rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,165
- 43,854
Aisee ilee siku napokea msg toka kwa shemeji yenu tuachane baada ya kusumbuana kwa muda mrefu sana nilionaa kama gizaa hivii afuu nikataka kudondokaa ikabdi nikaee kitandanii kwanzaa yale maumivu Mungu ndo anajua.
Ulikuwa na hali gani siku umeachana na mpenzi wako?
Ulikuwa na hali gani siku umeachana na mpenzi wako?
