Siku ya gulio Katerero

Siku ya gulio Katerero

MSHINO

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,069
Reaction score
713
Wana Jamii wengi mliosoma Zamani mtakuwa mnakumbuka Kitabu cha Shule ya Msingi enzi za Mwalimu, moja ya Hadithi nzuri ilikuwa ni SIKU YA GULIO KATERERO, naweza pata wapi hiki kitabu.
 
Pia kwa wale wenyeji wa katerelo mtujuze km sehemu hii bado ipo. nasikia mahuri yalikuwa yanauzwa kwa bei chee kabisa.
 
Nimepita juzi tu Katerelo kuelekea Bukoba mjini
 
Pia kwa wale wenyeji wa katerelo mtujuze km sehemu hii bado ipo. nasikia mahuri yalikuwa yanauzwa kwa bei chee kabisa.

Sehemu hii bado ipo, ila haifanyi zake kama enzi hizo, hivi mahuri ndo nini?
 
Kumbe katerelo ipo? me nilijua ni msemo tu.
 
Mshikaji wangu aliniambia yule demu nimempiga "katerero" hata nisahau,heeh kumbe ni kijiji
 
Pia kwa wale wenyeji wa katerelo mtujuze km sehemu hii bado ipo. nasikia mahuri yalikuwa yanauzwa kwa bei chee kabisa.

mahuri ni nini

binafsi nahamu sana ya kwenda katerero sana yaani
 
Wana jamii wengi mliosoma zamani mtakuwa mnakumbuka kitabu cha shule ya msingi enzi za Mwalimu, moja ya hadithi nzuri ilikuwa na SIKU YA GULIO KATERELO, naweza pata wapi hiki kitabu.
ile hadithi ilikuwa nzuri ila hakikuwa kinafundisha namna ya kupiga hiyo kate...
 
Mshikaji wangu aliniambia yule demu nimempiga "katerero" hata nisahau,heeh kumbe ni kijiji

Katerero inatumika kwa wahaya sana ni kitendo cha kusugua kichwa cha dushelele kwenye kicimi cha K mpaka manzi anamwaga kwanza kabla ya kuzamisha yote. Pia ni sehemu huko Kagera.
 
Wana Jamii wengi mliosoma Zamani mtakuwa mnakumbuka Kitabu cha Shule ya Msingi enzi za Mwalimu, moja ya Hadithi nzuri ilikuwa ni SIKU YA GULIO KATERERO, naweza pata wapi hiki kitabu.
iyo ilikuwa sehemu tu ya topic katika kitabu cha darasa la nne cha kiswahili, topic nyingine zilikuwa,majira ya mwaka,ufugaji wa kuku,kodi na matumizi yake , na kutembelea station
 
Katerero inatumika kwa wahaya sana ni kitendo cha kusugua kichwa cha dushelele kwenye kicimi cha K mpaka manzi anamwaga kwanza kabla ya kuzamisha yote. Pia ni sehemu huko Kagera.


We acha matusi, una maana katerelo ni matusi? mbona mnanimix? hebu dadavua katerelo ni tusi au ni gurio huko bukoba?
 
iyo ilikuwa sehemu tu ya topic katika kitabu cha darasa la nne cha kiswahili, topic nyingine zilikuwa,majira ya mwaka,ufugaji wa kuku,kodi na matumizi yake , na kutembelea station


Na nyingine ilikuwa safari yenye mkosi, walikwama mto rufiji, kumbe safari za mikoa ya kusini mikosi haikuanza leo.
 
Back
Top Bottom