhusika
 
Kufa ni lazima yani kkamamaji usipo yaoga utayanywa tu,hofu ni kutangulia tu ila asilimia kubwa wazee hawaogopi kifo ssana

Wazee hawaogopi kifo Sababu wqmeshakiishi.
 
For as long as wewe ni Mtanzania, I guarantee, you can not speak it and your English must be horrible.

you don’t
have that tongue. If you think you are good at it, kindly, our chatting should be in English here. And let’s gauge each other, otherwise, you are just a piece of ass screaming all along!
Hahahaaa nicheke mie.
Kwahiyo Watanzania hawajui 'Kiinglishi'?
Huenda, ila chako wewe mkuu kwa heshima zote ni-cha kutudhalilisha kabisa 😉

Hiyo mikazo:
1. Si nia wala dhumuni langu kujishindanisha, si wewe tu bali hata yeyote yule mwingine, haina Tija kwangu.
Hoja yangu umetaka kulisha watu Matngo pori, tumekustukia na huna chakujitetea.

2. 'you....'? Mwalimu gani anafundisha ujinga huu? Hapana huu ni uzembe wa mwanafunzi. Hili ni somo la muandiko darasa la Tatu.

3.'Tongue' ? Hapa? Kweli? Otateee naneeee! Ni hakika kuwa hujui maana yake vinginevyo, usingekurubia hata kuliandika hilo neno, pole.

4.'Kindly, kisha 'Should' katika muktadha mmoja? Kweli?
Hujui kutofautisha kati ya kuomba ihsani na kushurutisha? Msomiiii!!

5. Hilo Tusi haliniunguzi kwakuwa Nia yangu ni njema ya kuokoa kizazi kinachodhani kinajua kumbe hakijui.

Hunijui, usilazimishe kunijua haitakusaidia chochote itoshe tu unishukuru hata chemba kuwa nakusaidia Msomi.
Nikutoe wasi mimi si msomi lakini ninapoona Msomi 'unabananga' inaniuma na hasa ukizingatia mitandao inasomwa na wengi kwahivyo ukijinadi wewe ni msomi na unajua sana lakini unadhihirisha mapungufu ya wazi haitii aibu tu inachefua vilevile.
 
Hahahaaa nicheke mie.
Kwahiyo Watanzania hawajui 'Kiinglishi'?
Huenda, ila chako wewe mkuu kwa heshima zote ni-cha kutudhalilisha kabisa 😉

Hiyo mikazo:
1. Si nia wala dhumuni langu kujishindanisha, si wewe tu bali hata yeyote yule mwingine, haina Tija kwangu.
Hoja yangu umetaka kulisha watu Matngo pori, tumekustukia na huna chakujitetea.

2. 'you....'? Mwalimu gani anafundisha ujinga huu? Hapana huu ni uzembe wa mwanafunzi. Hili ni somo la muandiko darasa la Tatu.

3.'Tongue' ? Hapa? Kweli? Otateee naneeee! Ni hakika kuwa hujui maana yake vinginevyo, usingekurubia hata kuliandika hilo neno, pole.

4.'Kindly, kisha 'Should' katika muktadha mmoja? Kweli?
Hujui kutofautisha kati ya kuomba ihsani na kushurutisha? Msomiiii!!

5. Hilo Tusi haliniunguzi kwakuwa Nia yangu ni njema ya kuokoa kizazi kinachodhani kinajua kumbe hakijui.

Hunijui, usilazimishe kunijua haitakusaidia chochote itoshe tu unishukuru hata chemba kuwa nakusaidia Msomi.
Nikutoe wasi mimi si msomi lakini ninapoona Msomi 'unabananga' inaniuma na hasa ukizingatia mitandao inasomwa na wengi kwahivyo ukijinadi wewe ni msomi na unajua sana lakini unadhihirisha mapungufu ya wazi haitii aibu tu inachefua vilevile.

None sense
 
Hahahaaa nicheke mie.
Kwahiyo Watanzania hawajui 'Kiinglishi'?
Huenda, ila chako wewe mkuu kwa heshima zote ni-cha kutudhalilisha kabisa 😉

Hiyo mikazo:
1. Si nia wala dhumuni langu kujishindanisha, si wewe tu bali hata yeyote yule mwingine, haina Tija kwangu.
Hoja yangu umetaka kulisha watu Matngo pori, tumekustukia na huna chakujitetea.

2. 'you....'? Mwalimu gani anafundisha ujinga huu? Hapana huu ni uzembe wa mwanafunzi. Hili ni somo la muandiko darasa la Tatu.

3.'Tongue' ? Hapa? Kweli? Otateee naneeee! Ni hakika kuwa hujui maana yake vinginevyo, usingekurubia hata kuliandika hilo neno, pole.

4.'Kindly, kisha 'Should' katika muktadha mmoja? Kweli?
Hujui kutofautisha kati ya kuomba ihsani na kushurutisha? Msomiiii!!

5. Hilo Tusi haliniunguzi kwakuwa Nia yangu ni njema ya kuokoa kizazi kinachodhani kinajua kumbe hakijui.

Hunijui, usilazimishe kunijua haitakusaidia chochote itoshe tu unishukuru hata chemba kuwa nakusaidia Msomi.
Nikutoe wasi mimi si msomi lakini ninapoona Msomi 'unabananga' inaniuma na hasa ukizingatia mitandao inasomwa na wengi kwahivyo ukijinadi wewe ni msomi na unajua sana lakini unadhihirisha mapungufu ya wazi haitii aibu tu inachefua vilevile.

Convert haya yote uliyoandika kwa kingereza.

Mamluki unatabu wewe .kama unajua English , ni rahisi tu, fanya mawasiliano yako hapa kwa kingereza, vinginevyo Wewe ni mamluki. Kama unaogopa hata kuchat kwa kingereza ili tujue hiyo english yako ni level gani , sasa unatoa wapi balls za kuona kilichoandikwa si sahihi.

Ukijibu sasa hivi jibu kwa kingereza, Vinginevyo kaa kimya maana hujui English ni fault findings za watu wasio jua English. Mimi nina hakika 100 nikisoma tu hata kiswahili chako wewe hujui english, na kama kweli unajua, onesha mfano hapa walau ku comment kwa kingereza ili tufunge Hii mada Mr dalali
 
Kifo ni matokeo ya uasi wa mwanadamu
Rejea vitabu vitakatifu mfano mzuri ni Biblia
Soma Mwanzo sura ya pili yote then utapata majibu.
Kama kuna swali uliza.

 
Kifo ni matokeo ya uasi wa mwanadamu
Rejea vitabu vitakatifu mfano mzuri ni Biblia
Soma Mwanzo sura ya pili yote then utapata majibu.
Kama kuna swali uliza.
Kifo ni kitu cha kawaida hakina uhusiano na dhambi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom