Siku ya Break up!

Haa ha ha....wee balaa!!
 
Haa ha ha...Mkuu uliachaa wotee kisa mmoja ukapigwa chini
 
Mwanaume ukikosa kabisa basi uwe na wanawake watatu...nimemaanisha
Mkuu katika hili swala la kuachana ndipo nilipo amini papuchi au wanawake wana tofautiana. Kuwa na wanawake wengi bado siyo solution, anaweza kukuliwaza for the time being ila kuna vitu lazima uvimiss kutoka kwa muhusika mwenyewe.

Acha kabisa mzee.
 
Ilikuwa ndo first love kipindi hicho ninae mmoja tuu...!! Kujikutaa loyal khaaaa nlinyooshwa
Usiludie kosa LA kuwa na demu mmoja panga ata sita saba ivi ukiona VIP ata kumi kabsa ila ndo ukimwi umekaa patamu kwelikweli
 
Hamna bwana wengine tunawapenda wengine tunabuy time tukiwasubiri tuwapendao
 
Naomba kuuliza hivi akija kuomba msamaha wa zamani unaweza kumrejea? Sababu ya kukuuliza hili suali kuna ex-wangu wa zamani nimerejeana nae ila naona hatabirikia leo anataka kesho hataki.
Hapana. Mapenzi yameisha. Hata nikiongea hamna msisimko Kama ule wa zamani. Na simuamini tena. Mapenzi yameisha sasa hivi japo kuna muda nammmiss ila najua ni sababu ya loneliness tu
 
Nilishukuru mungu kwani alikuwa kama deni la mkopo linalosubiria rejesho la kila mwezi.
 
Ulimkosea nini?
Sikumkosea chochote huwezi amini. Nilikua nahamia NYUMBA nyingine nikamwambia. Kumbe ile ndo ilikua sababu. Anasema aliona hata kunisaidia kodi hawezi na akija anafikia kwangu na Dada zake wakamwambia huyo mwanamke humuwezi. Kwahiyo akaona bora ajitoe kwa style hiyo ya kutopokea simu. Alirudi akaomba msamaha ndo akaniambia hizo sababu na nikamsamehe sababu nafasi yake ilikuwepo bado. Ila sikua na imani nae tena. Hata mapenzi nikaona hataki Kama zamani.
 
Sikumbuki kuambiwa tuachane ila aliacha kupokea simu bila sababu. Nilivyokuaa nampenda yule kaka Nilijua maisha yamefika Mwisho. Nililia nikalia na nikalia tena.
Akaondoka na mapenzi yangu. Mpaka sasa ni miaka mitatu sijawahi kupenda tena
Pole mkuu. Hata Mimi sijawahi kuambiwa nakuacha, ila nasoma mazingira tu. Baada ya hapo najiongeza, then maisha yanaendelea.
 
Hapana. Mapenzi yameisha. Hata nikiongea hamna msisimko Kama ule wa zamani. Na simuamini tena. Mapenzi yameisha sasa hivi japo kuna muda nammmiss ila najua ni sababu ya loneliness tu
Utapenda tenaa tuu ndo maana Mungu aliweka kitu kusahau sema now utakuwa hujalii tenaa hata mkibreak up hutaumia
 
Umepita mule mule! Ukiona dalili za mawingu tu unaandaa mwamvuli kabisa maana mvua inaweza nyesha muda wowote
kabisa mkuu" Usipojiongeza " inakula kwako tu ..usipende kuwa mnyonge mnyengo mahusiano yatakuwa yanakuachia makovu ya maumivu kila siku
 
hapa naona kuna conflict of interests hakuna aliachwa wote wameacha

kuachwa inauma hasa kwa mtu uliyempenda kwa mapenzi yako yote tena suddenly unaambiwa its over weeee

Khalid Chokoraa - Kuachwa....hii dedication kwa wale wote tuliyowahi kuachwa

mapenzi ni kitu kingine kabisa
 
Sikumbuki kuambiwa tuachane ila aliacha kupokea simu bila sababu. Nilivyokuaa nampenda yule kaka Nilijua maisha yamefika Mwisho. Nililia nikalia na nikalia tena.
Akaondoka na mapenzi yangu. Mpaka sasa ni miaka mitatu sijawahi kupenda tena
LAKINI SHOW ZA KIBABE UNAENDELEA KUTOA?
 
Naomba nikuuzie Bangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…