ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Mimi sikuwepo kwenye tukio, naamini taarifa ya Afande Mroto .Wewe unaweza kutuonesha kapicha au video alivyokuwa anashambuliwa?
Mimi sikuwepo kwenye tukio, naamini taarifa ya Afande Mroto .Wewe unaweza kutuonesha kapicha au video alivyokuwa anashambuliwa?
Kweli kabisa ndo maana Joyce Mukya kauchuna kimyaaaa utadhani hawakuwa wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waseme nini wakati wanaelewa usanii wa chadema. Mabeberu wanaelewa mpango mzima wa kuichafua ccm ndio maana kabla hata mate kukauka na polisi kusema kitu wao tayari wanatoa taarifa kuilaume serikali.
Hebu fikiri mtu avurugwe na watu watatu hadi kuvunjwa mguu nguo hata moja haikuchanika au miwani kuvunjika. Utafikiri aliwapa kiwiko cha mguu kwa maelewano wamtengue huku yeye anavumilia bila kujitikisa. Ujinga gani huu.
Kumbe hii id ni wewe Joyce?Toka usitishiwe matumizi na mheshimiwa umeumia kwel