Siku ya Break up!

Siku ya Break up!

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
22,165
Reaction score
43,854
Aisee ilee siku napokea msg toka kwa shemeji yenu tuachane baada ya kusumbuana kwa muda mrefu sana nilionaa kama gizaa hivii afuu nikataka kudondokaa ikabdi nikaee kitandanii kwanzaa yale maumivu Mungu ndo anajua.


Ulikuwa na hali gani siku umeachana na mpenzi wako?
 
Aisee ilee siku napokea msg toka kwa shemeji yenu tuachane baada ya kusumbuana kwa muda mrefu Sana nilionaa Kama Gizaa hivii afuu nkataka kudondokaa ikabdi nikaee kitandanii Kwanzaa...! Yale maumivu Mungu ndo anajua..


Ulikuwa na hali gani siku umeachana na mpenzi wako?????
heheee",... hiyo hali haijawahi nifika',when nilipoachana na. manzi niliyempenda" huwa nina katabia Fulani hivi" nikiona mwenzangu" ameanza kuwa navijitabia fulani hivi vya usaliti basi taa nyekundu huwa inaniwaka kichwani
.
.huwaga sisubiri mpaka niachwe" bali natengeneza mazingira ya kuachana ili tutoke ngoma draw" ... Huwa nakaa kimtego mtego" Asipo nipigia na mimi simpigii" Asipo nitext na mimi simtext"... nikimtafuta hewani mara 1 then ikawa ha-respond basi sijishughulishi kumtafuta tena" mpaka atakapo nitafuta yeye" cause missed call yangu siameiona bwana".... ikitokea akapiga kimya kwa muda wa siku 3,.. basii nafuta namba yake kabisaa' ili nisije pata mshawasha wakumpigia"...

that's all
 
heheee",... hiyo hali haijawahi nifika',when nilipoachana na. manzi niliyempenda" huwa nina katabia Fulani hivi" nikiona mwenzangu" ameanza kuwa navijitabia fulani hivi vya usaliti basi taa nyekundu huwa inaniwaka kichwani
.
.huwaga sisubiri mpaka niachwe" bali natengeneza mazingira ya kuachana ili tutoke ngoma draw" ... Huwa nakaa kimtego mtego" Asipo nipigia na mimi simpigii" Asipo nitext na mimi simtext"... nikimtafuta hewani mara 1 then ikawa ha-respond basi sijishughulishi kumtafuta tena" mpaka atakapo nitafuta yeye" cause missed call yangu siameiona bwana".... ikitokea akapiga kimya kwa muda wa siku 3,.. basii nafuta namba yake kabisaa' ili nisije pata mshawasha wakumpigia"...

that's all
Akili mingi
 
Sikumbuki kuambiwa tuachane ila aliacha kupokea simu bila sababu. Nilivyokuaa nampenda yule kaka Nilijua maisha yamefika Mwisho. Nililia nikalia na nikalia tena.
Akaondoka na mapenzi yangu. Mpaka sasa ni miaka mitatu sijawahi kupenda tena
 
heheee",... hiyo hali haijawahi nifika',when nilipoachana na. manzi niliyempenda" huwa nina katabia Fulani hivi" nikiona mwenzangu" ameanza kuwa navijitabia fulani hivi vya usaliti basi taa nyekundu huwa inaniwaka kichwani
.
.huwaga sisubiri mpaka niachwe" bali natengeneza mazingira ya kuachana ili tutoke ngoma draw" ... Huwa nakaa kimtego mtego" Asipo nipigia na mimi simpigii" Asipo nitext na mimi simtext"... nikimtafuta hewani mara 1 then ikawa ha-respond basi sijishughulishi kumtafuta tena" mpaka atakapo nitafuta yeye" cause missed call yangu siameiona bwana".... ikitokea akapiga kimya kwa muda wa siku 3,.. basii nafuta namba yake kabisaa' ili nisije pata mshawasha wakumpigia"...

that's all
Umepita mule mule! Ukiona dalili za mawingu tu unaandaa mwamvuli kabisa maana mvua inaweza nyesha muda wowote
 
Sikumbuki kuambiwa tuachane ila aliacha kupokea simu bila sababu. Nilivyokuaa nampenda yule kaka Nilijua maisha yamefika Mwisho. Nililia nikalia na nikalia tena.
Akaondoka na mapenzi yangu. Mpaka sasa ni miaka mitatu sijawahi kupenda tena
Pole Bae.
 
Back
Top Bottom